Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
ha ha ha hebu tupatie ujuziUmejua leo ama!
Hiyo haina ujuzi mkuu.jua tu ni mbolea moja nzuri sanaha ha ha hebu tupatie ujuzi
hiyo ni hatari,hasa maisha ya kipato yanapokuwa yanabadilika badilikaHiyo haina ujuzi mkuu.jua tu ni mbolea moja nzuri sana
Wanataka pesa hawataki saundiMkuu wangu si bure kutakuwa na lililokukumba RECENTLY ukaamua utueleze Jambo Lililo Kongwe na kuacha HISIA za kiliberali😂😂😂.
Bora umewaacha BETA MALES kuja kwetu kambi ya ALPHA MALES....
Alpha Males 4ever😁😁.
wanasema pesa ni nguvuPesa tamu jamani,.... Hata kwenye familia mtoto mdogo akiwa na pesa ataheshimika na kusikilizwa kuliko wewe mkubwa usiye na kitu, tena usiye na pesa kwenye familia Unaitwa mtata
Hapo ndipo mnapoanza kubadilisha maana.hiyo ni hatari,hasa maisha ya kipato yanapokuwa yanabadilika badilika
Tena kwenye kikao cha familia utaonekana unapiga kelele tuPesa tamu jamani,.... Hata kwenye familia mtoto mdogo akiwa na pesa ataheshimika na kusikilizwa kuliko wewe mkubwa usiye na kitu, tena usiye na pesa kwenye familia Unaitwa mtata
Kweli, ngoja tupambane kuzitafutaHapo ndipo mnapoanza kubadilisha maana.
Si kwamba umpe kila mara..jitahidi kumpa pesa pasipo kukuomba..ili kesho ukikwama tunakuwa tunaelewa.
Sio kupenda kitonga tu.
Yes nafanya kazi napata pesa lakin na wewe kwa kiwango uonyeshe ushirikiano.loh
wanakuwa wanapandana mbele ya macho yakoTafuteni hela hakuna namna.
Hakuna kitu kibaya kama kukosa hela aise😢😢hata nzi ataleta dharau
🤣🤣🤣🤣🤣sasa kumbe jewanakuwa wanapandana mbele ya macho yako
Ukiona hivyo ujuwe umedharaulika🤣🤣🤣🤣🤣sasa kumbe je
😂😂😂😂😂Pesa tamu jamani,.... Hata kwenye familia mtoto mdogo akiwa na pesa ataheshimika na kusikilizwa kuliko wewe mkubwa usiye na kitu, tena usiye na pesa kwenye familia Unaitwa mtata
Looh😂😂😂nami pia nimemuuliza hajanijibu😁😁😁Mbwa, mbuzi, paka😂😂😂😂...
Bila pesa hakuna mapenzi na kusingekuwa na mapenzi hela isingekuwa pasua kuchwa...tafuta hela mkuu japo natamani kujua kimekupata nn? Au ndo umeitwa majina ya wanyama😂😂😂