KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
Nafasi yake ya Tatu itatoweka rasmiunamaanisha yanga, azam, coastal union na singida black stars kuifutilia mbali simba nafasi ya kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi yake ya Tatu itatoweka rasmiunamaanisha yanga, azam, coastal union na singida black stars kuifutilia mbali simba nafasi ya kwanza?
Jamaa acha ubishi aisee, Aussems kamtengeneza na kumtumia kijana, suala la muda sikuwa nahesabu miezi.Alimtumia muda gani ?
Wewe ndiyo mbishi na Kama huwezi kujibu unachoulizwa tuishie hapa.Jamaa acha ubishi aisee, Aussems kamtengeneza na kumtumia kijana, suala la muda sikuwa nahesabu miezi.
Amen kila la kheri kwake
Pamoja na yote lakini hakuweza kuwafunga au kupata points ugenini kwa Waarabu.Uliwahi kuiona Simba Sc ya uchebe iliyomuondoa Nkana Red Devils pale Taifa? Simba ya uchebe imewagonga sana waarabu kwenye makundi.