Uchimbaji wa Madini kwenye Hifadhi ni trela, Move ni kuuza pia baadhi ya hifadhi

Unapoteza mantiki ya hoja Kwa kuandika vitu vya kijinga.

Kuna Nchi yeyote imewahi uza Hifadhi au kipande Cha Ardhi miaka ya Karibuni?
Mtu akija ukampa kumiliki wa muda 99 years si umemuuzia tayari kwa miaka 99

Au nyie maccm kuuza ni tofauti na sisi tunayofahamu
 
Eeeee! Jimama limeamua. Hizi helicopter anazonunua si mchezo. Wananchi msipoamka tumekwisha
 
Hasara ni ipi? Nimeulizanaelewa maana ya EIA?
Jinga we we hata kama una undugu na mama samia au una allegiance na uarabu

umekazana na EiA

EiSA ni environmental and social impact assessment Haina chochote zaidi ya bra bra za mazingira

Sisi tunahoji tukibadli Sheria na kuwauzia wawekezaji regardless of their race and origin je? tutapata faida Gani??
 
Hii nchi si yetu tena, bado lile tangazo kwenye jengo mnara uarabuni
 
Unapoteza mantiki ya hoja Kwa kuandika vitu vya kijinga.

Kuna Nchi yeyote imewahi uza Hifadhi au kipande Cha Ardhi miaka ya Karibuni?
We popoma nipo hapa Mundarara naona hizo harakati...Manzese ya Longido mambo mazito sana Mto wa mbu Gaza
 


It is much irritating to here this to a genuine person.
 
Mkuu tunaunganisha dot.

Huenda ndo mzigo wa uchaguzi Toka arabuni Umeingia

Lakini maccm yatauza mpaka mbuga
Watatabakiza Nini?

Huyu atakayekujs baadaye atakuta Nini?
 
How..??
 
Sishanikii mtu au kundi ila iam speaking my mind.

Kuna shida kuchimba Madini kwenye Hifadhi?
Ili uchimbe madini kwenye hifadhi ya taifa ni lazima ubadili sheria inayolinda hifadhi za taifa..ukishaanza kuonja kubadili hizi sheria ndipo tunaanza kwa mbaali kuona rushwa kwa wabunge ili wajitoe ufahamu..kifuatacho ni kumkumbuka baba wa taifa la Tanganyika!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…