Uchimbaji wa maduka ya chini kwa ajili ya kuongeza sehemu ya maduka unatajwa kuwa chanzo cha kuporomoka kwa jengo kariakoo

Uchimbaji wa maduka ya chini kwa ajili ya kuongeza sehemu ya maduka unatajwa kuwa chanzo cha kuporomoka kwa jengo kariakoo

Kabla ya kuanza uchimbaji wa maduka chini, aliwasiliana na engeneer mkuu wa awali wa hilo jengo ili kupata ushauri?
Labda aliona kutowasiliana nae ata save pesa.

Kwa watu wenye akili ilikua lazima atafutwe aliye sanifu hilo jengo mwanzoni, then kama ingefaa huyu injinia mpya wa sasa (if at all alitumika injinia) angezipitia design za kwanza na taarifa ya udongo (kama haipo angeshauri udongo upimwe) alafu ndio ashauri kama kwa design ya kwanza na hali halisi ya udongo project ingefaa au la!
 
Mimi kilichonishangaza ni mtu kwenda kuhutubia sehemu watu wapo ndani ya kifusi. Yaani nitabaki nashangaa tu.
Wewe huna cha maana hapo. Watu wanahutubia hata wakati wa vita msitari wa mbele kuwatia wapiganaji moyo. Sasa unachoshangaa sema ni ushamba na uelewa mdogo wako. Hongera Mheshimiwa kwa kufika eneo la tukio na kuongea na wananchi.
 
Labda aliona kutowasiliana nae ata save pesa.

Kwa watu wenye akili ilikua lazima atafutwe aliye sanifu hilo jengo mwanzoni, then kama ingefaa huyu injinia mpya wa sasa (if at all alitumika injinia) angezipitia design za kwanza na taarifa ya udongo (kama haipo angeshauri udongo upimwe) alafu ndio ashauri kama kwa design ya kwanza na hali halisi ya udongo project ingefaa au la!
Hatuna haja ya kuzunguka mbuyu swali nikwamba mamlaka husika hawakuw na taarifa za hiyo michakato!?? Maana sidhani kama ni hilo jengo moja peke yake.
 
Silaumu yeyote,lakin mambo kama haya utakuta mamlaka zenye kuyazuia zinayachukuliaga pow halaf yakashatokea madhara ndo tunahaha huku watu washapoteza maisha au kuoata ulemavu wa kudumu.Kwa mfano mzuri uendeshaji wa vyombo vya moto barabaran ovyo unaogharimu maisha ya watu.Yaan likishatokea tukio utadhani ndo kwanza uzembe tumeuona.Vyombo vyenye mamlaka ya kudhibiti mambo yanaoweza sababisha maafa viaminiwe na kupewa uhuru kulingana taaluma zao, ili taifa lifaidike na elimu/mafunzo ya wataalam wa nchi yetu.
 
Kwa jinsi nilivyoelewa, ni kwamba Jengo Hilo la Ghorofa lilijengwa Kwa plan ya kawaida tu, ikiwa na Ghorofa kadhaa...!

Ila kutokana na Tamaa za Wamiliki, na inaonekana ni mchezo wa kawaida Kariakoo Kwa Majengo mengi Kwa Sasa.
Mmiliki akaamua kuchimba Chini ili apate kujenga Frame zitazokua Underground, bila kuzingatia Usalama na plan ya Jengo...!

Matokeo yake hata zile Nguzo zilizoshika Jengo zikawa weak, na kupelekea Jengo kuanguka.....!

Serikali ingeanza kufanya Uchunguzi coz ni majengo mengi Sasa wanaamua kuchimba Underground wakati Jengo lilishajengwa na kuisha zamani.
Kama ni kweli kilichoelezewa hapo juu ndiyo kilichokuwa kinafanyika na bila kufanya consultation..kwa kweli ni upumbavu mkubwa sana.
 
Exactly, mimi kama kiongozi lazma ningetafuta kumjua mmiliki na straight away angepandishwa kizimbani. Sadly kwa utawala huu he will get away with it ila kwa kile chuma JPM alikuwa anakula mvua za kutosha.

Tamaa za kipuuzie kabisa hizo.
Maisha ya kiumbe kinachoitwa mwanadamu yanathamani kubwa sana bila kujali status yake.. kwa kweli hili linahuzunisha mno! Kama mmiliki aliamua kufanya hivyo amekatili maisha ya nguvu kazi kubwa sana ya taifa hili, inachoma moyoni. HUZUNI SANAA
 
Haya jamani.fundi kaamua kusema UKWELI.apewe ULINZI
nadhani leo mmiliki wa hilo jengo hajalala na mkewe yupo mahabusu
 

Attachments

  • Screenshot_20241117-235352.png
    Screenshot_20241117-235352.png
    140 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241117-235314.png
    Screenshot_20241117-235314.png
    144.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241117-235252.png
    Screenshot_20241117-235252.png
    146.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241117-235229.png
    Screenshot_20241117-235229.png
    421.8 KB · Views: 3
Maboc wanaojenga magorofa kariako n wabahili sana Kwenye kununua material ,,mm n fundi welding Kuna bocc alinipakaa kazi za kuwekaa Dari Kwenye frem zakee zipo 20 ,kule darini anasema atakuwa anaweka mizigo ...mm km fundi nikamwambia hapa inabidi tutumie square pp nzito ya nchi 2x2 Kwa sbb yakuweza kuhimili uzito wa mizigo ..bocc ananiambia hzo n gharama sana weka square pp nchi 1x1 😔😔...nikamwambiaa c imara Sanaa na haziwezi kuhimili uzito wa mizigo maana frem n kubwa sana ,,akataka hzo hzo za 1x1 ,,,ss km mnavyojua mafundi hatuachagii kazi nikafanyaa kazi vzr tu nikamaliza frem zt na wapangaji wakaingiaaa,aiseee miezi 2 mingii matokeo boc aliyaonaa nilichomshauri mwanzo 😔😔...mwanaee mmoja ameponaa juzi japo c vzr maana alikuwa na frem pale ya vipodozi na akaenda jaza mizigo ya vipodozi kule darini ,cku amekaa zake anasuburi watejaaa darii lote lilimdondokeaa ..
Tatizo watu wengi wanaamini miujiza na Mungu.

Hawajui au hawataki kuheshimu ukweli kwamba majengo yanafanya kazi kwa kanuni za kisayansi.
 
Back
Top Bottom