Njombe lazima wajibu kabla ya Kigoma.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bado kigoma
Umewahi ishi mikoa ya wasukuma ?Hii inaitwa unverified story.
Kwanza kabisa death certificate iko wapi? Nani kaitoa? Alihakiki vipi kifo? Kuna DNA evidence ya kumuunganisha anayedaiwa alikufa na huyu? Kuna chain of custody ya mwili?
Mkuu,Umewahi ishi mikoa ya wasukuma ?
Kwa nini nyie wasukuma wachawi sana ?Mkuu,
Mimi mwenyewe Msukuma, kwetu Usukumani, na nishawahi kuishi huko.
Wasukuma ndugu zangu naishi nao maisha yote.
Nawajua wote Babina, Basumba Batale, Bafumo, Balimi, Banamhala, Baaanike, Bakiikolo.
What is your point?
Maswali yangu hayajajibiwa.
Wasukuma unawaonea wao wanajionesha tamaduni zao, na wako wengi.Kwa nini nyie wasukuma wachawi sana ?