Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
- Thread starter
- #21
Ha ha ha haa haaaaa hujaisoma ngonjera lakini umeitolea majibu ngonjera. Yap,hata mteuliwa aliwajibu makutano kwa kusema "imani yako ndiyo itakayo kuponya"Sijsoma ngonjera yako ila hakuna uchawi/ushirikina/wanga zote ni story za kusadikika na zinaaminiwa sana wa wajinga.
NB: Ujinga sio tusi.
NB;yah naunga mkono,ujinga sio tusi.