Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Na freemasson iliishia wapi!? Na niliona pia sehemu diamond anabeba unga, sasa umekuja uchawi wa Nigeria watanzania acheni uzembe wa kufikilia kila chenye jitihada kina mavuno mazuri!
 
Mi I Thnk Kuabudu Kitu Au Miungu Fulani Ni Personal Issue,cz Kuna Wengne Hata Huko Nigeria Hawaendi Sana Stll Wamefanikiwa,so M Nahx Ushabikie Nyimbo Zake Na Sio Dini Yake Cz Wew Hakuhusu Na Haikusaidii,na 2 Hakuana Dini Au Kitu Ambacho Inaelezwa Au Kinaelezwa Ni Perfct Na Dunia Nzma 2napaswa Kuifuata Hakuna Hyo Dini..So Evry1 Anaabudu Anachokisikia Na Imani Yake Inapoangukia...
 
Mtoa post ni mbulu.....la tu.Leta ushahidi wa Mond akiwa kwa waganga!! Ur an idi..ot kukaa na kufikr mafanikio yanapatikana in such stupidity thoughts!!!!! Fanya kazi kwa bidii mpuuz wewee

Taifa Kua Na Binadamu Wenye Mawazo Kama Ya Kwako Ni Hasara Kubwa.Au Labda Ni Nguvu Ya Ile Pete.

Wewe ungekuwa na mawazo yasiyo na hasara usingekaa na kufikiria kwamba anaefanikiwa kimaisha kama diamond anatumia uchawi. Wee mchawi ndio mana unaweza kutuaminisha kwamba naw anatumia uchawi. Ni sababu ya ya tuzo tu ! Mbona hukutuambia toka anaanza kufanya vizuri yeye ni mchawi. Jiangalie sana mlokole usiejua thamani yako.
 
Kwa nini mafanikio ya mtu ni uchawi tuuuuuu si kipaji cha mtu. Diamond anawakosesha raha. Mpeni Mungu yaliyo ya Mungu basi mpeni Diamond yaliyo ya Diamond ni kipaji chake jamani ahh aah!
 
Katika Bara La Afrika.Nigeria Ndo Nje Inayoongoza Kwa Uchawi Na Vitendo Vya Kishirikina.
Wasanii Wakubwa, Wafanybiashara, Wacheza Filamu, Watumishi Wa Mungu, Wanasiasa, Watu Maarufu Nchini Nigeria Achilia Mbali Wananchi Wa Kawaida Wengi Wao Ni Waumini Wa Imani Za Kishetani Na Washirikina Wakubwa.

Mafanikio Ya Ghafla Ya Chibu Na Mlolongo Wa Tuzo.Zinatokana Na Kujihusisha Katika Imani Hizi Za Kinageria.Safari Nyingi Za Chibu Za Kwenda Naigeria Na Kurudi Zinahusisha Pia Kupata Nafasi Ya Kushiriki Katika Ibada Zao Na Kwa Ajili Ya Kutoa Sadaka Na Kufanya Matambiko.

Collabo Nyingi Za Domo Anazoforce Kufanya Na Wanigeria Ni Ktk Muendelezo Wake Wa Kua Karibu Na Wanamuziki Maarufu Ambao Nao Ni Waumini Wa Imani Hizi Za Kichawi.

Inasemekana Hata Utajiri Alionao Mkewe Mtarajiwa Zari(thebosslady) Chimbuko Lake Ni Uko Uko.Siri Ya Pete Ya Dhahabu Anayoivaa Domo Mkono Wake Wa Kushoto Ambayo Wengi Wanadhani Ni Pete Ya Uchumba.Lakini Ukweli Ni Kua Ni Pete Aliyoipata Nchini Nigeria.Na Inabeba Siri Kubwa Ya Mafanikio Yake.

Ujue wewe ni zaidi ya hata hao wachawi... Huko Nigeria unapodai anaenda kushiriki ibada za kishetani ushaendaga nae ukaona akifanya hilo jambo!!? Kama ndivyo tuletee japo ushahidi wa picha
 
So hata nyimbo anazotunga na kuimba ni uchawi pia au ?. Unahitaji kuwa na free mind kuelewa jambo mleta mada. Acha fitina na chuki kwa mwenzio.
 
hebu niambie hapa alimaanisha nn au bahati mbaya kwa nn walivua wote nguo
6b5686b837889991f35d40c3ac5951b1.jpg
dc0e6841c850db3a803b553fde6e5dd6.jpg
863204e280ff38fb90e13a95b7543069.jpg
afande sele nae alishafanya hivyo alikuwa pia anawanga?
 
Yaani kama uchawi ndio unaleta maendeleo bila kumuathiri mtu hata mimi nitakwenda ili nipate hayo maendeleo. Lakini kwani ninyi hampendi maendeleo si mwende mkaroge au tatizo nauli? Maana kama huu uchawi unabadili kura zote na macho ya watu kwenye keyboard yaani wanakuwa wanamuona Dai tu, hii safi sana
 
Hizi Ni Sign Za Kichawi.We Zishabikie Tu Shauri Yako.

Wewe hakuna unachowaza katika maisha yako zaidi ya uchawi.

Yaani unaamka " uchawi"

Unatembea"uchawi".

Unacheka " uchawi".

Unakula"uchawi"

Unalala " uchawi"

DOGofGOD you are DOGofDEVIL
 
Last edited by a moderator:
Katika bara la Afrika.Nigeria ndio inayoongoza kwa uchawi na vitendo vya kishirikina.Wasanii wakubwa, wafanyabiashara, wacheza filamu, watumishi wa Mungu, wanasiasa, watu maarufu nchini Nigeria achilia mbali wananchi wa kawaida wengi wao ni waumini wa imani za kishetani na washirikina wakubwa.

Mafanikio ya ghafla ya Chibu na mlolongo wa tuzo.Zinatokana na kujihusisha katika imani hizi za Kinageria.Safari nyingi za Chibu za kwenda Nigeria na kurudi zinahusisha pia kupata nafasi ya kushiriki katika ibada zao na kwa ajili ya kutoa sadaka na kufanya matambiko.

Collabo nyingi za domo anazoforce kufanya na wanigeria ni katika muendelezo wake wa kua karibu na wanamuziki maarufu ambao nao ni waumini wa imani hizi za kichawi.

Inasemekana hata utajiri alionao mkewe mtarajiwa Zari(thebosslady) chimbuko lake ni uko uko.Siri ya pete ya dhahabu anayoivaa domo mkono wake wa kushoto ambayo wengi wanadhani ni pete ya uchumba.Lakini ukweli ni kua ni pete aliyoipata nchini Nigeria na inabeba siri kubwa ya mafanikio yake.

hahahahahahahaha nilipitwa jana duuuuh

Basi kiba inatakiwa aanze kwenda na yeye ili aache ulinzi porini apate nominations na tuzo kama mwenzake
 
Back
Top Bottom