Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni


Sema Wazee Wakongwe kadiri wanavyofariki naona Hali itakuwa shwari.
 
Halafu tena gari yenyewe ni Toyota Stout ya mwaka 1986, ambazo zimebaki Kilimanjaro tu. Miaka ya nyuma niliitafuta sana mpaka nikatoa Tangazo hapa bila mafanikio yoyote.
Mkuu hii ni Land Cruiser Pick Up hao NEWL ndio wanazotumia kusambaza mafuta kwenye minara, siku hizi wanatumia na Nissan Hardbody pia.

Hizo Toyota Stout nyanda za juu kusini zipo kibao nipe deal hata leo inapatikana Kuna wazee wamepaki nyumbani.
 
Tukirudi kwenye ajali husika tujihoji haya
Kwanini mmiliki kaamua kuitelekeza gari yake ya mamilioni pale?

Sidhani kama mzee Lema anaweza itelekeza gari yake, maana ndiye mmliki wa Northern Engineering a.k.a NEWL

Na hizo gari zao huwa zinafungwa GPS

Je dereva wake kakimbilia wapi?
Je wafanyakazi wa kampuni kuna mahali waliharibu?

Kwa kawaida kwenye hizi kampuni za kuhudumia minara, watu wanaitwa Field Technicians au Supervisors ndio husambaza wese kwa kutumia hizo gari za kampuni...

Bahati mbaya sana, hizo gari huwa ni mbovu mbovu na kawaida sana kuona gari zao zimepata breakdowns...

Chance kubwa ni hilo gari lazima lilikuwa na kasoro ya kiufundi, na ukichukulia jiografia ya huko mlimani lazima lingetii effect ya gravity...

Pia si ajabu technician aliyepewa hiyo gari kafanya tu hujuma, pengine madai au maslahi yake hayajasikilizwa au fanyiwa kazi...
 
Nilipoona tu reply yako mtafiti nikajua utashusha data za kutosha sana.
 
Na maelezo yake haya hapa
Your browser is not able to display this video.
 
Nenda Kasulu Nyamnyusi Utajiridhisha
Hayo Mambo Ni Magumu Ila Yapo Sana

Hapa Dsm kwangu nyumbani nina store Ndogo nimehifadhi mapipa makubwa ya maji, Wife amekua analalamika kwamba huwa anayajaza maji lakini asbuhi anakuta yamepungua.

iliniwia vigumu sana kuamini siku moja nikamwambia jaza maji lakini usiyaguse kabisa hayo mapipa kwasababu nilihisi huwa anayatumia halafu anasahau, kweli kajaza nime monitor siku mbili hakuna lilitokea.

siku ya tatu nikamwambia aweke ile pipe anayotumia kujazia maji ibaki ndani ya pipa, Sikuamini nilichokiona kesho yake mapipa yalikua nusu.

kwasababu siamini haya mambo ya kuroga na kurogana napata shida sana ya kungamua nini kilitokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…