Mimi naona wotw mna mtindio wa ubongo, Dr Slaa c wakwanza kuyakataa matokeo ktk chaguzi duniani, ni chaguzi chache sana ambazo watu wamekubali kushindwa yeye si wakwanza. Hivi watu wengine mna mapenzi hata shetani hana eti jitu zima na minywele yake kila panapostahili kuota nywele linasema eti lilidokezwa kuwa ktk kuingiza data , unapokuta Jk 10000, slaa ana 8000, eti za slaa zinapunguzwa hadi 2000, kwanza tayari kashavukwa kura 2000, halafu wampunguzie we mwehu nini? mimi nimewawakisha chadema kwa taarifa yako jimbo la ukonga, tumegalagazwa mbaya hata kura kuhesabu tumehesabu zaidi ya mara moja halafu kuna pimbi anasema tumeibiwa hata jimbo hilo, kwanza najutia kukesha kwangu na kumobilize watu wasilale walinde kura, leo tunaanza kutafuta visingizio, Arusha mjini hata sisi tumeiba, wamasai kibao walikuwa wanakuja hawajui chadema wanauliza iko wapi ile chama ya kijani mwalimu aliyesimamia kwa bias anawaonyesha chadema, sasa huu nao siwizi mbona hamuusemi, tukaechini tutafakari nini cha kufanya tuache visingizio, wote tulienda vitani tukijua slaa anashindwa, Irregulariries ktk election sio chanzo cha kutupeleka mabarabarani, halafu wewe mkereketwa ulioniita lipumbavu, basi wewe ni lipumbavu mara tilioni mbili zaidi yangu, mshenzi kabisa