dullyhami
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 560
- 147
Habari zenu wadau.
Matokeo ya form 6 ndio yameshatoka na tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya alama za ufaulu, kwa mda uliobaki naomba tusaidiane ufafanuzi wa Kuingia Chuo Kikuu kwa kutumia mfumo wa alama mpya za ufaulu.
Kwa mfano, mtu amepata DDE div 4 ataingiaje chuo Kikuu...?
nawakilisha:
Matokeo ya form 6 ndio yameshatoka na tumeshuhudia mabadiliko makubwa ya alama za ufaulu, kwa mda uliobaki naomba tusaidiane ufafanuzi wa Kuingia Chuo Kikuu kwa kutumia mfumo wa alama mpya za ufaulu.
Kwa mfano, mtu amepata DDE div 4 ataingiaje chuo Kikuu...?
nawakilisha: