Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Ila mshana umeongeza chumvi kuhusu huko ulipopasema. Japo kweli ushirikina upo
Kumbe Mrs Bishanga umeolewa na wahaya ila ni mpare[emoji23][emoji23][emoji23], huyu ndugu yetu kaongeza chumvi...hivi Mshana Jr we sí mpare wa lushoto kweli[emoji39][emoji39]
 
Kumbe Mrs Bishanga umeolewa na wahaya ila ni mpare[emoji23][emoji23][emoji23], huyu ndugu yetu kaongeza chumvi...hivi Mshana Jr we sí mpare wa lushoto kweli[emoji39][emoji39]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Lushoto kuna Wasambaa hakuna wapare wa Lushoto... Ningesimulia kila kitu kwa siku 3 nilizokaa kijijini Tae si mngesema nimeweka vinegar kabisa....!!?[emoji23]
Kuna watu tayari leo wanaenda huko ikiwapendeza nao wataleta mrejesho wao...
 
Kuna bosi wangu wa zamani pia mpare wa uko uko aisee hatari yaani halipi mishahara kwa wakati anaweza akasafiri miezi 3 watu wanapewa posho akija anaitisha kikao anaanza polojo watu wanatulia wanamsikiliza na hawasemi chochote.

Huyu jamaa Mke wake ndiye mhasibu wa kampuni na pesa zote na signatory ni yeye.

Yaani niliondoka na kukimbia nikiwa nadai laki 9 yaani alitaka kuwa niwe msukule wa taasisi ambayo yeye ni CEO

Staff inafanya kazi kweli cha ajabu halipi mishahara yaani akija ni story na watu wote wamefanywe mazombi wanamsikiliza tu.

Hawa watu nimewaogopa kufanya nao kazi aisee imagine kampun inayoingiza netprofit milion 200+ per year inashindwa kulipa mishahara.

Kuna wafanyakazi pale wana miaka 10 ila wanalia njaa ya pesa.

Kuna jamaa alimfokea ili amlipe alivyokuwa anaondoka baada ya kulipwa alipata ajali na kufa kabla ajafika kwao

Hii ndio ilinifanya Mimi nikimbie mpaka niache laki 9 hizi kazi hizi.


Nasikia alikuwa akifanya matambiko ya chakula kila akirudi kutoka safari maana alipenda kila akirudi anachinja mbuzi kwa ajiri ya staff yake.. Ukila tu tayari unakuwa mzee wa ndio
 
Lushoto kuna wapare kibao, yaani wapare wa kutosha... kuanzia hapa mombo kupandisha huko juu ni wamejaa wa kutosha.
 
Lushoto kuna wapare kibao, yaani wapare wa kutosha... kuanzia hapa mombo kupandisha huko juu ni wamejaa wa kutosha.
Nimekulia Lushoto ... Hao wote ni wahamiaji ...kuna wambugu lakini hawa si wapare kamili wana usomali 50%
 
Yaani sisi wazee wa Swax (Sumbawanga) huwa tunavishwa hili joho la kupiga ndele na chekeche as if mahala pengine hakuna kbsa mambo ya kupiga gia hewani ,kumbe hata kaskazini kuna mambo ya kutisha namna hii?
Tunaonewa Sana asee
 
Yaani sisi wazee wa Swax (Sumbawanga) huwa tunavishwa hili joho la kupiga ndele na chekeche as if mahala pengine hakuna kbsa mambo ya kupiga gia hewani ,kumbe hata kaskazini kuna mambo ya kutisha namna hii?
Tunaonewa Sana asee
[emoji3][emoji3][emoji3]Kilinge changu kimechukuliwa na mtu wa huko kwenyu Sumbawanga
 
[emoji2][emoji2][emoji2]muache babu yangu...
Ni rafiki yangu sana ujue.. Kule shamba kwakwe vijana hata wakute mua umeng'oka wenyewe hawagusi[emoji3][emoji3][emoji3] wala ndizi zake hata kima hasogei[emoji23][emoji848][emoji2815][emoji2827]
 
Unataka kusema wale wanaoongea kipare kuanzia Mtae, Mnadani, Sigi na kuteremka mpaka Mlalo Ni wambugu?
 
Kwanin Wanawake wakishana Wanawaka moto usiku
Neno kushana maana yake Ni ku unda au ku mould au kutengeneza. Ukoo wa washana ndio walikua wanatengeneza au kufua vyuma na kutengeneza zana Kama panga, jembe n.k.
Utaalamu huu ulihusishwa na uchawi na ilikua Siri yao tu, yaani hawakuruhusu ukoo mwingine ujue kuunda zana ili ku protect hiyo trade yao.
Ndio maana ukoo unaoogopwa kwa uchawi upareni Ni washana. Zamani watu wa Koo nyingine waliepuka kuoa washana kwa sababu za kishirikina. Hata Sasa wanaojielewa hawaoi washana.
Mshana Jr correct me kabla sijaanza kutaja Mambo ya milango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…