Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Hahahaha hapo kakanusha na kakubali kama kipigo alimpa ila si cha janaUchebe; Kwa hiyo hapa umekiri kosa au umekanusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hapo kakanusha na kakubali kama kipigo alimpa ila si cha janaUchebe; Kwa hiyo hapa umekiri kosa au umekanusha?
Halali nyumbani siku 2? Aisee huyo ni mwanamke au ni shetani wa kike?Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikuwa wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Umekuwa mpole Mama [emoji16][emoji16]Kuniparamia huko vipi tena?
Hayo ni ya kwako Mkuu kama unahisi kipigo ni dawa basi kheri. [emoji2210][emoji2210][emoji2210]
Hahaaaaa!!!sasa uchebe yeye ndo analishwa yeye anavalishwa na umaarufu kapewa bado anapiga pia.
Kwhy ukilala nje ndo asitafute source ila amuache tuu..ila na hapo pia ana makosa?Na kaongeza akimuuliza anakuja juu yeye atulie tuu amuache si ndio?Tatizo kubwa sana Mwanaume ukizidiwa kipato
Hawakuumbwa kuwa juu,uchebe utaua hata kama mwaka jana,mwamamke akichelewa tu kurudi ujue ni tatizo,wa kwako analala nje siku mbili bado upo nae!
jamii gani imeamua kuwa wanawake hapigwi??mbona kesi za wanawake kupigwa zipo nyingi sana mitaaniUchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.
Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalilisha au unajidhalilisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu.
kwa hiyo wapigwee tuuuu maana hamna namna au sioAcha kushadadia ujinga wewe.
JANAMKE lenye domo domo lazima likung'utwe. Tena lidundwe kweli kweli!
Bila hivo wanawake wote tutakua na mamidomo kama Wangari Maathai au Khantwe.
Kwa hiyo mwaka jana alimpiga?Eti mwaka huu sijampiga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aaah, wanasema shilole anamlea jamaa, ana hela gani ya kumuhonga mwanaume?ye mwenyewe anadangaNi kweli kabisa mwanamke hapaswi kupigwa ila wengi hamumjui Shilole!
Shilole mwenyewe ni ngumi mkononi, anapigana yule kama mwanaume! Nishashuhudia vurugu zake, msikie kwa mbali hivyo hivyo! Usije kulogwa kuingia kwenye 18 zake.
Alikuwa anamchapa kijana wa watu Nuhu Mziwanda kama mtoto tena club.
Siku aliyopigwa walipigana sana ndipo Shilole akazidiwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Narudia simtetei Uchebe, ila Shilole ni jeuri, mbabe na mtemi! Kosa dogo kukuchapa mangumi yeye hajali bila kuangalia mpo wapi! She deserves, wacha apate funzo!
CC Khantwe
Tuitishe jinai na yeye alivyokuwa anampiga nuh mziwanda?Tuambie wewe unayejua, maana nimesoma kwa Msando pia kuwa hata ingekuwa imepita miaka 20, jinai hainaga muda
AaaaaiiiseeeeSasa mtu halali siku mbili why unaishi nae? Si Bora muachane bila ugomvi?