Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Mkuu Mshana yani hata wewe unaamini hii kitu , mbona ni scenario ya kawaida tuu, mosi barabara ikiwa inapita juu na nyumba ziko chini possibility ya kuanguka ni kubwa sana huko upareni ni milimani tena barabara zake ni za ajabu sana , kuna baadhi ya maeneo ya marangu huko moshi na yenyewe yako hivyo barabara zimechongwa milimani kona nyiiingi ili kuwezesha magari kupita , sasa ikitokea bahatimbaya gari ikafeli na barabara zenyewe za vumbi lazima ikite kwenye mapaa tu. Hakuna ushirikina wowote hapo ni wewe tu mkuu mshana , kwakua na wewe ulienda kwa masuala hayo kwa siku tatu zote lazima tu ungeamini hivyo.
 
Nilipoona tu reply yako mtafiti nikajua utashusha data za kutosha sana.

🙏🙏🙏🙏🙏🙏
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Nitarudi Tae karibuni

Tae, Mamba, Mbwambo, Suji, Vudee, Mwembe, Gonja, Ndungu, Kihurio, Mnazi mmoja, Chome, Parane.

Sema Makanya Ile Tambarare yake nzuri Sana.

Shida ni ukame.
 
[emoji23][emoji23]

Mimi nimelelewa kwenye Dini, na nimeiva Kwa kiwango cha level za Vijana wengi wa Zama hizi.

Mwanzoni nilikuwa siamini Uwepo WA uchawi.

Lakini Kwa Makanya yapo baadhi ya Matukio yaliweza kunithibitishia.
Na hata viongozi na washika dini wakubwa ni washirikina wa kutupwa
 
Uswahili ni shida sana. Nmeangalia mara 4 sioni mazingira ya ushirikina au kitu cha ajabu hapo. Pangekuwa tambalale then gari ikapaa kwenda kwenye nyumba tungeshangaa. Gari imeseleleka toka mlimani sasa uajabu wake nini? Tusipende kila jambo kulifanya kuwa ni issue ya kutolea mitazamo yetu au imai zetu. Jambo hili lipo wazi kabisa halina ukakasi wowote
 
Uswahili ni shida sana. Nmeangalia mara 4 sioni mazingira ya ushirikina au kitu cha ajabu hapo. Pangekuwa tambalale then gari ikapaa kwenda kwenye nyumba tungeshangaa. Gari imeseleleka toka mlimani sasa uajabu wake nini? Tusipende kila jambo kulifanya kuwa ni issue ya kutolea mitazamo yetu au imai zetu. Jambo hili lipo wazi kabisa halina ukakasi wowote
Shida yako nini mkuu?? Mtoa post kazungumza mengi sana ya huko na mpaka mwenyeji wa huko kakili kuwa kweli kuna ushirikina lkn wewe unakomaa tu sijui tatizo nini
 
Back
Top Bottom