Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

acheni kumwaga povu q chief na rich mavoko walishawahi kulalamika kwamba daimond anaworoga na juzi babu tale alisema cloudz anaamini uchawi na anashiriki so we ukiamini usiamini does not matter lakini suala la uchawi wasanii wenzako walishalalamika zaaamani kwamba anawaroga ney wa mitego na daimond wanajuana vizuri saanaa kwenye hayo mambo ndo maana ney yupo karibu nae saanaa

Daah!.Kumbe Hajaanza Leo Haya Makitu.Inaonekana Uchawi Asili Yake.Ila Mwisho Wake Unakaribia.Asubir Aone Kama Uchawi Ni Dili.
 
Mimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.

Naomba niwekee picha yake ya kafara ili nijiridhishe na ushahidi maana naona unaandika barua ndefu bila attachment, halafu wewe ni mbwa wa mungu eeh⁉mungu hana mbwa nina mashaka na imani yako pia usikute huwa mnapishana na diamond huko kwa waganga nigeria ndio maana mnajuana
 
hivi alikujaga kukiri kwamba ulikua uchawi?
mr nice ilikuwa anatumia ndumbaa alivyokosea masharti ndo akapotea kwenye game wasanii kama cassim mr blue wale mziki ni kipaji hawafanyi hivyo vitu ndo maana wanatoa nyimbo watu wana wapotezea belle 9 rich mavoko wote walikataa hivyo vitu na hawatakaa washuke kwenye game labda waache mziki


mfano cassim anatulia anatoa nyimbo inabamba
source pwilo
 
Last edited by a moderator:
Fanya kazi kwa bidii acha kutegemea mwanadamu f.a.l.a. weweee
Mmssyyuu

Huu Ushauri Unamfaa Domo Mburula Mwenzio.Sema Yeye Wa Tandale Cjui Wewe Ni Mburula Wa Wapi Vile?.Ebu Tukumbushe.
 
Mimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.

Amemtoa nani kafara?
 
DOGofGOD

Wanga kila kona, ama zangu ama zao!
Chibu anapiga hela wee mafuriko yanakubeba, dah!
Alafu Mond anavyozidi kupaa baadhi ya watu ndo chuki zao za ndani zinazidi kuwamaliza! Wee utakuwa shabiki ya YANGA.
 
Last edited by a moderator:
mr nice ilikuwa anatumia ndumbaa alivyokosea masharti ndo akapotea kwenye game wasanii kama cassim mr blue wale mziki ni kipaji hawafanyi hivyo vitu ndo maana wanatoa nyimbo watu wana wapotezea belle 9 rich mavoko wote walikataa hivyo vitu nachawatakaa washuke kwenye game labda waache mziki


mfano cassim anatulia anatoa nyimbo inabamba
source pwilo

Umeongea Pointi Sana Mkuu.Ipo Siku Wataelewa Iki Tunachokisisitizia Hapa.Wasanii Kama Mr.Blue, Kingkiba Wanatumia Vipaji Asilia Hawatakaa Washuke Kimuziki Hata Kama Miaka20 Ijayo.Ila Chibu Anatumia Pete Ya Bahati Kutoka Nigeria.Huyu Siku Zake Zinahesabika.
 
Last edited by a moderator:
siku akikosea masharti
kwani kanumba si ilikuwa anakataa hivihivi kama huyu
0b6b9850c49f9163e2b808c3bcf80cfa.jpg
2d4f63f21ca24b0125782b813b3f3665.jpg
87925457b70a23aa23a8d3572db5eaf3.jpg
3dd40e54d1b3e1473783949616da2869.jpg


believe or not ??
 
We ndo mchawi kuzidi wachawi wenyewe, tena kwa hizi tabia zako lazma utakua unapaa na ungo

Nilikua Nakuona Una Akili Sana.Kumbe Na Wewe Kichwani Zero Kama Mamburula Wengine Humu Jf.Yuko Wapi Mr.Nice Na Ushirikiana Wake.?

Hivi Kweli Binadamu Mwenye Akili Timamu Anaweza Kupenda Nyimbo "Kuku Kapanda Baiskeli".Kama Sio Nguvu Ya Ndumba.? Husiwe Na Mawazo Mgando Funguka.
 
mr nice ilikuwa anatumia ndumbaa alivyokosea masharti ndo akapotea kwenye game wasanii kama cassim mr blue wale mziki ni kipaji hawafanyi hivyo vitu ndo maana wanatoa nyimbo watu wana wapotezea belle 9 rich mavoko wote walikataa hivyo vitu nachawatakaa washuke kwenye game labda waache mziki


mfano cassim anatulia anatoa nyimbo inabamba
source pwilo
hivi utamjuaje mchawi kama huwangi nae
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom