Wewe umetisha, wenzio tunasahau simu ofisini wewe unasahau gari? 🤣🤣Uko sahihi..
Mimi bwana ulevi wa magari sijui ulinikosa kosa vipi. Sijui ni kwasababu nimekuja kuwa intouch na hiv vitu wakat tayar nishazoea maisha ya kawaida au???.
Kuna hiyo siku moja ndio huwa najicheka mpaka kesho, nilisahau gari ofisini nimekuja kukumbuka tayari nakaribia nyumbani 😂😂
nitaishije sasa nikiwapakiza bute😭😭😭Wapakize bure watachukua Namba wenyewe na watakua wanakuita wenyewe mchezo umeishia
Mnasemaga basii wote mpogi hivihivi na kauli zenu ni hizihizi..!Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.
Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Kabisaaa...kwanza wife nusu alianzishe timbwil kwa kuhis labda kuna something fishy going on, nilipomuonyesha ufunguo, alinicheka sana.Wewe umetisha, wenzio tunasahau simu ofisini wewe unasahau gari? 🤣🤣
Alikuzaa mapema sana na am sure benefits zake anaziona sasa. Bila shaka wasiowajua wakiambiwa huyu ndiye mama yake wanaweza kataa wkahis hawa labda ni washkaji tuAnyways, mwambie nimesema nina 50 kabisa ambazo hata mama yangu bado hajafikisha.
Mimi ndio maana magari siyapendi kwa mwanaume wangu, nilivyo sijui ingekuwaje hapo!Kabisaaa...kwanza wife nusu alianzishe timbwil kwa kuhis labda kuna something fishy going on, nilipomuonyesha ufunguo, alinicheka sana.
Ni kwel haingii akilin, unasahauje gari, yan unaanzaje? Kwakwel maelezo pekee niliokuwa nayo yakanipa salama ni car key aloneMimi ndio maana magari siyapendi kwa mwanaume wangu, nilivyo sijui ingekuwaje hapo!
Ila pole, lazima angepata hisia tofauti maana ni kitu cha kushangaza, na kuchekesha pia.
Exit Strategy ni rahisi sana, waweza tu kusingizia mke wako kagundua, cha muhimu usiweke kambi, ukiweka kambi kwa muda mrefu huwezi acha kienyeji.
Sawa na kijana aliepata kazi juzi gavoo hapo. Anachukua mkopo, ananunua gari tena used. Anavimba na funguo juu juu as if ndio katoboa maishaWengine magari hatujayaonea ukubwani Mkuu, kawaida sana.
Wadada wa hivi Mpo ila ni wachache sana aisee.Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.
Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Mimi ukivimba na funguo nakudharau mpaka mwisho.Sawa na kijana aliepata kazi juzi gavoo hapo. Anachukua mkopo, ananunua gari tena used. Anavimba na funguo juu juu as if ndio katoboa maisha
Wanawake wote hausema hivi, So nimekuelewa piaKatika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.
Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Mpka leo inafanya kazi..Tena kwa Miwango kikubwa sanaMichongo ya zamani sana hiyo.
Wee tatizo unahangaika na mikumbembe deal na vitoto vya form four mpaka form six hapo unajilia kiulainiiiiunafanyaje fanyaje... nina boda ila mademu wana nikataa