Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umelijua hilo mapema. Hamna mapenzi sikuhizi ukiwa huna kitu. Watu hu focus katika pesa maana ndio namna pekee watanufaika.Yaani nimepata funzo kubwa kwenye maisha yangu sitakuja kumuamini binadamu mweusi hata siku moja wapo kinafki zaidi.
Kwani wanaoita majina ya ajabu si mabinti kama wewe tu. Ni kwanini mtu asiye moyoni unakubali kuwa nae katika uhusiano?Utu Kwanza..pesa inafuata..nikuite majina ya ajabu kisa tu umeishiwa..labda hukuwa moyoni .
Bora umelijua hilo mapema. Hamna mapenzi sikuhizi ukiwa huna kitu. Watu hu focus katika pesa maana ndio namna pekee watanufaika.
Muhimu ni kujipenda sana wewe kama wewe. Mapenzi yatakufuata tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa tamu jamani,.... Hata kwenye familia mtoto mdogo akiwa na pesa ataheshimika na kusikilizwa kuliko wewe mkubwa usiye na kitu, tena usiye na pesa kwenye familia Unaitwa mtata
Kuna wakati unajikuta upo kwenye mahusiano ya Bora liende labda sababu ya upweke n.kKwani wanaoita majina ya ajabu si mabinti kama wewe tu. Ni kwanini mtu asiye moyoni unakubali kuwa nae katika uhusiano?
Ohoooo...Kuna janamke limoja lipumbavu kabisa ambalo limeshindwa kujielewa
Mwanzo nililipenda Sana nikalithamini
Nikatengeneza nalo mahusiano
Nimelisaidia Sana kwa kila kitu
Eti limeanza kunitunishia misuli
Li sura jenyewe baya kisenge
Limebaki kulingia tako
Mara linivungie ubabe eti kisa Ni linyakyusa
Mara pafyum yangu inalisababishia kichefuchefu
Mara linikazie hug.
Pumbavu Sana moreen
Ntakupiga tukio mpaka ujione huna thamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, bora liende tena.!? Ishawahi kukutokea hio ukawa na mtu sababu tu hutaki kuwa single.😂😂😂?Kuna wakati unajikuta upo kwenye mahusiano ya Bora liende labda sababu ya upweke n.k
Yeah better kujenga familia yako, brothers and sisters muinuane. Ndugu yako atabaki kuwa ndugu tu.Nimeona kweli tusifanye vitu kwa ajili ya kuwafurahisha watu ni bora kufocus kwenye familia yako tu.
Ndiyo nimewahiDuh, bora liende tena.!? Ishawahi kukutokea hio ukawa na mtu sababu tu hutaki kuwa single.😂😂😂?
Yeah better kujenga familia yako, brothers and sisters muinuane. Ndugu yako atabaki kuwa ndugu tu.
Dah ila mahusiano bana, next time usifanye hivyo lakini. Najua jamaa aliishia kuumizwa tu! Make sure uko pamoja na hisia unapoamua kuwa na mtu.Ndiyo nimewahi
Sawa brazaDah ila mahusiano bana, next time usifanye hivyo lakini. Najua jamaa aliishia kuumizwa tu! Make sure uko pamoja na hisia unapoamua kuwa na mtu.
Ila ndugu ni muhimu, mapenzi huisha urafiki hufa ila udugu haufi. Saidia wale wanaohitaji msaada wako.Ingawa hata ndugu nao huwa wanazingua muda mwingine ila ukiwasaidia atleast unajiwekea akiba badae ukiumwa au kupata ulemavu wanaweza wakakusaidia.
NdaghaSawa braza
Tuongee kwa vitendo.
wewe umeolewa na mtu wa aina gani?
Na kama hujaolewa mchumba uliyemchagua ni aina gani?kapuku asiye kitu?