Uchebe: Sijampiga Shilole, picha ni za mwaka jana

Nadhani hiyo ilikuwa piga nikupige bahati mbaya shishi akazidiwa 🤣
 
Halali nyumbani siku 2? Aisee huyo ni mwanamke au ni shetani wa kike?
 
Hapo sasa Kijana hakujua kanuni ya kula nakipofu

Sema nn, unakuta Anaenda sana chumvini kwa Shilole + kula na Tgo..

Vijana wengi wakifanya hivo vitu, wanakua wanajihakikishia KUTOKUACHWA ikiwa mtendewaji hawezi pata wakumfanya hayo.
Hahaaaaa!!!sasa uchebe yeye ndo analishwa yeye anavalishwa na umaarufu kapewa bado anapiga pia.
 
Tatizo kubwa sana Mwanaume ukizidiwa kipato
Hawakuumbwa kuwa juu,uchebe utaua hata kama mwaka jana,mwamamke akichelewa tu kurudi ujue ni tatizo,wa kwako analala nje siku mbili bado upo nae!
Kwhy ukilala nje ndo asitafute source ila amuache tuu..ila na hapo pia ana makosa?Na kaongeza akimuuliza anakuja juu yeye atulie tuu amuache si ndio?
 
Mweeeeeeeh mambo ni mengi, muda mchache lol
 
jamii gani imeamua kuwa wanawake hapigwi??mbona kesi za wanawake kupigwa zipo nyingi sana mitaani
 
Huyo Uchebe alikuwa hajui Shilole machepele alivyokubali kuwa naye?
 
Your browser is not able to display this video.
 
Aaah, wanasema shilole anamlea jamaa, ana hela gani ya kumuhonga mwanaume?ye mwenyewe anadanga
 
Mwanamke malaya anapigwa tu kwa nini alitaka kuolewa ....iwe fundisho kwa malaya wengine wanaumeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…