Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wakae vizuri na Kigwangala awape miongozo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh utakuwa na range sio 😃 ukifika utakuta rivian ya blue ni mimi nitakuwa kwa ndan nakusubiriNimecheka balaa ebu pitia hapo kwa Mangi uagizie chochote nitapitia kulipa baadaye na range yangu
Hivi sauti imesikika kweli ongeza Volume madame.Hatari sana wangemshusha mshipa yule kiongozi wa tozo lingekuwa jambo la kheri.
Kwa hiyo hapo kilichofanyika ni uchawi? Yaani kufika na kutoiona nyumba ni uchawi? Hiyo ni teknolojia ya mtu mweusi......Biblia na Korani zimetulemaza kila lenye maajabu lifanywalo na mtu mweusi ni uchawiUchawi ni umasikini hivyo hauwezi kushusha hali ya umasikini
Kazi ya uchawi ni kurudisha nyuma maendeleo ya watu
Ila ukisikia mtu katoa kafara kwa sababu ya kupata utajiri pia utauta uchawi ni umasikini?Uchawi ni umasikini hivyo hauwezi kushusha hali ya umasikini
Kazi ya uchawi ni kurudisha nyuma maendeleo ya watu
Wanaume tukafate huu ujuzi, tunatogoza demu ukimpeleka Tandale yeye anaona yupo Masaki na bajaji inaoneka V8, na Nyumba ya udongo anaiona ghorofa.Hatari sana wangemshusha mshipa yule kiongozi wa tozo lingekuwa jambo la kheri.
Kabisa mku[emoji12][emoji12][emoji12][emoji122][emoji122]Wanaume tukafate huu ujuzi, tunatogoza demu ukimpeleka Tandale yeye anaona yupo Masaki na bajaji inaoneka V8, na Nyumba ya udongo anaiona ghorofa.
Hao wamiliki wa hiyo teknolojia wanakuwa wameshamalizana nao mapema.Natamani hii teknolojia ingetumika kwenye chaguzi ili kuheshimu haki za wapigakura
Achana na ushauri wa mkakati wa kuhangaika kushusha umaskini, mkakati mzuri ni kupandisha hali za maisha ya watu! Pandisha utajiri, achana na umaskini usihangaike nao, hangaika na utajiri!Huu uchawi ungetumika kushusha hali ya umaskini na kuwaongezea vipato ningewaona wana akili.
Na chama auHao wamiliki wa hiyo teknolojia wanakuwa wameshamalizana nao mapema.