Uchawa (CCM) vs ukupe (CHADEMA) aibu kwao wote

Uchawa (CCM) vs ukupe (CHADEMA) aibu kwao wote

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
To every action there is an equal and opposite reaction. Hii kanuni inaonekana kuelezea vizuri mahusiano katika ya wafuasi wa CCM na wa CHADEMA juu ya jinsi wanavyohusiana na viongozi wao. Wale wa CHADEMA wanawaita wenzao wa CCM chawa na sasa wa CCM wamewaita wenzao kupe.

Ulinganisho huu ni sawa kabisa kwani chawa na kupe huishi kwa viumbe. Chawa huishi kwa binadamu wakati kupe huishi kwa wanyama wafugwao na wanaweza pia kuishi kwa binadamu. Tofauti ya chawa ni kuwa binadamu akipoteza uhai wanahama haraka sana; ila kupe hahami anabaKi pale pale na kufia hapo ikibidi.

Ni stahiki ya kila mtu kuwa na maoni yupi afadhali chawa au kupe.
 
Usilazimishe CHADEMA kwenye ujinga wenu. Uchawa upo CCM. Hakuna ukupe Seema ndio unataka utunge leo ujifurahishe. Ila CCM na uchawa ndio uhalisia wenyewe Hadi wazee wazima ni machawa.
Maoni yako ni stahiki yako
 
To a very action there is equal and opposite reaction. Hii kanuni inaonekana kuelezea vizuri mahusiano katika ya wafuasi wa CCM na wa CHADEMA ...

Hii imekuwa ndio namna mpya ya kutetea ubovu wa CCM. Kila mwanaccm anajua fika CCM imeshachoka, ila wanaogopa kukiri udhaifu huu moja kwa moja. Sasa kinachofanyika ni kueleza uchovu wa CCM, kwa kuonyesha pia wapinzani wamechoka!
 
Hii imekuwa ndio namna mpya ya kutetea ubovu wa CCM. Kila mwanaccm anajua fika CCM imeshachoka, ila wanaogopa kukiri udhaifu huu moja kwa moja. Sasa kinachofanyika ni kueleza uchovu wa CCM, kwa kuonyesha pia wapinzani wamechoka!
EE ebu rudia tena
 
Hii imekuwa ndio namna mpya ya kutetea ubovu wa CCM. Kila mwanaccm anajua fika CCM imeshachoka, ila wanaogopa kukiri udhaifu huu moja kwa moja. Sasa kinachofanyika ni kueleza uchovu wa CCM, kwa kuonyesha pia wapinzani wamechoka!
Inatia kinyaa sana
 
Duh! Kapo kaukweli hapo, lakini swali lenyewe ni gumu kulijibu kwa ufasaha ! Ila chawa anaweza kuendelea kuishi kutokana na tabia yake ya kuhama hama 😂!
 
Duh! Kapo kaukweli hapo, lakini swali lenyewe ni gumu kulijibu kwa ufasaha ! Ila chawa anaweza kuendelea kuishi kutokana na tabia yake ya kuhama hama 😂!
anahamia kwenye ulaji (damu)
 
Back
Top Bottom