Umeongea ukweli kabisa na nakuunga mkono. Kimsingi shilole ana Ego inampelekesha na kumcrowd judgements zake.Uchebe wala sio marioo kwa kumuangalia tu. Sidhani hata kama sasa hivi akiulizwa ashawahi tumia nini cha Shilole zaidi ya labda kuishi kwenye nyumba yake (i am assuming) anaweza jibu.
Ila kwa kutegemea eti Shilole atampa heshima ya mume kwa jinsi alivyo. Alipohojiwa na Salama juzi kati Shilole alisema ole wake mtu amuibe mumewe maana βamemtengenezaβ mwenyewe.
Hadi Salama akamuuliza unavyosema hivyo una maana gani? Unadhani mumeo hajisikii vibaya?
Jibu lake ni kuwa wananchi hatukumjua Uchebe kabla ya kuwa na yeye. Sasa tujiulize, Uchebe kwa kumuangalia tu, ni mwanaume wa kutaka umaarufu yule? Uchebe alibugi kwakweli, atafute saizi yake!
Shilole ajiangalie aidha machaguo yake ya wanaume au namna anaishi na waume zake. Huwezi pigwa tuuu kila relationship unayoingia!
Binafsi namshauri abaki tu single ale maisha, mahusiano katika muktadha wa kitanzania yamemshinda.
Usirukie usilojuaAisee ndoa hivi... hata ingekua miaka kumi iliyopita badi haimsafishi kwa tendo lake
Tuambie wewe unayejua, maana nimesoma kwa Msando pia kuwa hata ingekuwa imepita miaka 20, jinai hainaga mudaUsirukie usilojua
Hahahaaaa. Lol.Kumbe hujasoma hata mada?
Punguza ukimbelembele,kama hujui kitu piga kimya,acha kujishaua ili uchekewe au na wewe uonekane eti umecomment.
Pole sana ndugu Uchebe, umelikoroga mwenyewe usitafute wa kumtwisha zigoView attachment 1501624
Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutambua kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
Ukileta ujinga na madharau lazima uonyweKosa la jinai halina muda bana
Ukileta ujinga na madharau lazima uonyweTuambie wewe unayejua, maana nimesoma kwa Msando pia kuwa hata ingekuwa imepita miaka 20, jinai hainaga muda
Alaaa, mbona umehama hojaUkileta ujinga na madharau lazima uonywe
Ukileta kidomodomo lazima unyamazishwe
Mjinga sana huyo, anamtetea MTU asiyejua tabia zake. Hata hajui zamani hizo aliwahi kusema nini.View attachment 1501624
Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutambua kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
Mkuu humu JF kila mtu ni mtaalamu wa kila kitu aisee! unaweza kukuta mtu anacomment maisha ya ndoa ya watu huku yeye wala hajawahi kuoa au kuolewa,
Ukitaka kujua uzuri wa ngoma ingia uicheze.
Alaaa, mbona umehama hoja
Hilo janaa linatakiwa Uchebe atafune mkongoraa wa kutosha likija lipigwe viks kingo za kutosha then imeisha hio.View attachment 1501624
Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutambua kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
Atakupiga sasa.....Hahahaaaa. Lol.
We ndio wa kupunguza kimbelembele sababu sikuandika kwa ajili yako na usitake kile unachokitaka wewe basi ndo kila mmoja aandike.
Huna sababu ya kunichekea wewee. Hunijui sikujui.
Domestic violence, are u sure?!Idadi ya watu wanao support domestic violence kwenye hii post is alarming and scary [emoji848][emoji848]
Kuachana bila ugomvi, wakati kulala nje siku mbili peke yake tu ni UGOMVISasa mtu halali siku mbili why unaishi nae? Si Bora muachane bila ugomvi?
πππAtakupiga sasa.....
Naomba utuambie unachojua kuhusu lile nililoulizaHivi unaweza tibiwa hospital ukiwa hivyo bila PF3?