Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

kakangu ana mabinti zake wameshafika chuo, kawanunulia magari kila mmoja. na amewawekea bili ya mafuta pia. nadhani hapo ndipo tunatofautiana, wengine magari wameyapata miaka 5 baada ya kuajiriwa, wakati mwingine wamezaliwa wanayaona nyumbani, wamefika 18 wametafutiwa leseni walikuwa wanaendesha kwenda sokoni na walipoenda chuo wazazi wao wamewanunuliwa. wakati wewe alichoki toka mwanza huko unasugua barabara hadi uje uajiriwe tena ukae miaka kadhaa mshahara wako uongezeke then ukopee hakohako kamshahara ununue gari. hao ndio huyu aliyeleta mada.

kuna siku kuna mdada fulani wa ofisini hapahapa DSM aliomba tumsogeze nyumbani kwao kwasababu siku hiyo hakuja na gari. ni mtu anajishusha huwezi amini kama sio maskini, tukampakia tukaseme tumpitishe kwao, wapi? nikashangaa anatuelekeza tuelekee Masaki duh, tulienda kumshusha kwenye nyumba hiyo, naomba niishie hapa nisiendelee kusema, nilibaki mdomo wazi. familia ambayo kale kagari ka ofisi yetu wanaweza kununua hata 20 huko. sikuongea kitu ila hata nikikutana naye huwa namwangalia tu kwa kumchungulia manake sisi wengine wachaga nafikiri unajua maisha yetu ni ya kimara, sinza huko na tunajifanya tuna maisha mazuri, nilipelekwa sehemu ambao imetuliaaaaa kama maji ya mtungi. pale hadi ubongo lazima utulie aisee. vijana tutafute hela mabinti zetu wasiliwe kimasihara.
Sasa hao ndiyo kabisa, bila gari ni kama hau-qualify. Yaani aje akupitie muende date?
Hilo litakuwa zali la mentali.
 
Hao wanaozuzuka na magari ni wale ambao hawajayazoea na wamezaliwa home hakuna magari..!!
Kuzaliwa home hakuna magari siyo sababu ya kuzuzuka na Magazine, kuzuzuka na vitu mfano gari ni ushamba wa kuto vizoea vitu ata kwa kuwa na vyo kwenye mazingira yaliyo kuzunguka.
 
Nafikiri kuna point ambayo bado hamjaielewa.
Kwangu mimi gari sio kielelezo cha ukwasi, mwanaume nitamheshimu zaidi kama ana nyumba zake za kutosha, hata moja sio mbaya, viwanja na vinginevyo ila sio gari huku akiwa hana lolote zaidi ya kuwaza kuwazuzua wanawake na gari.

Mwanaume mwenye akili ya gari/magari kabla ya mambo mengine sio. Ndio hao kama mleta mada hapa.

Vinginevyo, mimi kama mwanamke mwenye wivu mpenzi wangu akiwa na gari sina amani kusema za ukweli, ni bora tupande Bolt tukitoka out zetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una uongo mwingi sana.
 
Haijalishi ni Ist, Passo, Carina, Teza, n.k. dada zetu wengi hasa wanaotembea kwa miguu wanachojua gari ni gari, japo ukiwa na mkoko wa maana inakuwa fresh zaidi kupata kuwapata wazoefu wanaomiliki magari ya kawaida.

Binafsi Nakumbuka takribani miaka 10 iliyopita nilipomaliza chuo nikiwa na 24 nilipata sehem ya kujiegesha kwa kazi ambayo mshahara haukuzidi hata laki 4 lakini kama zali vile kuna ndugu alinipa kigari kinisaidie mizunguko ya mjini, Ilikuwa gari ya kiuchumi inatumia mafuta kidogo hivyo sikuhofia kupiga misele, nilikuwa mtunzaji sana wa gari sikuenda sana gereji, kitu pekee kilichonigharimu ni service nilivyokuwa naifanya baada ya miezi sita

Ehh bwana weee !! wanawake wakikuona una gari tena hasa uwe kijana mdogo haujavuka 30 tayari wanajua una uelekeo mzuri kwenye future yako, wanakuona husband material. kumbe wasichojua mtu anaweza kuwa anaingiza chini ya elf 10 kwa siku ila anaweza kutumia gari, kazidiwa kipato hata kwa dereva wa daladala.

Kimasihara masihara nikaanza kutoa lifti kwa kisingizio cha "Dada nakuomba uingie kwenye gari nikusogeze, jua ni kali / mvua itanyesha" kitu imooo !!! niliwahi kuifanya hii hata kwa crush wangu niliekuwa namsaka kwa muda mrefu huku akinitolea nje, game niliisimamia ukuxha 😂 usiku kucha.

Ukiwa na gari usitumie zile mbinu za kuomba namba kwenye daladala ama mtaani ukiwa unafukuzia kwa mguu ama boda, inabidi ujiongeze thamani, tengeneza business card zako, hii inakupa thamani zaidi na kuwazuzua vilivyo kukuona una piga mishe nzito nzito na unalingana na hadhi wanavyokufikiria, kwamba unaweza hata kuja kuwapa konection, binafsi business card zangu zilikuwa za mchongo niliweka Jina la kampuni la kujitungia, nikajipa cheo mimi ni meneja, cha ukweli kilikua ni namba ya simu tu, akishuka mpe card yako na elf 2 ya boda, uhakika wa kukucheki ni 90 %.

Kugharamika kwa kila pisi inaweza kukucost elf 20 ukiwa na kigeto chako, ukisema uende lodge huko kuna hela ya Ziada ya chumba.

Exit Strategy ni rahisi sana, waweza tu kusingizia mke wako kagundua, cha muhimu usiweke kambi, ukiweka kambi kwa muda mrefu huwezi acha kienyeji.

Umri umeenda na baadhi ya mambo nayo yamekwenda, ilikuwa ni Enzi hizo za ujana ndio nilifanya hio michezo, kwa sasa nina ndinga kali zaidi lakini siwezi hata kufikiria kuigeuza iwe chambo 😂 Enzi hizo hata ukionekana na kabebe kwenye gari unasifiwa na age mates ila kwa sasa hizi Ishu hata nikihitaji Labda niwe na mchepuko wa malengo ya kuwa nae muda mrefu sio kukaa na mtu siku 3, it's more than the action, it's about a serious relationship.
Siku hizi nao Wana magari
 
Haijalishi ni Ist, Passo, Carina, Teza, n.k. dada zetu wengi hasa wanaotembea kwa miguu wanachojua gari ni gari, japo ukiwa na mkoko wa maana inakuwa fresh zaidi kupata kuwapata wazoefu wanaomiliki magari ya kawaida.

Binafsi Nakumbuka takribani miaka 10 iliyopita nilipomaliza chuo nikiwa na 24 nilipata sehem ya kujiegesha kwa kazi ambayo mshahara haukuzidi hata laki 4 lakini kama zali vile kuna ndugu alinipa kigari kinisaidie mizunguko ya mjini, Ilikuwa gari ya kiuchumi inatumia mafuta kidogo hivyo sikuhofia kupiga misele, nilikuwa mtunzaji sana wa gari sikuenda sana gereji, kitu pekee kilichonigharimu ni service nilivyokuwa naifanya baada ya miezi sita

Ehh bwana weee !! wanawake wakikuona una gari tena hasa uwe kijana mdogo haujavuka 30 tayari wanajua una uelekeo mzuri kwenye future yako, wanakuona husband material. kumbe wasichojua mtu anaweza kuwa anaingiza chini ya elf 10 kwa siku ila anaweza kutumia gari, kazidiwa kipato hata kwa dereva wa daladala.

Kimasihara masihara nikaanza kutoa lifti kwa kisingizio cha "Dada nakuomba uingie kwenye gari nikusogeze, jua ni kali / mvua itanyesha" kitu imooo !!! niliwahi kuifanya hii hata kwa crush wangu niliekuwa namsaka kwa muda mrefu huku akinitolea nje, game niliisimamia ukuxha 😂 usiku kucha.

Ukiwa na gari usitumie zile mbinu za kuomba namba kwenye daladala ama mtaani ukiwa unafukuzia kwa mguu ama boda, inabidi ujiongeze thamani, tengeneza business card zako, hii inakupa thamani zaidi na kuwazuzua vilivyo kukuona una piga mishe nzito nzito na unalingana na hadhi wanavyokufikiria, kwamba unaweza hata kuja kuwapa konection, binafsi business card zangu zilikuwa za mchongo niliweka Jina la kampuni la kujitungia, nikajipa cheo mimi ni meneja, cha ukweli kilikua ni namba ya simu tu, akishuka mpe card yako na elf 2 ya boda, uhakika wa kukucheki ni 90 %.

Kugharamika kwa kila pisi inaweza kukucost elf 20 ukiwa na kigeto chako, ukisema uende lodge huko kuna hela ya Ziada ya chumba.

Exit Strategy ni rahisi sana, waweza tu kusingizia mke wako kagundua, cha muhimu usiweke kambi, ukiweka kambi kwa muda mrefu huwezi acha kienyeji.

Umri umeenda na baadhi ya mambo nayo yamekwenda, ilikuwa ni Enzi hizo za ujana ndio nilifanya hio michezo, kwa sasa nina ndinga kali zaidi lakini siwezi hata kufikiria kuigeuza iwe chambo 😂 Enzi hizo hata ukionekana na kabebe kwenye gari unasifiwa na age mates ila kwa sasa hizi Ishu hata nikihitaji Labda niwe na mchepuko wa malengo ya kuwa nae muda mrefu sio kukaa na mtu siku 3, it's more than the action, it's about a serious relationship.
Asante sana Legendary kwa somo hili maalumu. Kiukweli nimepata funzo kubwa sana hapa. Kumbe kuwakamata hawa cha muhimu gari eeh!!!....Imeisha hiyo, tushachukua mbinu.
 
Back
Top Bottom