Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Hii tabia ya kila kitu mama mama mama inachosha kuchusha kuboa na kutia kinyaa.
Unakuta kijana ana nguvu zake safi tu badala achape kazi atoboe yeye anashabikia mtu ili apate kitu.
Ukiona WALIMU WANAFUNZI WA vyuo nk wanatengeneza makundi ya whasap na kujinasibisha na mama sio kwamba wanampenda hapana wanasaka fursa.
Nyerere aliwahi kuonya juu ya kujipendekeza kunavyoweza kuzaa mauti ya mtu na taifa. Naishauri IDARA iiuwe hii tabia ya unafiki inaliangamiza taifa.
Unakuta kijana ana nguvu zake safi tu badala achape kazi atoboe yeye anashabikia mtu ili apate kitu.
Ukiona WALIMU WANAFUNZI WA vyuo nk wanatengeneza makundi ya whasap na kujinasibisha na mama sio kwamba wanampenda hapana wanasaka fursa.
Nyerere aliwahi kuonya juu ya kujipendekeza kunavyoweza kuzaa mauti ya mtu na taifa. Naishauri IDARA iiuwe hii tabia ya unafiki inaliangamiza taifa.