Umewahi kufika Kilomen? Nature za ile barabara hio ni kawaidaHii ndio video husika ya tukio zima. Dereva kama angepatikana angetupa insights za nini kilitokea dakika zile za mwisho. Je, alienda chobingo? Je, ajali ilimtaka yeye? Je, dereva naye yuko fit?
View attachment 1828123
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]yule mzee Ana roho nzuri sanaDuh.. Kumbe unamjua huyu mzee?[emoji2815][emoji2815][emoji2815][emoji3]
Sio Same.
Ni wilaya ya Mwanga kijiji cha Kilomeni Sof
Kwanin Wanawake wakishana Wanawaka moto usikuMimi ni Mpare
Kumbe Mrs Bishanga umeolewa na wahaya ila ni mpare[emoji23][emoji23][emoji23], huyu ndugu yetu kaongeza chumvi...hivi Mshana Jr we sí mpare wa lushoto kweli[emoji39][emoji39]Ila mshana umeongeza chumvi kuhusu huko ulipopasema. Japo kweli ushirikina upo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Lushoto kuna Wasambaa hakuna wapare wa Lushoto... Ningesimulia kila kitu kwa siku 3 nilizokaa kijijini Tae si mngesema nimeweka vinegar kabisa....!!?[emoji23]Kumbe Mrs Bishanga umeolewa na wahaya ila ni mpare[emoji23][emoji23][emoji23], huyu ndugu yetu kaongeza chumvi...hivi Mshana Jr we sí mpare wa lushoto kweli[emoji39][emoji39]
Kuna bosi wangu wa zamani pia mpare wa uko uko aisee hatari yaani halipi mishahara kwa wakati anaweza akasafiri miezi 3 watu wanapewa posho akija anaitisha kikao anaanza polojo watu wanatulia wanamsikiliza na hawasemi chochote.Kwa jinsi supervisor wa shemeji anavyoiburuza kampuni nzima mpaka bosi wa kampuni mimi nakuambia ulozi upo. Yaani HR akiambiwa anakuambia huyo Supervisor ndiyo alivyo hivyo hivyo na bosi hua hana cha kumfanya.
Sasa nikamshauri shemeji, ajiendeleze kielimu kidogo kisha afanye namna apate nafasi ya juu ofisini ambayo haitamtaka asimamiwe na supervisor.
Akanijibu "Kua bosi bongo miyeyusho, kwani na mi si nitakua nasimamia watu nitakua bosi wao? Sasa ninaowasimamia waniloge ili niwapende, nyumbani dada yako aniloge nimpende, mchepuko uniloge ili nizidi kutoa hela, bosi aniloge nisifikirie kuacha kazi, hapo mgahawani nilogwe nisihame mgahawa mwisho niwe zombi kwa mchanganyiko wa madawa. Nitakomaa na huyu mwana hadi kieleweke"
[emoji2][emoji2][emoji2]muache babu yangu...Halafu ni mshika dini mno.. Very humble guy...lakini.....[emoji2815][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Me sio mpare ila nina mahusiano na wapare ya karibuKumbe Mrs Bishanga umeolewa na wahaya ila ni mpare[emoji23][emoji23][emoji23], huyu ndugu yetu kaongeza chumvi...hivi Mshana Jr we sí mpare wa lushoto kweli[emoji39][emoji39]
Lushoto kuna wapare kibao, yaani wapare wa kutosha... kuanzia hapa mombo kupandisha huko juu ni wamejaa wa kutosha.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Lushoto kuna Wasambaa hakuna wapare wa Lushoto... Ningesimulia kila kitu kwa siku 3 nilizokaa kijijini Tae si mngesema nimeweka vinegar kabisa....!!?[emoji23]
Kuna watu tayari leo wanaenda huko ikiwapendeza nao wataleta mrejesho wao...
Yaani sisi wazee wa Swax (Sumbawanga) huwa tunavishwa hili joho la kupiga ndele na chekeche as if mahala pengine hakuna kbsa mambo ya kupiga gia hewani ,kumbe hata kaskazini kuna mambo ya kutisha namna hii?Huwa nacheka sana baadhi ya watu wakipinga kwa nguvu zote kuwa hakuna uchawi. Hawa hawajatembea wakajionea kwa macho yao na kushuhudia live kabisa, SIO KUSIMULIWA.
Last week kuna picha ilitrend mitandaoni ikionesha gari la Landcruiser pickup likiwa limekita pua juu ya paa la nyumba ya udongo na kudumbukia ndani. Achana na ubora na uimara wa nyumba ambayo pamoja na kuathirika kwenye paa lake lakini kuta zimebaki salama licha ya kuangukiwa na gari lenye uzito wa tani hivi.
Baada ya picha ile kuzagaa mitandaoni kuna wanahabari walichukua muda kwenda kupata ukweli na uhalisia wa tukio zima na wakatuletea na video! Katika video husika mashuhuda wakalihusisha tukio zima na imani za kishirikina! Mwenye gari kampuni ya minara ya Arusha kaingia mitini na kulitelekeza gari lake ambalo liliserereka lenyewe likapata support ya waya za umeme na kwenda kuishia kujikita kwenye nyumba husika. Hakukuwa na vifo wala majeruhi licha ya kwamba wakati wa tukio kuna mtoto alikuwa kalala ndani.
Mimi nilikuwa mitaa ya huko mwanzoni mwa mwaka huu. Nilienda kwenye mishe zangu personal. Nilienda Milima ya kati ya Hedaru na Same eneo linaitwa makanya Kijiji cha TAE. Kwa hakika kule niliukuta ushirikina katika uhalisia wake.
Kule mahakama ya haki ni ushirikina hakuna dhuluma, hakuna wizi, hakuna kugeukana hakuna kusalitiana. Ukizingua kwenye hayo moto utakuwakia. Kule ni heshima, adabu, ukweli na uaminifu.
Wizi wa bodabida ni tatizo kubwa Tanzania lakini sio Makanya wala Tae. Wakati naelekea Tae tukapita mahali porini kuna bodaboda imeegeshwa kwenye mti nikaambiwa ina wiki mbili hapo na mwenyewe alitoa tu taarifa kwa ndugu zake kuwa ilimuishia mafuta. Akaiacha hapo akauchapa mpaka Makanya akaenda zake aendako.
Safari yangu ya Tae ilinikutanisha na mambo ya ajabu lakini mengine ya kutisha. Kwa kifupi Tae kunaogopeka kati ya vijiji vyote vya kule. Tae mpaka leo hakuna usafiri wa Jumuiya kwenda na kurudi Makanya licha ya kwamba kuna umbali wa kama Kilometers 20 hivi huko ni boda au kuuchapa na ni kupanda ama kushuka milima na vilima.
Magari yaendayo Tae ni kwa ajili ya waendao kwa waganga wa kienyeji, misiba, shughuli za kiserikali na miradi.
Tae kuna vilinge maarufu vya kuua, kuharibu, kutengenezwa mambo yako. Na wakuu wake hawaingiliani bali wanashirikiana. Nikiwa kule nilishuhudia nyumba zilizoachwa na wahanga wa usaliti kwenye siasa.
Wahanga wa usaliti kwenye biashara (mirungi, bhangi na gongo)
Wahanga wa wizi mbalimbali
Wajuaji nknk
Nilikaa Tae siku tatu tuu lakini niliyoyaona kule yanafaa kuandikiwa kitabu kizima!
Tukirudi kwenye ajali husika tujihoji haya. Kwanini mmiliki kaamua kuitelekeza gari yake ya mamilioni pale?
Je, dereva wake kakimbilia wapi?
Je, wafanyakazi wa kampuni kuna mahali waliharibu?
Bado natafuta wasaa nifike eneo la tukio. Na nikienda huko nitawaletea mrejesho.
View attachment 1828122
[emoji3][emoji3][emoji3]Kilinge changu kimechukuliwa na mtu wa huko kwenyu SumbawangaYaani sisi wazee wa Swax (Sumbawanga) huwa tunavishwa hili joho la kupiga ndele na chekeche as if mahala pengine hakuna kbsa mambo ya kupiga gia hewani ,kumbe hata kaskazini kuna mambo ya kutisha namna hii?
Tunaonewa Sana asee
Ni rafiki yangu sana ujue.. Kule shamba kwakwe vijana hata wakute mua umeng'oka wenyewe hawagusi[emoji3][emoji3][emoji3] wala ndizi zake hata kima hasogei[emoji23][emoji848][emoji2815][emoji2827][emoji2][emoji2][emoji2]muache babu yangu...
Unataka kusema wale wanaoongea kipare kuanzia Mtae, Mnadani, Sigi na kuteremka mpaka Mlalo Ni wambugu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Lushoto kuna Wasambaa hakuna wapare wa Lushoto... Ningesimulia kila kitu kwa siku 3 nilizokaa kijijini Tae si mngesema nimeweka vinegar kabisa....!!?[emoji23]
Kuna watu tayari leo wanaenda huko ikiwapendeza nao wataleta mrejesho wao...
Neno kushana maana yake Ni ku unda au ku mould au kutengeneza. Ukoo wa washana ndio walikua wanatengeneza au kufua vyuma na kutengeneza zana Kama panga, jembe n.k.Kwanin Wanawake wakishana Wanawaka moto usiku