Uchebe kasaini kufundisha Singida black stars

Uchebe kasaini kufundisha Singida black stars

Wakuu mkiwa mnaongelea mpira mjitahidi kuwa na kumbukumbu basi.

Uchebe alifundisha Simba msimu wa 2018/2019 akafukuzwa mwezi August 2019.


Miraji Athuman alisajiliwa kutumika msimu wa 2019/2020 hivyo Uchebe alimtumia kwenye pre season tu huu super sub uliona kwenye pre season ?

Uchebe alifukuzwa August 2019 baada ya muda CEO aliteuliwa kuwa Senzo na Simba wakamteua Sven Vandenbroek kuwa kocha wa Simba kwa msimu wa 2019/2020.

Uchebe alifukuzwa Simba kwa sababu ya kushindwa kuirudisha timu Champions League kwa kutolewa na UD Songo na yeye alisema Target aliyopewa hakuifikia.

Babra alianza kazi Kama CEO msimu wa 2020/2021 na kocha pekee aliyesajiliwa na Barbra ni Didier Gomes Da Rosa.

Makocha aliofanya nao kazi Barbra ni Sven kwa muda mfupi , Gomes, Pablo, Zoran Maki na Robertinho kwa muda mfupi pia.

Tuoongelee mpira kwa uhalisia wake siyo kwa chuki zetu binafsi.
Umendika pumba nyingi sana, nakumbuka mpaka uchebe anavyomuingiza Miraj ajabu leo unakuja na historia yako feki hapa..
 
Ungemjibu kwa hoja kuliko hiki ulichoandika.
Mnaonekana wote mna tatizo la kumbukumbu, siwezi kuwalazimisha muamini mtakavyo navyojua na kuamini Miraj amecheza chini ya uchebe kwenye ligi, sijui unataka hoja gani hapo.
 
Watanzania ndivyo walivyo Uchebe alimtumia Miraji kwenye pre season tu na mechi labda mbili au tatu za ligi kabla hajafukuzwa sasa nashangaa huo usupa sub unapatikana kwenye mechi hizo
Umeanza kuyumba sasa imekuwa "alimtumia labda mechi mbili au tatu" hujui unachoandika unabahatisha tu.
 
Jaribu kukumbuka vizuri rekodi zako mkuu
Wewe ndie ukumbuke sio mimi, macho yangu na kumbukumbu zangu havinidanganyi, Uchebe alimtengeneza na kumtumia Miraj akawa moto, makocha waliofata ndio wakammaliza kipaji mpaka akaondoka Simba Sc.

Simba Sc inaenda kucheza na Lipuli kule Iringa chini ya Uchebe Miraj yuko moto, leo unasema vitu gani wewe....
 
Wewe ndie ukumbuke sio mimi, macho yangu na kumbukumbu zangu havinidanganyi, Uchebe alimtengeneza na kumtumia Miraj akawa moto, makocha waliofata ndio wakammaliza kipaji mpaka akaondoka Simba Sc.

Simba Sc inaenda kucheza na Lipuli kule Iringa chini ya Uchebe Miraj yuko moto, leo unasema vitu gani wewe....
Alimtumia muda gani ?
 
Back
Top Bottom