Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Baadhi wanasema kuna majini wazuri na majini wabaya, wazuri hua wanasali na kumuomba mungu na wabaya hadi ma atheist wapo

Wapo wanaodai kua kuna elimu juu ya utengenezaji wa hivyo viumbe.

Kuna siku nilisikia redioni mkufunzi akitoa somo namna ya kuita jini kwa kutamka maneno fulani hivi ya kiarabu.

Yale maneno niliyanukuu vyema nikawa naya practice maana mdau alisema unatakiwa uende njia panda usiku wa maneno kisha utamke hayo maneno

Nikiwa na tumaini kua leo ndio siku ambayo najithibitishia kua majini yapo, nikafika njia panda nikaanza kuyatamka hayo maneno kwa kuyarudia rudia zaidi ya mara 100 lakini hakukua na respond yeyote kutoka third party system

Wakati nikiendelea kutamka yale maneno nilishtukizwa na roba flani matata upande wa nyuma, mwanzo nilidhani ni ujio wa jini kumbe ni kibaka wa mtaa na alikua anapiga patrol

Aisee nilimlaumu sana yule jamaa wa redioni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda shungubweni/ boza mkuranga Kuna sehemu Kuna jiwe ambalo ukipiga picha halionekani kwenye camera watu huwaga wanaendaga happy kuomba utajiri na majini wazuri na wanafanikiwA nenda happy Kama uko serious
 
Miaka ya 2009 wakati nipo sekondari boarding mkoani Iringa. Siku moja usiku mda wa prepo nilitoka nje kupunga upepo, kwa macho yangu mawili nilishuhudia ungo(nilijua ni ungo kwani alekua ndani yake alibeba kitu chenye kutoa moto) ukipita juu ya paa la madarasa.

Mkuu endelea kutokuamini, HAYAJAKUKUTA.
 
Kuwepo ni kitu kingine na kuamini ni kitu kingine
 
Miaka ya 2009 wakati nipo sekondari boarding mkoani Iringa. Siku moja usiku mda wa prepo nilitoka nje kupunga upepo, kwa macho yangu mawili nilishuhudia ungo(nilijua ni ungo kwani alekua ndani yake alibeba kitu chenye kutoa moto) ukipita juu ya paa la madarasa.

Mkuu endelea kutokuamini, HAYAJAKUKUTA.
Uliona kitu inawezekana, ila ukapata illusion labda kutokana na woga au tu mwanga ukaakisi vibaya kwasababu ilikua ni giza ikawa rahisi kupata illusion.
Hatukatai kwamba uliona mchawi, ila ilikua ni illusion na wala hakuwa mchawi kweli.
 
Yani wewe huwezi elewa sababu Shetani ameshakuwin na huwezi pata jaribu lolote lile.

Funny thing na shetani, akishakuweka kwenye 18 na ukaishi kwenye kambi yake huwezi ona mauza uza hata siku moja kwa sababu wewe ndo ushaolewa tayari

Hayo yote utayaona kwenye vita ya kiroho, otherwise tutabishana miaka 1000 na tusikubaliane.

Mie nimeshapambana na nguvu za kishetani mara kibao na kila ninaposali sana lazima siku hiyo nijaribiwe.
kama ndiyo hivyo fereshi, nani anataka mauzauza sasa bora nibaki kwenye kambi salama ya shetani
 
Uliona kitu inawezekana, ila ukapata illusion labda kutokana na woga au tu mwanga ukaakisi vibaya kwasababu ilikua ni giza ikawa rahisi kupata illusion.
Hatukatai kwamba uliona mchawi, ila ilikua ni illusion na wala hakuwa mchawi kweli.
Nilikua timamu mkuu na wala sikupatwa na illusion, kwa kuongezea sinaga uoga wa wachawi. Hivyo haibadiri maana kua hakuwa mchawi.
 
Yani wewe huwezi elewa sababu Shetani ameshakuwin na huwezi pata jaribu lolote lile.

Funny thing na shetani, akishakuweka kwenye 18 na ukaishi kwenye kambi yake huwezi ona mauza uza hata siku moja kwa sababu wewe ndo ushaolewa tayari

Hayo yote utayaona kwenye vita ya kiroho, otherwise tutabishana miaka 1000 na tusikubaliane.

Mie nimeshapambana na nguvu za kishetani mara kibao na kila ninaposali sana lazima siku hiyo nijaribiwe.
Nilikua timamu mkuu na wala sikupatwa na illusion, kwa kuongezea sinaga uoga wa wachawi. Hivyo haibadiri maana kua hakuwa mchawi.
Kuona illusion sio hadi uwe umelewa.
Inatokea. Ni hali ya kawaida inayotokea mara chache kwenye maisha yako.
Na ikitokea sio rahisi kugundua kama ni illusion au ni reality.
Hivyo, wala usuogope. Mda wa illusion wewe ubongo wako unapokea kama reality
Wala sisemi unadanganya, ila uone kuwa ni hali ya kawaida 🙂.
 
I have meets with this guys,they are so cool and humble "THIS IS CREATURES OF SPECIAL PRINCIPLES...DO YOU WISH TO SEE? ARE YOU CLEAN ENOUGH?,DO YOU WANT TO POSSESS ONE?I CAN GIVE YOU A LITTLE ONE.
N.b:-I'm in study and research of this dudes...!
MUNIOOO WAKO[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom