colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,912
Ndege wanaofanana huruka pamoja mkuuShilole na mwanaume anaokuaga nao wanafanana akili
Ndege wanaofanana huruka pamoja mkuu
Hahaa mjini msingi kiuno akikizunguusha usiku ndio mtaji wenyewe anakula,kulala na kuoga bureeee sababu ya kiuno ndio vijana wengi wa sasa wanachopenda.Mnalalamika watu wanawaonea oneni sasa nini hiki!? Kweli kidume anamwambia mkewe ahustle kwa bidii ili wasije kosa hela!? You hoes ain't loyal kabisa!
Oneni akili za wanaume wa Dar!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Uanaume wake utenguliwe atapangiwa majukumu mengine ya kivulana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] mkuuu umeuaaa!!!Na mimi Mama Gaude wangu inabidi apige kazi ili mumewe nisikose hela za bia. Unajua Kombe la Dunia linachezwa mwaka huu? Bila kula bia Kombe la Dunia halinogi kabisa, linakuwa kama Kombe la Mbuzi tu.