Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Maswala ya mahusiano yanahitaji uwekezaji mkubwa sana.
 
mmekubaliana na nani bana? Eti "as a society", wanawake weusi ni viburi na wajuaji, bila kipigo hamna ndoa. Mwanamke mweusi ndio mwanamke pekee duniani anaeweza kufanya shughuli zinazofanywa na mwanamme. Kwahiyo mkiwa ndani ya nyumba inakua ni kushindana tu nani ana uwezo mkubwa wa akili, kulea watoto n.k. Ndio maana wanamichezo maarufu wanaoa wanawake weupe, sasa mweusi bila kipigo hamuendi. Hamna alieoa atakae kubali upuuzi wa kutompiga mwanamke.
 
Kuna jamaa yangu mke wake alienda kusoma St. John degree in nursing science huko chuo akakutana na wadogo zake x wake ambaye walisoma wote Kazima sec Tabora. Kilichofata wadogo zake x wake wakamuunganisha na Kaka yao ambaye wakati huo alikuwa mlinzi wa pinda( waziri mkuu). Penzi likakolea mpaka mme kakamata msg. Mme alilia machozi Sana akamsamehe mkewe ambaye alieleza a to z ilivyokuwa, ikabidi mme awajulishe tunguze wanaofanya kazi(tiss) na huyo mpz wa mkewe kitu kilichopelekea mwenye mke kukutana ana kwa ana na mke wa jamaa anayetembea na mkewe. Mpaka naandika ujumbe huu wawili hawa ni wapenzi kwenye penzi zito kupita maelezo
 
Kumpiga mwanamke pia ni kumheshimu
 
Nilimuona akihojiwa kipindi cha shilawadu yule mtangazaji alimuuliza habari za Nuhu Mziwanda Shilole alimrushia kiti yule mtangazaji kilimkosa kingempata ilikuwa ni hatari
 
Ukiuaa

Ova
 
huyu uchebe nae fala, mwanamke analala nje siku mbili unamuangalia tu, ilitakiwa amdunde kisawasawa sasa hivi awe yuko ICU katundikiwa drip za damu
Umepiga umeua.... Utafanyaje
Au na wewe utajiua

Ova
 
Mwanamke ukipigwa kibao kausha,, mambo ya kurudishia alafu unakimbilia kushika korodani hapana[emoji3].
 
Mtandike kisawasawa. Wewe ni mume halali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…