Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Ameenda Kenya kwa Afc Leopard ameshindwa hata kuwarudisha kwenye shirikisho pia.Lkn ndio ilikula 5 Kinshasa..ikala 5 misri ..ikafa 4 kwa Mazembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameenda Kenya kwa Afc Leopard ameshindwa hata kuwarudisha kwenye shirikisho pia.Lkn ndio ilikula 5 Kinshasa..ikala 5 misri ..ikafa 4 kwa Mazembe
Unabishana na matomaso mkuu.Kwamba simba wao mmewazuia kusajili wachezaji wazuri wa kuwapa ubingwa? Bingwa wa NBC PL mwakani ni simba. Save hii .
Na hiyo nafasi ya 3 huenda ikakwapuliwa na Yanga .
Hahahahaha si mnasema ni mzuri ?Ameenda Kenya kwa Afc Leopard ameshindwa hata kuwarudisha kwenye shirikisho pia.
Siyo Kama anavyosemwaHahahahaha si mnasema ni mzuri ?
Malengo yao ni kunufaisha timu za dar es salaam kugawa points na hilo lisemwalo utakatishaji fwedha!View attachment 3011233
Habari za uhakika ni kwamba kocha wa zamani wa Simba maarufu Uchebe amechukuliwa kuinoa Singida Black Stars.
Singida safari hii wanawekeza sana.
Ulitaka wavumilie tano tano za ugenini? Mashabiki bwana, wakati mwingine hamjui mnachokitaja.Namkubal sana.....!! Simba walijichanganya sana kumuacha kisa kwa figisu za nyumban kwetu matola Njombe
Sawa sawaUlitaka wavumilie tano tano za ugenini? Mashabiki bwana, wakati mwingine hamjui mnachokitaja.
Umendika pumba nyingi sana, nakumbuka mpaka uchebe anavyomuingiza Miraj ajabu leo unakuja na historia yako feki hapa..Wakuu mkiwa mnaongelea mpira mjitahidi kuwa na kumbukumbu basi.
Uchebe alifundisha Simba msimu wa 2018/2019 akafukuzwa mwezi August 2019.
Miraji Athuman alisajiliwa kutumika msimu wa 2019/2020 hivyo Uchebe alimtumia kwenye pre season tu huu super sub uliona kwenye pre season ?
Uchebe alifukuzwa August 2019 baada ya muda CEO aliteuliwa kuwa Senzo na Simba wakamteua Sven Vandenbroek kuwa kocha wa Simba kwa msimu wa 2019/2020.
Uchebe alifukuzwa Simba kwa sababu ya kushindwa kuirudisha timu Champions League kwa kutolewa na UD Songo na yeye alisema Target aliyopewa hakuifikia.
Babra alianza kazi Kama CEO msimu wa 2020/2021 na kocha pekee aliyesajiliwa na Barbra ni Didier Gomes Da Rosa.
Makocha aliofanya nao kazi Barbra ni Sven kwa muda mfupi , Gomes, Pablo, Zoran Maki na Robertinho kwa muda mfupi pia.
Tuoongelee mpira kwa uhalisia wake siyo kwa chuki zetu binafsi.
Nadhani kufungiwa kusajili kwa Leopard kumechangia hilo.Ameenda Kenya kwa Afc Leopard ameshindwa hata kuwarudisha kwenye shirikisho pia.
Ungemjibu kwa hoja kuliko hiki ulichoandika.Umendika pumba nyingi sana, nakumbuka mpaka uchebe anavyomuingiza Miraj ajabu leo unakuja na historia yako feki hapa..
Amedumu misimu miwili pale AFC Leopards walifungiwa misimu yote hiyo?Nadhani kufungiwa kusajili kwa Leopard kumechangia hilo.
Watanzania ndivyo walivyo Uchebe alimtumia Miraji kwenye pre season tu na mechi labda mbili au tatu za ligi kabla hajafukuzwa sasa nashangaa huo usupa sub unapatikana kwenye mechi hizoUngemjibu kwa hoja kuliko hiki ulichoandika.
Mnaonekana wote mna tatizo la kumbukumbu, siwezi kuwalazimisha muamini mtakavyo navyojua na kuamini Miraj amecheza chini ya uchebe kwenye ligi, sijui unataka hoja gani hapo.Ungemjibu kwa hoja kuliko hiki ulichoandika.
Jaribu kukumbuka vizuri rekodi zako mkuuUmendika pumba nyingi sana, nakumbuka mpaka uchebe anavyomuingiza Miraj ajabu leo unakuja na historia yako feki hapa..
Umeanza kuyumba sasa imekuwa "alimtumia labda mechi mbili au tatu" hujui unachoandika unabahatisha tu.Watanzania ndivyo walivyo Uchebe alimtumia Miraji kwenye pre season tu na mechi labda mbili au tatu za ligi kabla hajafukuzwa sasa nashangaa huo usupa sub unapatikana kwenye mechi hizo
Wewe ndie ukumbuke sio mimi, macho yangu na kumbukumbu zangu havinidanganyi, Uchebe alimtengeneza na kumtumia Miraj akawa moto, makocha waliofata ndio wakammaliza kipaji mpaka akaondoka Simba Sc.Jaribu kukumbuka vizuri rekodi zako mkuu
Alimtumia muda gani ?Wewe ndie ukumbuke sio mimi, macho yangu na kumbukumbu zangu havinidanganyi, Uchebe alimtengeneza na kumtumia Miraj akawa moto, makocha waliofata ndio wakammaliza kipaji mpaka akaondoka Simba Sc.
Simba Sc inaenda kucheza na Lipuli kule Iringa chini ya Uchebe Miraj yuko moto, leo unasema vitu gani wewe....