Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,158
Niligombana na mwanamke wa Kisomali aliniambia atani fix. Nilimdharau. Nilikaa miaka kumi kila job interview nikienda ninaangukia pua pamoja na vyeti vyangu.
Nilikutana na Ustaadhi alinisomea dua. Baada ya hapo nilifaulu interview kesho yake.
Nilikutana na Ustaadhi alinisomea dua. Baada ya hapo nilifaulu interview kesho yake.