Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We usipofikishwa unaenda nje?Ni kweli huwa analala nje kwakuwa wewe humfikishi, afanyeje sasa, madhara ya mi-chips yenu na vinguo vya kubana
Hivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol
Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.
Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
Angemuacha lakini baada ya juhudi za kumrudisha kwenye mstari zingegonga mwamba.
Kwenda ataenda na kipigo kiko pale paleHivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol
Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.
Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
umuache alafu watoto wateseke? dawa ya mwanamke mkorofi ni kumdunda tuHivyo kwa upande wako kipigo ndo suluhisho cha matatizo? lol
Wacheni kunyanyasa wanawake nyiee.
Akikukosea kama huna njia nyingine ya kupata suluhu ni bora umuache aende na si kipigo.
Tatizo Uchebe hana sifa ya kuitwa mwanaume sababu alikuwa analelewa....Uchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.
Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalilisha au unajidhalilisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu.
Hata kama unalelewa?.....matokeo yake ni kufukuzwa kama Uchebeumuache alafu watoto wateseke? dawa ya mwanamke mkorofi ni kumdunda tu
Wanawake wa siku hizi mimi huwa si sympathize nao hata kidogo sababu najua the way wanapenda kumanipulate situation kupata public attention na sympathy.Uchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.
Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalilisha au unajidhalilisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu.
Hapa ndipo huyu bwana anaponishangaza, anang'ang'ania nini hasaa?Sasa mtu halali siku mbili why unaishi nae? Si Bora muachane bila ugomvi?
You said it all chief!Uchebe kazi anayo sababu as a society tulishakubaliana mwanamke ni kiumbe wa thamani na hapigwi haijalishi ni kiasi gani kakosea. Ajiandae kisaikolojia tu hana haki tena hata ajitetee vipi jamii ilishaamua kua huwa viumbe hawapigwi.
Hii ndio one disadvantage of being a man kwenye ndoa, ukieleza matatizo ya mkeo unamdhalilisha au unajidhalilisha, ukimpiga kesi, suluhisho ni kutoa talaka tu.
Aisee umeongea ukweli tu. Tukiweks sheria kama za uarabuni kuwa mwanamke akibainika anatoka nje ya ndoa akachapwa mawe hadi kufa hautaona hizi kelele sijui za mwanamke hapigwi zinaletwa tena hapa.Uchebe sio Marioo. Uchebe anamiliki gereji na hata Shilole alikutana na Uchebe akiwa kama fundi wake wa gari. Namjua Uchebe amewahi kuwa fundi wangu kipindi fulani na sio mtu mwenye dhiki kama mnavyosema hapa. Ni kwamba tu Shilole anajulikana zaidi yake.
Haya mambo ya ndani ya nyumba ni magumu sana na mapenzi ni suala la kisaikolojia. Maumivu ya kiakili au kisaikolojia ni makali sana yanazidi hata kipigo na ndio maana watu wanapata msongo wa mawazo na kuumwa sonona mpk kufikia kufa au kujiua.
Bahati mbaya sheria haina meno kwenye maumivu ya kisaikolojia sawa na maumivu ya kipigo. Chukulia kitendo cha Shilole kulala nje siku mbili kama mume unapata maumivu kiasi gani? Sasa ukikuta mtu aliyeumizwa kisaikolojia na hana uwezo wa kurudishia maumivu yale ya kisaikolojia kwa mwenza wake basi utoa hasira kwa kumpiga (ingawa ni jambo baya).
Kuna wimbo wa Banana Zorro alisema "Maumivu ya mapenzi ni zaidi ya msiba". Mapenzi yanaumiza sana na bora ukose hela unaweza kuvumilia lakini sio maumivu ya mapenzi.
Wanaume kwenye ndoa wanapitia mengi sana na hawana pa kuongezea mwisho wa siku huishia kupiga, kuua na kujiua.Wanawake wa siku hizi mimi huwa si sympathize nao hata kidogo sababu najua the way wanapenda kumanipulate situation kupata public attention na sympathy.
Before sijaenda kwenye kesi yake na uchebe, nigusie swala na tabia za wanawake kujustfy makosa yao na vitu wanafanya halafu wanapobambwa huwa ni wepesi kutaka waonekane walisababishiwa kufanya hayo makosa.
Kwa mfano, mwanamke anaweza kutoka nje ya ndoa na mume wake anampatia kila anachoweza mudu kumpatia...... Hii ni psychological abuse and extortion kwa mwanaume na jamii inachukulia poa na kusema ndio wanawake au watatafuta gear ya kutetea kuwa mwanamke sijui anatulizwa na maneno matamu, mara sijui nini but no body pays attention kuhusu maumivu anayopokea mwanaume.
Its alike automatically wanawake wanakuwa branded innocent at any scenario.
Una hakika alikuwa analala nje?Acha ujinga au kucomment ili kufurahisha tu,
Mke wa mtu unalala nje halafu hutaki kuulizwa? unapocomment jaribu kubalance both side na sio kukurupuka tu kama chafya!