Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuItakuwa kafufuliwa na Gwajima
Pumbavu huna akili. Jinga kabisaHii inaitwa unverified story.
Kwanza kabisa death certificate iko wapi? Nani kaitoa? Alihakiki vipi kifo? Kuna DNA evidence ya kumuunganisha anayedaiwa alikufa na huyu? Kuna chain of custody ya mwili?
Sawa mnyonya maviPoa dada angu
Acha kuwatukanaHaha Geita again. Mkoa wa matukio.
Ila watu wa kanda ya ziwa wachawi kinyama.
Sio muda mkoa wa Njombe watajibu mapigo.Huu mkoa nao kwa mauzauza huu
Kama ndugu waliutambua vema mwili wa marehemu vizuri, maana huenda haukuharibika sana wakati wa ajari, kisha wakauzika halafu likatokea tukio la hivyo, napo kisayansi ikoje?.Hii inaitwa unverified story.
Kwanza kabisa death certificate iko wapi? Nani kaitoa? Alihakiki vipi kifo? Kuna DNA evidence ya kumuunganisha anayedaiwa alikufa na huyu? Kuna chain of custody ya mwili?
Kwa Wasukuma mbona hayo mambo ni ya kawaida.Maigizo yamekuwa mengi sana aliyefufuka ni lazaro peke yake!
Hii ni logical fallacy, inaitwa ad hominem.Pumbavu huna akili. Jinga kabisa
Umeanza kwa neno "kama".Kama ndugu waliutambua vema mwili wa marehemu vizuri, maana huenda haukuharibika sana wakati wa ajari, kisha wakauzika halafu likatokea tukio la hivyo, napo kisayansi ikoje?.
Sawa!Kwa Wasukuma mbona hayo mambo ni ya kawaida.