Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vp mbona munazirudia nyimbo za zamani au ndo ishara za kunyookakatika bara la afrika.nigeria ndio inayoongoza kwa uchawi na vitendo vya kishirikina.wasanii wakubwa, wafanyabiashara, wacheza filamu, watumishi wa mungu, wanasiasa, watu maarufu nchini nigeria achilia mbali wananchi wa kawaida wengi wao ni waumini wa imani za kishetani na washirikina wakubwa.
mafanikio ya ghafla ya chibu na mlolongo wa tuzo.zinatokana na kujihusisha katika imani hizi za kinageria.safari nyingi za chibu za kwenda nigeria na kurudi zinahusisha pia kupata nafasi ya kushiriki katika ibada zao na kwa ajili ya kutoa sadaka na kufanya matambiko.
Collabo nyingi za domo anazoforce kufanya na wanigeria ni katika muendelezo wake wa kua karibu na wanamuziki maarufu ambao nao ni waumini wa imani hizi za kichawi.
Inasemekana hata utajiri alionao mkewe mtarajiwa zari(thebosslady) chimbuko lake ni uko uko.siri ya pete ya dhahabu anayoivaa domo mkono wake wa kushoto ambayo wengi wanadhani ni pete ya uchumba.lakini ukweli ni kua ni pete aliyoipata nchini nigeria na inabeba siri kubwa ya mafanikio yake.
vp mbona munazirudia nyimbo za zamani au ndo ishara za kunyooka
Na mimi mchawi niliyekubuhu... wachawi wenzangu naomba mtuunge mkono mimi na man of steel.Na mimi mchawii mkuu
team kiba wote ni vilaza ila hawawezi kufanya huu ushenzi wala kiba mwenyewe hawezi pamoja na ukilaza wetu"Lakini tubonge ukweli...TEAM KIBA most of them ni VILAZA sana.
Ndumba Za Nigeria Zimekupumbaza Akili.Ndomana Huwez Kuuona Ukweli Unaropoka Tu Kama Umekatwa Kichwa.
kwani wapi kasema unamuonea wivu,amekuambiaaaa hata wewe ni mchawiiiii,usitake kupotosha maanaMimi Simuonei Wivu.Ila Namshauri Hasitegemee Kafara Hazitamfikisha Kokote.Afate Mfano Wa Wasanii Wengine Wanaotumia Vipaji Vyao Kupata Mafanikio.
acheni kumwaga povu q chief na rich mavoko walishawahi kulalamika kwamba daimond anaworoga na juzi babu tale alisema cloudz anaamini uchawi na anashiriki so we ukiamini usiamini does not matter lakini suala la uchawi wasanii wenzako walishalalamika zaaamani kwamba anawaroga ney wa mitego na daimond wanajuana vizuri saanaa kwenye hayo mambo ndo maana ney yupo karibu nae saanaa
Mimi Namuamini Mungu Ndomana Nakemea Vitendo Vichafu Vya Ushirikina.Na Mambo Ya Kutegemea Pete Za Bahati Ili Kupata Mafanikio Ni Shirki Kubwa Sn.
Mimi Ni Mbwa Wa Mungu.Kwa Uwezo Nilipopewa Na Mungu Naweza Kuwagundua Wachawi Kwa Kunusa Tu.
Hapa Hatuzungumzi Ushabiki Tunazungumza Facts.Anaetumia Uwezo Wa Talent Na Anaetumia Uwezo Wa Ndumba Mwisho Wa Siku Atajulikana Tu Nani Mwenye Uwezo Na Nani Zaid Na Nani Anastahil Kuitwa King.[/QUOTE
this means watanzani hatuwezi endelea bila uchawi, sorry kwa wenye vipaji vyenu,maendeleo mtayasikia kwa wachawi tuuu, unataka kupata awards nominations nyingi loga tuuu kipaji rudisha veta, diamond nakuruhusu endelea kutuloga babaa, tuloge mpaka tunyooke, tuloge mpaka vipaji turudishe karakana, next show vua hadi boxer tuloge na dudu this time out, wewe ndio mchawi wao,wakuelewa tunaelewa, uchawi wako tunaujua, na tumeubariki, hakuna na hatatokea tena mchawi kama wewe, #kunamtukalogwa ????