Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Jaribu kuiele we a hiyo picha vyema, jaribu kumuelewa na mtaalamuna wa vilinge afrika mashariki na kati hahahahaha
1. Gari kuachwa na mmiliki?
2. Uimara gani wa nyumba ukilinganisha na uzito wa gari
3. Inawezekana kuna mtu anapewa onyo alizungua
Sasa Bakari Msangi ameishaenda kumalizana na Sabaya huko milimani.. tusubiri matokeo tu. Hata Sabaya akiachiwa na mahakama adhabu yake iko palepale kutoka kwa wazee wa kipare
 
Kwahiyo Mimi ni dada wa mama yako leo?? Mm sio dada tuheshimiane naweza kuoa ukoo wenu wote Kwa mahali ndogo sana

Sema unaweza olewa na ukoo wetu wote kwa kutolewa mahari siyo MAHALI kilaza wewe. Huko ulikoolewa sasa umelipiwa sh. Ngapi mpaka unatetea hivyo? Unaumia sana au ni ID nyingine? 😁😁😁😁😁
 
Kilenga hayupo usangi, yupo juu ya vijiji vya mwembe huko juu. Kama unaenda msitu wa shengena
 
Mimi naishi upareni huku hakuna kudhulimiana wala wizi wa kijinga wana uchawi unaitwa " MMA" ni hatari aisee unasafisa ukoo mzima alafu aliyefanya tukio anakua wa mwisho kufa !!!
Hawa jamaa ni shida!!! Nawaogopa sana sana hata mademu akikuendea kwa babu utasahau familia yako!!!
Huku upareni kwa wafugaji hata ngombe wakiibiwa kinachofanyika ni kwamba aliyeibiwa ngombe wakati wanawafatilia ngombe wanachokifanya ni kuokota nyayo za hao ng'ombe (udongo) kisha wanafunga hapo Ngombe walioibiwa wanagoma kwenda wanakoelekezwa na wezi hapo wakati huo wafalikia nyayo wanasogelea
 
Duh!
 
Kuna mdau kasema nimetia chumvi sana ushirikina wa Tae, wakati nilichosimulia ni tone tuu
 
Mwinyi kilimkuta nini huko upareni? Nadhani hao wazee wa pwani hawakuamini walichokutana nacho huko. Wapare ni kiboko hawapishani sana na waha wa kigoma
 
Hahahaa wazee wa cbumaulete na kuagiza kuku nakaniki
Jamaa wanapata vitambi kwa kuku wa kuagiza, wanaongezea tu lete mweupe, au mweusi ili usimshtukie, ila kuku wako palepale.
 
Duh
 
Hao waganga wa huko Upareni ndio nawataka wanitengeneze, maana naona kuna mtu keshanizowea sana, Mshana Jr mtani wangu hebu nipe connection niende niko serious kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…