Uchawi: Aliyefariki kwa ajali miaka 3 iliyopita aonekena hai mkoani Geita

Uchawi: Aliyefariki kwa ajali miaka 3 iliyopita aonekena hai mkoani Geita

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
1000006726.jpg
 
Hii inaitwa unverified story.

Kwanza kabisa death certificate iko wapi? Nani kaitoa? Alihakiki vipi kifo? Kuna DNA evidence ya kumuunganisha anayedaiwa alikufa na huyu? Kuna chain of custody ya mwili?
Kama ndugu waliutambua vema mwili wa marehemu vizuri, maana huenda haukuharibika sana wakati wa ajari, kisha wakauzika halafu likatokea tukio la hivyo, napo kisayansi ikoje?.
 
Kama ndugu waliutambua vema mwili wa marehemu vizuri, maana huenda haukuharibika sana wakati wa ajari, kisha wakauzika halafu likatokea tukio la hivyo, napo kisayansi ikoje?.
Umeanza kwa neno "kama".

Mpaka hapo huna uhakika.
 
Back
Top Bottom