Uchimbaji wa Madini kwenye Hifadhi ni trela, Move ni kuuza pia baadhi ya hifadhi

Uchimbaji wa Madini kwenye Hifadhi ni trela, Move ni kuuza pia baadhi ya hifadhi

Ili uchimbe madini kwenye hifadhi ya taifa ni lazima ubadili sheria inayolinda hifadhi za taifa..ukishaanza kuonja kubadili hizi sheria ndipo tunaanza kwa mbaali kuona rushwa kwa wabunge ili wajitoe ufahamu..kifuatacho ni kumkumbuka baba wa taifa la Tanganyika!!
Rushwa za nini ikiwa Serikali itajenga hoja Kwa nini wanataka Madini? Kwani sheria ni maneno ya msaafu au biblia?

Kama Madini yanahitajika kusaidia uchumi Kwa nini yasichimbwe?
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Inasikitisha sana hawa wenye kuimba mama mitano tena. Mama nakundi lake yuko kujitajirisha tu kwa kuuza nchi. Ukisikiliza jinsi anavyoingiza kila toleo jipya ya kile wanakwenda kuuza utaona lugha ya hadaa. Juzi hapa ndio kasema kuna maeneo wataruhusu uwekezaji kwenye hifadhi zataifa. Tunachojua waarabu na wazungu wako kushindana kununua afrika. Rais mroho na asiye na uchungu na wananchi wake, hana uzalendo maarifa wala maono ni hatari kabisa. Tumekaa miaka yote nchi hii bila kupigana wenyewe kwa wenyewe ila hili la kuuza maeneo ya nchi yetu litatuletea mfarakano mkubwa. Rais samia anawadanganya raia kama pesa tu ndio muhimu tuwape tu wawekezaji wafanye sisi mradi tupewe hela. Haoni uhuru na heshima na kuweza kujitegemea wenyewe kama ni muimu na ndio maendeleo. Bila shaka tukishawapa kila kitu wageni ili eti tupate pesa ambazo bila shaka zitakua mikononi mwa vigogo na bwanyenye peke yao wageni watatugeuka na kututawala. Hawatatupa haki kwenye mapato ila watatutawala. tutapoteza uhuru wa nchi yetu na heshima yetu kama binadamu.
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Ile Rais Samia alipokwenda Marekani na kukaa takribani mwezi akizindua royal tour,na mshenga akiwa Rostam Aziz tulipigwa ile mbaya
 
Watu wamevurugwa wanaangalia maokoto, sababu mwenye elimu anaweza geuka ombaomba at any time tea.Angalia mafanikio hapo mtaani kwako,non educated wako mob and doing ok.Benki zimegeuza watu wajinga riba kubwa na riba kubwa hiyo 95% ni tozo,mikopo ya nje ni shida kubwa,biashara zio hoi,sasa,sasa,kwa mawazo yake anafikiri akiuza au akichima.madini ya mbugani mzigo utapungua,la hasha,mzigo ni wa muda mrefu,Job was right!
Huyo anakuwa ni msomi tu lakini hajaelimika. Elimu hailetwi kutokea kwenye kuta nne.
 
Una hasira dogo kunywa maji

Unajiuma umma tu

Sasa wenye nchi hatumpi mama yako next term
Arudi kwao kizimkazi tone hao waarabu wake atawauxia Nini??
Sijui Wala sijikanyagi,kwani hayo Madini yanahitajika na Samia au na Nchi kusukuma maendeleo?

Kwani Samia asipokuwa Rais ndio itafanya maskini kuwa na pesa.? Sana sana watazidi kuwa mafukara maana miaka hii ya mama amewasaidia walau kupumua.

Sheria sio biblia na Wala Tanzania sio ya kwanza unless mna matatizo yenu binafsi.

Mwisho awe Rais au asiwe Rais Mimi siendeshi maisha Kwa kutegemea Samia au siasa ilanaongea hoja.Je Kuna shida kuchimba Madini kwenye Hifadhi?
 
Sijui Wala sijikanyagi,kwani hayo Madini yanahitajika na Samia au na Nchi kusukuma maendeleo?

Kwani Samia asipokuwa Rais ndio itafanya maskini kuwa na pesa.? Sana sana watazidi kuwa mafukara maana miaka hii ya mama amewasaidia walau kupumua.

Sheria sio biblia na Wala Tanzania sio ya kwanza unless mna matatizo yenu binafsi.

Mwisho awe Rais au asiwe Rais Mimi siendeshi maisha Kwa kutegemea Samia au siasa ilanaongea hoja.Je Kuna shida kuchimba Madini kwenye Hifadhi?
yanahitajika na Samia mwenyewe
 
Ili uchimbe madini kwenye hifadhi ya taifa ni lazima ubadili sheria inayolinda hifadhi za taifa..ukishaanza kuonja kubadili hizi sheria ndipo tunaanza kwa mbaali kuona rushwa kwa wabunge ili wajitoe ufahamu..kifuatacho ni kumkumbuka baba wa taifa la Tanganyika!!
Hilo litafanyika baada ya uchaguzi
 
Ile Rais Samia alipokwenda Marekani na kukaa takribani mwezi akizindua royal tour,na mshenga akiwa Rostam Aziz tulipigwa ile mbaya
Kuna gharama zake, wazungu wanakabidhiwa sana ma Pori ya akiba,
 
Sijui Wala sijikanyagi,kwani hayo Madini yanahitajika na Samia au na Nchi kusukuma maendeleo?

Kwani Samia asipokuwa Rais ndio itafanya maskini kuwa na pesa.? Sana sana watazidi kuwa mafukara maana miaka hii ya mama amewasaidia walau kupumua.

Sheria sio biblia na Wala Tanzania sio ya kwanza unless mna matatizo yenu binafsi.

Mwisho awe Rais au asiwe Rais Mimi siendeshi maisha Kwa kutegemea Samia au siasa ilanaongea hoja.Je Kuna shida kuchimba Madini kwenye Hifadhi?
Nimekosa tusi la kukupa kwa utetezi wako wa kipuuzi.
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.
Hivi vitu JF vinaanzaga hivi hivi kimasihala baadae unasikia washauza, daaahhhh......
 
Swala la kuchimba madini kwenye hifadhi za Taifa kuna Move kari sana inachezwa ni kama zile Move za Kihindi, Stering wa move atakufa akiacha move ikiendelea.

Target ya kutaka kuchimba Madini kwenye hifadhi za wanyama ni ili kumega na baade kuuza baadhi ya hifadhi kwa kutengua sheria za hifadhi za Taifa na Mapori ya akiba.

Madini yatachimbwa chimbwa na baadae watu aatajimilikisha maeneo.

Kuna Mapori ya akiba kama Simanjiro, Longido na Maswa, haya yanauzwa moja kwa moja ni muda tu unangojewa hasa baada ya uchaguzi.

Longido inachukuliwa na waarabu wa UAE, huku Maswa ikichukuliwa na Wazungu na Simanjiro pia ni Waarabu bado kuna mvutano mkari sana kwa Pori la Simanjiro make kuna Wafaransa wanalitaka na walichabgia sana Royal tour hivyo wanaina wanasalitiwa kwa sababu mashariti ilikuwa wamilikisjwe Simanjaro sasa kuna Waarabu wamepanda Dau zaidi kuliko wazungu. Ile Ziara ya Ufaransa hili swala la Simanjiro lilizungumziwa kule.

Uchimbaji wa Madini ni itatumika kubadili sheria na kukata baadhi ya hizo hifadhi kwa kigezo cha madini na baadae wata jimilikisha mapori na kuendelea na utalii wao. Kuna Move kari sana inachezwa ambayo kwa sisi wajinga hatuwezi ng'amua kitu zaidi ya kushangilia ujinga.

Na kuna maeneo maalimu mabayi ni target kuu sasa yale maeneo dhaifu yatatumikankama chambo cha kugeuza sheria.

Hifadhi ya Serengeti kwa mfano ndio target kuu, na itakuwa Muhanga wa kwanza wa uchimbaji madini hifadhini na baadae wahuni watajimilikisha sehemu ya hifadhi ya Serengeti.
Pia kuna Hifadhi ya Manyara nayo kina kipande kitamegwa kwa Move ya kuchimba madini.
Ukiachana na Hifadhi zingine hizo.

Move itaanza mapema baada ya uchaguzi ujao ndio sheria zitabadilihswa.


Kuna mambo ukiyasikia au kukutana nayo unabaki kusema kimono moyo tu kuwa Mwenyezi Mungu aingilie kati kwa jinsi ajuavyo na kuweza Yeye mwrnyewe.
 
Rushwa za nini ikiwa Serikali itajenga hoja Kwa nini wanataka Madini? Kwani sheria ni maneno ya msaafu au biblia?

Kama Madini yanahitajika kusaidia uchumi Kwa nini yasichimbwe?
Imani yako na uelewa wako kwa wapanga hoja zitakazopelekwa bungeni...ndipo penye kufikirisha.
Wajuzi wa ramani yenye kuonesha sehemu mbalimbali zenye rasilimali madini wakiweka hapa itakuwa rahisi kuona faida na hasara ya kuchimba madini hifadhini..
Kwa maoni yangu, Elimu yetu bado iko chini kuweza kupata win-win katika njia hii ya mkato. Wajukuu zetu ndio wataweza kuicheza hii game!
 
kama kuna madini na yatasaidia uchumi wa Taifa, kwanini yasichimbwe?

Sema naishauri serikali, kwa sasa isipewe kampuni ya nje kuchimba madini. Yachimbwe na Watanzania na yote yanunuliwe na BoT.

Kifunguliwe kitengo cha hazina ya madini. Ataefanya ubadhirifu huko, adhabu iwe ni kifo bila kufikishwa mahakamani, kama tunavyowafanyia vibaka wa mitaani.
 
Back
Top Bottom