uchawi upo zaidi ugweno,usangi na lomwe..
muulize rais wa awamu ya 2.
nadhani hata kwenye kitabu chake hakusalimia na hataki kukumbuka!
aliporudi pwani akatafuta wataalam waliobobea akawatuma kule wakasafishe vijiji vya kishirikina!
ilitokea kasheshe kubwa sana wakati huo ikawa ndio habari ya mjini kipindi hicho!
kuna mzee ana mabasi yatokayo moshi-usangi (sitamtaja)huyo mzee ni fire.
ametesa sana matrafiki waliokuwa wanasumbua basi zake.
kuna trafik alizoea kupiga mkono basi zake hadi leo mkono umebakia kauunyosha juu.hapana chezea huyo mzee!
hiyo ni ruti yake na kila ijumaa usafiri ni bure ole wako konda uchkue nauli unajikuta secret parts hazipo...!