Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Uchebe wala sio marioo kwa kumuangalia tu. Sidhani hata kama sasa hivi akiulizwa ashawahi tumia nini cha Shilole zaidi ya labda kuishi kwenye nyumba yake (i am assuming) anaweza jibu.

Ila kwa kutegemea eti Shilole atampa heshima ya mume kwa jinsi alivyo. Alipohojiwa na Salama juzi kati Shilole alisema ole wake mtu amuibe mumewe maana “amemtengeneza” mwenyewe.

Hadi Salama akamuuliza unavyosema hivyo una maana gani? Unadhani mumeo hajisikii vibaya?

Jibu lake ni kuwa wananchi hatukumjua Uchebe kabla ya kuwa na yeye. Sasa tujiulize, Uchebe kwa kumuangalia tu, ni mwanaume wa kutaka umaarufu yule? Uchebe alibugi kwakweli, atafute saizi yake!

Shilole ajiangalie aidha machaguo yake ya wanaume au namna anaishi na waume zake. Huwezi pigwa tuuu kila relationship unayoingia!
Binafsi namshauri abaki tu single ale maisha, mahusiano katika muktadha wa kitanzania yamemshinda.
Umeongea ukweli kabisa na nakuunga mkono. Kimsingi shilole ana Ego inampelekesha na kumcrowd judgements zake.

Niliitazama ile interview na nilitazama namna anajibu maswali sensitive kama yale ya kimahusiano. Kwa mwanamke mwenye heshima angesema tu kuwa yeye na mume wake wanapendana na wanashirikiana kufanya maisha pamoja, mwanaume wake ni mpambanaji sana na anajituma sana kuhudumia familia yao. Na anashuruku sababu mbali na yeye kuwa maarufu ila huyu mwanaume amemsaidia kukaa sawa kimaisha na kutulia kufanya maisha.

Ila sasa sio mtu anaanza jitapa, sijui nimemtengeneza, hizi simu zake nimemnunulia mimi, me niliposikia yale maneno automatically nikamuonea huruma sana uchebe... Mwanamke wake anamdhalilisha kwa dharau sana.

So kama uchebe anampaga kichapo ni katika ile hali ya kupambana na tabia na mwenendo wa huyu mwanamke.
 
FB_IMG_1594277489359.jpg

Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutotambua behind huyo rafiki yako kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
 
Kumbe hujasoma hata mada?
Punguza ukimbelembele,kama hujui kitu piga kimya,acha kujishaua ili uchekewe au na wewe uonekane eti umecomment.
Hahahaaaa. Lol.

We ndio wa kupunguza kimbelembele sababu sikuandika kwa ajili yako na usitake kile unachokitaka wewe basi ndo kila mmoja aandike.

Huna sababu ya kunichekea wewee. Hunijui sikujui.
 
View attachment 1501624
Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutambua kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
Pole sana ndugu Uchebe, umelikoroga mwenyewe usitafute wa kumtwisha zigo
 
Tuambie wewe unayejua, maana nimesoma kwa Msando pia kuwa hata ingekuwa imepita miaka 20, jinai hainaga muda
Ukileta ujinga na madharau lazima uonywe
Ukileta kidomodomo lazima unyamazishwe
 
View attachment 1501624
Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutambua kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
Mjinga sana huyo, anamtetea MTU asiyejua tabia zake. Hata hajui zamani hizo aliwahi kusema nini.

 
Tatizo wengi wanarukia rukia tu. Shilole kafanya vile kutaka huruma za watu.
Kama kafanyiwa hivyo alitibiwaje hospital bila PF3?
Mkuu humu JF kila mtu ni mtaalamu wa kila kitu aisee! unaweza kukuta mtu anacomment maisha ya ndoa ya watu huku yeye wala hajawahi kuoa au kuolewa,

Ukitaka kujua uzuri wa ngoma ingia uicheze.
 
View attachment 1501624
Hili jamaa nalo sijui kama anatambua psychological torture anayompa mwanaume mwenzie hata kama Shishi ni rafiki yake ila usela unapitiliza na kutambua kuna mumewe na ana hisia, si siafiki alichofanya uchebe ila marafiki design ya huyu mwamba si wema kwa mkeo . Kujitia kiherehere kiasi hiki ni kukosa uelewa kama mwanaume.
Hilo janaa linatakiwa Uchebe atafune mkongoraa wa kutosha likija lipigwe viks kingo za kutosha then imeisha hio.

Linakuaga lofa sana na nyimbo zake za watoto.
 
Hahahaaaa. Lol.

We ndio wa kupunguza kimbelembele sababu sikuandika kwa ajili yako na usitake kile unachokitaka wewe basi ndo kila mmoja aandike.

Huna sababu ya kunichekea wewee. Hunijui sikujui.
Atakupiga sasa.....
 
Back
Top Bottom