Elections 2010 Uchambuzi Yakinifu Kuhusu Matokeo ya Urais 2010

Elections 2010 Uchambuzi Yakinifu Kuhusu Matokeo ya Urais 2010



tusipende kubisha sana tuu ilimladi umebisha,

huyu bwana analolisema lipo kabisa kama kweli wewe ni mtu unae fuatilia siasa za tz kwa umakini na ukaribu hili ulipaswa ulijue tena mapema siku baada ya matoke yametoka kwani wengine tulikuweko kwenye mchakato kabisa na tunajua sasa nawe usipende kuletewa habari tafuta au umetumwa au hauko tz? Na kama uko tz hili si swala la kupuuzia hata kidogo

jethro mbona sijakuelewa
 
Mimi naona wotw mna mtindio wa ubongo, Dr Slaa c wakwanza kuyakataa matokeo ktk chaguzi duniani, ni chaguzi chache sana ambazo watu wamekubali kushindwa yeye si wakwanza. Hivi watu wengine mna mapenzi hata shetani hana eti jitu zima na minywele yake kila panapostahili kuota nywele linasema eti lilidokezwa kuwa ktk kuingiza data , unapokuta Jk 10000, slaa ana 8000, eti za slaa zinapunguzwa hadi 2000, kwanza tayari kashavukwa kura 2000, halafu wampunguzie we mwehu nini? mimi nimewawakisha chadema kwa taarifa yako jimbo la ukonga, tumegalagazwa mbaya hata kura kuhesabu tumehesabu zaidi ya mara moja halafu kuna pimbi anasema tumeibiwa hata jimbo hilo, kwanza najutia kukesha kwangu na kumobilize watu wasilale walinde kura, leo tunaanza kutafuta visingizio, Arusha mjini hata sisi tumeiba, wamasai kibao walikuwa wanakuja hawajui chadema wanauliza iko wapi ile chama ya kijani mwalimu aliyesimamia kwa bias anawaonyesha chadema, sasa huu nao siwizi mbona hamuusemi, tukaechini tutafakari nini cha kufanya tuache visingizio, wote tulienda vitani tukijua slaa anashindwa, Irregulariries ktk election sio chanzo cha kutupeleka mabarabarani, halafu wewe mkereketwa ulioniita lipumbavu, basi wewe ni lipumbavu mara tilioni mbili zaidi yangu, mshenzi kabisa

CHADEMA hatujawahi, hatuwezi na hatuna watu wa namna/sampuli yako, Nakataa wewe Si CHADEMA!!!
Usitufanye watoto wadogo :nono:
 
Tupe takwimu kwa mfano tuweze kuchangia bila ushabiki wa vyama
 
Wadau naomba michango yenu juu ya hili swala,

Hivi inawezekana vipi kwenye mkoa mmoja ukakuta CHADEMA imeshinda kata 12 kati ya 14 au imenyakua majimbo yote, wakati huo huo kwenye matokeo ya urais CCM ikaongoza wakifatiwa na CUF, Je kuna punguani yupi ambaye anaweza akapiga kura kuchagua Diwani na Mbunge wa CHADEMA alafu urais akachagua CCM?

Nashindwa kuelewa hata kama ni kuchakachua si inatakiwa akili kidogo itumike?
.

Usipotoa takwimu na mfano wa jimbo unaloliongelea na wewe utaonekana unachakachua matokeo.
 
Ni rahisi tu kusema tupe data. Data zipo hata wewe waweza kupata, lakini swali la kujiuliza ni kuwa ukipewa itakusaidia nini na wewe ni nani? Maana yake maeneo mengi matokeo yanayotangazwa kura zinazotangazwa na wasimamizi ni tofauti na kura zilizopatikana.

Tunapopata data inatusaidia kutoa hukumu kwa haki kwa waliokiuka haki.
 
Umati wote ule wakati wa kampeni mlitaka Dr Slaa akubari matokeo kirahisi? hata kama ameshindwa kwa haki ni lazima awaonyeshe mashabiki wake kwamba hakushindwa kwa haki. Ni jambo la kawaida katika dunia yote ya siasa. Pengine moyoni Dr Slaa anajua kashindwa lakini atawapa nini mashabiki zake kama si kukataa matokeo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
vyama vya upinzani vina mambo ya ajabu sana, vinafurahia kuona umati mkubwa wakati wa kampeni bila kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura lakini pia kuhamasisha kujiandikisha na matokeo yake ndio haya.....Umati mkubwa kura sifuri. Wananchi wengi sana hawakupiga kura mwaka huu aghalabu wanaweza kuwa ni wale waliokuwa wanajaa katika mikutano ya Dr Slaa.

Helkopta ilitamalaki na watu wakakimbia kuja kuiona huku hawana vitambulisho vya kupiga kura.... wapi na wapi. Tutailaumu CCM kumbe kasoro zingine ziko kambi ya upinzani.

kelele za chura hazimzuii ng'ombe kuvywa maji. kwa sasa ni kujipanga upya kwa ajili ya uchaguzi ujao badala ya maandamano.
 
mbona hujiulizi jimbo la Bukoba mjini Kagasheki na madiwani wameshinda wakati urais Dr Slaa kamwaga baba Ridhwaan, Pumbavu uwe mtu wa kufikiri, kumbe wewe ni kada wa chama na sio mabadiliko, udiwani anagombea mwingine, ubunge ni mwingine na urais ni mwingine japo wapo ndani ya chama kimoja. Mnaniudh mnaposhindwa kureason vitu vidogo vidogo,

Hii lugha ni ya mchumia tumbo ambaye maslahi yake yataathirika sana kama bwana wake ataanguka.
Kweli ukizoea makombo shida.
Pole Mkuu
 
Back
Top Bottom