Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Uko sahihi..
Mimi bwana ulevi wa magari sijui ulinikosa kosa vipi. Sijui ni kwasababu nimekuja kuwa intouch na hiv vitu wakat tayar nishazoea maisha ya kawaida au???.

Kuna hiyo siku moja ndio huwa najicheka mpaka kesho, nilisahau gari ofisini nimekuja kukumbuka tayari nakaribia nyumbani 😂😂
Wewe umetisha, wenzio tunasahau simu ofisini wewe unasahau gari? 🤣🤣
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Mnasemaga basii wote mpogi hivihivi na kauli zenu ni hizihizi..!
 
Anyways, mwambie nimesema nina 50 kabisa ambazo hata mama yangu bado hajafikisha.
Alikuzaa mapema sana na am sure benefits zake anaziona sasa. Bila shaka wasiowajua wakiambiwa huyu ndiye mama yake wanaweza kataa wkahis hawa labda ni washkaji tu
 
Mimi ndio maana magari siyapendi kwa mwanaume wangu, nilivyo sijui ingekuwaje hapo!
Ila pole, lazima angepata hisia tofauti maana ni kitu cha kushangaza, na kuchekesha pia.
Ni kwel haingii akilin, unasahauje gari, yan unaanzaje? Kwakwel maelezo pekee niliokuwa nayo yakanipa salama ni car key alone
 
Hilo linajulikana wazi wala halihitaji mjadala

Chanzo kikubwa ni umaskini uliopitiliza Tanzania
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Wadada wa hivi Mpo ila ni wachache sana aisee.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Wanawake wote hausema hivi, So nimekuelewa pia
 
Back
Top Bottom