Uchimbaji wa Madini kwenye Hifadhi ni trela, Move ni kuuza pia baadhi ya hifadhi

Uchimbaji wa Madini kwenye Hifadhi ni trela, Move ni kuuza pia baadhi ya hifadhi

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Unapoteza mantiki ya hoja Kwa kuandika vitu vya kijinga.

Kuna Nchi yeyote imewahi uza Hifadhi au kipande Cha Ardhi miaka ya Karibuni?
 
Unapoteza mantiki ya hoja Kwa kuandika vitu vya kijinga.

Kuna Nchi yeyote imewahi uza Hifadhi au kipande Cha Ardhi miaka ya Karibuni?
Nadhani miongoni mwa wajinga wachache waliopo humu, mmiliki wa hii ID fake ni mmojawapo!

Na ni dhahiri ni mwanachama wa chama cha wajinga chini ya uenyekiti wa mwanaupinde kwa mujibu wa maelezo yaliyopo.
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Mimi sishangai CCM Ni machizi bwana
 
Miaka ya nyuma ukitaka kujifunza kunyoa unatafuta machizi. Ndio maana machizi wengi walikuwa hawana nywele.

Kinacho niogepesha kupata uwaziri sifa zake kuwa mbunge na mbunge ijalishi ni lasaba au F ya matokeo.

Leo tunaona raisi anasema mapori ya hifadhi yachimbwe madini anacho taka ni fedha anahisi ni Saudi hapa.
Na waziri anashangilia na kufurahi ili
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Yetu masikio na macho, kaachiwa wembe ajikate na awakate na wao
 
Unapoteza mantiki ya hoja Kwa kuandika vitu vya kijinga.

Kuna Nchi yeyote imewahi uza Hifadhi au kipande Cha Ardhi miaka ya Karibuni?
Kwani hao waTanganyika wanaofukuzwa huko makwao kuhamishiwa Handeni si ndio movie hiyo hiyo au unatuona wajinga kama Chura Kiziwi wako anavyotuona. Huyo secretari hawezi kutuzidi akili
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Katiba ipige marufuku Mzanzibari kuwa Rais wa Jamhuri ya Muunhano maana hawana uchungu Na rasilimali zilizoko bara (Tanganyika)
 
Unapoteza mantiki ya hoja Kwa kuandika vitu vya kijinga.

Kuna Nchi yeyote imewahi uza Hifadhi au kipande Cha Ardhi miaka ya Karibuni?
Uzuri unajua kwa nini wananiita kaka wa shetani.
Nikisema kitu kwa mtu lazima kitokee.
Siku utakuja kufanyiwa jambo na unao washabikia utashindwa kusema hapa JF au huko ambako unaonekana tena ukiwa mdomo wazi.
 
Uzuri unajua kwa nini wananiita kaka wa shetani.
Nikisema kitu kwa mtu lazima kitokee.
Siku utakuja kufanyiwa jambo na unao washabikia utashindwa kusema hapa JF au huko ambako unaonekana tena ukiwa mdomo wazi.
Sishanikii mtu au kundi ila iam speaking my mind.

Kuna shida kuchimba Madini kwenye Hifadhi?
 
Kwani hao waTanganyika wanaofukuzwa huko makwao kuhamishiwa Handeni si ndio movie hiyo hiyo au unatuona wajinga kama Chura Kiziwi wako anavyotuona. Huyo secretari hawezi kutuzidi akili
Na Mimi nakuuliza in case hapo unapishi wewe pakagundulika Madini hutohamishwa? Wamefukizwa au wamehamishwa?
 
Back
Top Bottom