Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Hovyo sana hiĺo jamaa.
 
Hahahaaaa. Lol.

We ndio wa kupunguza kimbelembele sababu sikuandika kwa ajili yako na usitake kile unachokitaka wewe basi ndo kila mmoja aandike.

Huna sababu ya kunichekea wewee. Hunijui sikujui.
Siku nyingine, kama kuna uliyemdhamilia kumfikishia ujumbe, mpelekee PM
 
Wanaume acha Tu yani km sio wale mnaovuana nguo mkala raha.Tunawapenda sana lakini shida ni ukatili tukishindwana tuachane kwa Amani.Vipigo jamani sio vzr mnafanya watoto waathirike kisaikikojia na sio vzr
 
Hahaaaaa!!!sasa uchebe yeye ndo analishwa yeye anavalishwa na umaarufu kapewa bado anapiga pia.
 
Kipigo hakitibu[emoji854][emoji854]
 
Make your sijampiga [emoji1787][emoji1787]
 
Shadeeya nakusalimu!

Pamoja na shida nyingi za wanawake lakini hatupaswi kuwapiga.
Mke wangu analala nje bila taarifa yoyote, halafu hataki aulizwe kwa nini imekuwa hivi kutomtandika na kumfukuza kabisa ni ujinga mkubwa sana. Uchebe mwanaume wa ajabu sana katika uvumilivu yaani mpaka amepitilizaaa. Hata katika vitabu vya imani kitendo anacho fanya shilole hukumu yake ni talaka tu.
 
Tutaamini vipi? Mwenzie Shilole ana ushahidi na yeye mwenyewe Uchebe kakiri kumpiga. Bado niko palepale hakuna kosa linalohalalisha kipigo cha namna hiyo....kwanza mpaka mtu anafikia hatua ya kulala nje ni wazi hakuna ndoa hapo


Kupigwa kupo pale pale sasa halali kwake siku 2 unategemea nini??

Tena kama ningekuwa me uchebe akirudi tu tena nyumbani namtandika ili apige picha za ukweli ukweli sasa
 
Kwa hiyo we uchebe mwaka jana ulikuwa unaruhusiwa kumpiga dada wa watu? Ila nawe dada acha kulala nje huo ni upuuzi utaoeta Magonjwa bure
 
Utetezi hafufu kabisa,,,,nilidhani angesema hakuwahi kumpiga shilole,,,mwaka huu sijampiga,,nilimpiga mwaka Jana...duu
 
Ila jamaa hajui kupiga mtu asilale nyumbani siku mbili halafu ndo kampapasa hivyo kwa mahaba tena loooh ...aje huku kanda maalumu tumuelekeze jinsi ya kupiga
 
Yani uchebe hapo ndo kaonekana kilaza...sasa kumpiga mtu mwaka jana ndio kunamsafisha?
Nuhu Mzuwonder alipokua anapewa kipigo kila siku watu walikua wanamponda! Dah Dunia hatari.

Stop Violence in Relationship!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…