Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Usilale nyumbani siku 2 uchekewe tu? Si bora ubebe virago vyako usirudi kabisa?
Ukirudi lazima upokee kichapo.
 
Mabaharia wengi sana wanampongeza Uchebe kwa alichokifanya ingawa wanampongeza kimoyomoyo ingawa ukimuuliza anaonyesha kumsikitia Shilole kinafiki

Mademu hawa wanaodanga ni kichefu chefu sana kwenye ndoa na unakuta mwanaume anaumizwa sana kisaikolojia na kulipiza hawezi kutokana na maadili na tabia alizolelewa na kutoa hasira anaamua kutoa kichapo kupunguza uchungu.

Wanawake wana maudhi sana haswa wakimzidi mwanaume umaarufu na kipato.

Ndio maana mpaka leo hakuna Jamhuri, Wanaharakati au Polisi aliyejitokeza kufungua mashitaka dhidi ya Uchebe. Wote wanaona sawa tu alichotendewa kutokana na tabia zake.

Na nina uhakika walipigana wala sio kuwa alipigwa ila kutokana na Shishi kupiga picha tena kimkakati ili aje ku-create attention kipindi hiki cha kura za maoni ndio anaonekana kaonewa.
 
Naam Vyombo vya sheria vimemchunia kama vile havijaona zile picha

Shilole alikosea kama kweli alikuwa anahitaji msaada angekwenda katika vyombo vya sheria 'kuliko kukimbilia IG kwani kule ndio vyombo husika vilipo !?
 
Chief ulisema jamaa alikua fundi wako. Haya maoni yako naamini nusu yake ni baada ya kuongea na Ashraf mwenyewe.

Katika kutenda makosa kuna makosa ni stepping stone kwenda kwenye kosa kubwa zaidi, ni nadra mtu kurukia kosa kubwa moja kwa moja. Now Ashraf hana pesa anapiga mtu hivi, angekua nazo unadhani angempiga peke yake?
Angemnyima chakula, huduma na kumletea wanawake ndani, worst case scenario ni angeweza ua. Kama jamaa wa Kawe, Kigamboni na hivi karibuni Kimara.

So wakati unaona alichofanya ni sawa jua kua kikubwa zaidi kingeweza tokea, Ashraf anafanya boxing tangu namjua hivyo kudai walipigana siyo kweli, Shilole ni alipigwa, na Ashraf alitumia skills zake za uboxer kama silaha.

Siungi mkono abusive relationship.
 
Nyie maudhi yenu nani anawapiga? Mmekazana wanawake wana maudhi as if nyie ni malaika[emoji134][emoji134]

Ni kukosa akili tu.
 
Kama unajua mwanamke akikuzid kipato sijui na umaarufu atakuwa ni changamoto kwako, kwanini usioe unaefanana nae yani wa level yako, uchebe alikuwa na mama watoto wake ambaye ni level yake akamwacha akakimbilia kwa shilole kafata mseleleko (kitonga) . Na hata kama aliona kamshindwa si angempa talaka tu aendelee na maisha yake lakini sio kumpiga hadi amjeruhi vile mwenzie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ