Hamna cha uchawi ni matter of saikolojia kuwapoteza wapinzani ,pia ukizingatia afrika tunapenda kuamini huo ujinga wa ushirikina na yeye kaenda nao sawa,uwanjani watu wanachemka na kuvuja jasho huku wakikipiga hamna cha ushirikina n majority wana hadithi nyingi za uongo walizosimuliwa halafu MTU anasimamia kuelezea kama anajuA while kahadithiwa