Uchawi niliowahi kufanya nikiwa sekondari

Nakumbuka jana ulivyonichekeshaaa kweli kuhusu ile story ya kujifunika shuka jeupe alafu unaweka na mti unakuwa kama ngongoti nilicheka sana mme wangu

Alafu hii nayo kumbe hukunihadithia maana mbavu zingekauka kabisaaaa kwa kucheka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
bila shaka ni gambian boys hyo pa1 sana mkuu
 
Mkuu Mshana Jr kama huo ulozi uliufanya kukabiliana na hao wababe wa Sekondari,vipi kwa sie ambao tunajipanga kukuibia Mrembo wako Demiss,si utatupoteza kabisa kwenye uso wa Dunia???
BTW hongera kwahiyo tricky,wengine tulitakiwa kutoa hela kila tulipokuwa tunakwenda Msalani,kweli shule kipindi kile ilikuwa utemi hasa.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaan mi sina la kuchangia. Sina hamu na wewe bro.
Nilipanga nikutafute tufahamiane sasa nimeghairi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaan mi sina la kuchangia. Sina hamu na wewe bro.
Nilipanga nikutafute tufahamiane sasa nimeghairi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Wapi Behaviourist jamaa kamtumia chura vibaya huku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Wapi Behaviourist jamaa kamtumia chura vibaya huku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kumbe haya mambo umeanza siku nyingi......
 
Wapi Behaviourist jamaa kamtumia chura vibaya huku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…