Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
WanaJF wenzangu,
Hamtaweza kumbadili Mzee wetu Mohamed hasa juu ya yale alioyaandika kwenye kitabu chake. Hata mlete ushahidi gani mzee huyu hatabadilika. Tayari huko nje ana waungaji mkono wengi ambao kwa bahati mbaya hawafiki humu JF kwa sababu mbalimbali. Hawa ataendelea kuwatumia anavyotaka.
Nawaomba tufikirie mjadala wa wazi juu ya uchochezi wake huu. Autetee uchochezi huu hadharani mbele ya vyombo vya habari. Tumhoji maswali haya hadharani. Kitabu chake kile alikuwa analipa kisasi kwa Mwalimu kwa namna alivyoushughulikia UDINI wa baadhi ya wazee wake miaka michache baada ya uhuru wa Tanganyika.
hayausiani ni hoja mbili tofauti
Nyerere hakuwa amefanya lolote baya kwa Waislam wakati ule.
Ukweli ni kuwa mambo yakenda vizuri kabisa. TANU ikipata nguvu
kadri siku zilivyokwenda.
Lakini palikuwa na wasiwasi.
Ukoloni haukuwapiga sana Wakristo kama ulivyowapiga Waislam.
Wamishionari walikuwa wameshika elimu ambayo wakiitoa kwa
ubaguzi wakiwapendelea Wakristo.
Ikawa sasa wanauliza busara ya Abdu Sykes na wenzake kumweka
Mkatoliki kuongoza vita dhidi ya Waingereza.
Tatizo lilikuwa hili tu.
Lakini juu ya udhaifu wa Nyerere wa dini yake kuwa alizungukwa na
Waislam alikuwa anaungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh
Hassan bin Amir.
Kisha marafiki zake vijana Abdu, Ally na Dossa walikuwa pamoja na
yeye bega kwa bega.
Kisha Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti wa Sheikh Suleiman
Takadir lilikuwa nyuma yake.
Halafu hawa wote wenye kumuunga mkono ndiyo walikuwa wafadhili
wakubwa wa chama.
Katika hali kama hii Nyerere akawa na nguvu sana katika TANU.
Sasa achilia mbali "support" kutoka zawiyya za Sheikh Hassan bin Amir
huko mikoani na murid kote Tanganyika.
Achilia "support" ya akina Sheikh Mohamed Ramia, Sheikh Mohamed
Yusuf Badi kutoko Lindi, Sheikh Nurdin Hussein wa Lindi pia na wengine
wengi.
Hawa wapinzani wa Nyerere hawakufua dafu.
Mambo yalikwenda kiasi ilikuwa marufuku kwa Waislam kutoleana salaam
ya Kiislam maana "propagandists" akina Rashid Sisso na Abbas Bakis na
Bantu Group wakidai itawabagua Wakristo.
Haya yote wameyafanya Waislam wenyewe kwa mikono yao wenyewe.
Hii ndiyo historia ya wazee wangu na TANU.
Naongelea watu kama wale waliochoma makanisa kule Mbagala na Zanzibar. Wengine hata kusoma na kuandika hawajui. Unaijua pia misikiti yetu ilivyo. Kama ipo misikiti yenye computer na internet na waumini wake wanapata access sijui itakuwa mingapi! Hao 20,000 wengi wao ni akina wewe na mimi.WildCard,
Usitumie fikra zako kuwasemea watu. Huu uzi mpaka saizi umesomwa na watu zaidi ya 20,000 hawa wote unawajua wanaofuatilia huu munakasha au umeamua kujifariji.
WanaJF wenzangu,
Hamtaweza kumbadili Mzee wetu Mohamed hasa juu ya yale alioyaandika kwenye kitabu chake. Hata mlete ushahidi gani mzee huyu hatabadilika. Tayari huko nje ana waungaji mkono wengi ambao kwa bahati mbaya hawafiki humu JF kwa sababu mbalimbali. Hawa ataendelea kuwatumia anavyotaka.
Nawaomba tufikirie mjadala wa wazi juu ya uchochezi wake huu. Autetee uchochezi huu hadharani mbele ya vyombo vya habari. Tumhoji maswali haya hadharani. Kitabu chake kile alikuwa analipa kisasi kwa Mwalimu kwa namna alivyoushughulikia UDINI wa baadhi ya wazee wake miaka michache baada ya uhuru wa Tanganyika.
(mihadhara yeye anafanya wazi wazi,na ulimwengu mzima,sembuse hapo segerea?sasa huu udini wa leo wa kuwabagua wakristu na kuwafanya maadui zenu nyinyi watoto mmeutoa wapi wakati historia inaonesha wazee wetu wote walikuwa wamoja - japo kulikuwa na kundi la wadini waliowachukia wakristu tayari hata bila kufanyiwa jambo lolote na ndugu zao.(hakuna kwenye udini katika makala zake,ni nyinyi wadini mmeamua kumshutumu kisa wale aliowaandika na walioachwa kwa makusudi kwenye historia ya watu wa ukombozi wa nchi hii walikuwa ni waislam au wana majina ya kiislam)
hii hali ya wewe kuwabagua wazee wa kikristu katika simulizi lako ukatilia mkazo "wazee wako" tu huku ukitaka wengine nao waandike "wazee wao" wewe umetoa wapi?(ubaguzi uko wapi?kwa kuamua kuandika historia ya wale ambao wameachwa kwa makusudi fulani ni udini??nyerere hakuanza kuonesha makucha hayo waz waz enz za uhai wa tanu ilhali wale wazee wapo hai,makucha yake yalikuwa yapo chini kwa chini,na yalikuja kujionesha zaid mara baada ya wazee wale kupotea mmoja baada ya mwingine,pia hapa hakashifiwi wala kuchukiwa nyerere ila inaoneshwa hali halisi ilivo,sasa kama nyinyi mnaitafsiri ni udini na uchochezi huo ni mtazamo wenu na ni haki yenu pia.
kwanini usifuate mfano wa wazee wako waliokuwa wamoja?(msimamo huo unafuatwa,alichokifanya yeye ni kueleza uhalisia ulivyo,kwani anafanya kwa kificho?
kwanini leo usiamue kufanya mihadi na askofu mkuu pengo kufanya mazungumzo na kueleza uliyonayo moyoni?(afanye miadi na askofu pengo kwa sababu zipi?yeye ana shida gani ya kumtafuta pengo,labda pengo afanye miadi hiyo,ila alichokifanya yeye ni kuandika na kueleza kile kilichopo,kama pengo ana walakini na hicho afanye miadi kumtafuta yeye na sio yeye kufanya miadi kumtafuta pengo.
au kwanini usiombe kwenda kutoa mhadhara wako kwenye seminari pale segerea na kujadiliana na wasomi wengine?
mkuu hapa mohamed hana nafasi yakupata uzima wa milele, sisi tudajitahidi kwa kazi moja tu ya kuwarudisha kundini wale waliopotoshwa na mzee mohamed said kwa ngano zake!
Hiyo BAKWATA waliundiwa akina nani? Waislam vibaraka ambao walikuwa hawaioni dhulma ya kanisa na Mwalimu? Kwa nini BAKWATA bado ipo miaka kadhaa baada ya Mwalimu kuondoka madarakani na duniani. Jana ulihudhuria ile Maulid iliyoongozwa na Makamu wa Rais?Mambo yalivurugika Kanisa likapata hofu baada ya uhuru.
Waislam wakaanza kujenga shule na wakaja na mradi wa
Chuo Kikuu chini ya EAMWS hapo ikawa sasa Kanisa linashinikiza
EAMWS ivunjwe kwa usalama wa Ukristo.
Nguvu ya Waislam katika vita dhidi ya ukoloni walikuwa wameishuhudia.
Walijua kwa umoja ule Uislam utaimarika Tanganyika.
Hapo ndipo Nyerere na Kanisa wakaanza kuvunja misingi iliyokuwa
ikiwapa nguvu Waislam.
Akaanza vita na masheikh, Baraza la Wazee wa TANU, EAMWS kisha
akaunda BAKWATA...
Haya nishayaeleza sana hapa jamvini.
Sasa huu udini wa leo wa kuwabagua Wakristu na kuwafanya maadui zenu nyinyi watoto mmeutoa wapi wakati historia inaonesha wazee wetu wote walikuwa wamoja - japo kulikuwa na kundi la wadini waliowachukia Wakristu tayari hata bila kufanyiwa jambo lolote na ndugu zao. Hii hali ya wewe kuwabagua wazee wa Kikristu katika simulizi lako ukatilia mkazo "wazee wako" tu huku ukitaka wengine nao waandike "wazee wao" wewe umetoa wapi? Kwanini usifuate mfano wa wazee wako waliokuwa wamoja?
Kwanini leo usiamue kufanya mihadi na Askofu Mkuu Pengo kufanya mazungumzo na kueleza uliyonayo moyoni? Au kwanini usiombe kwenda kutoa mhadhara wako kwenye Seminari pale Segerea na kujadiliana na Wasomi wengine?
Naongelea watu kama wale waliochoma makanisa kule Mbagala na Zanzibar. Wengine hata kusoma na kuandika hawajui. Unaijua pia misikiti yetu ilivyo. Kama ipo misikiti yenye computer na internet na waumini wake wanapata access sijui itakuwa mingapi! Hao 20,000 wengi wao ni akina wewe na mimi.
Sasa hapa unataka kupingana na mzee wetu Mohamed. Takwimu hizo nizitoe wapi wakati hata kanisani sijakanyaga miaka mingi tu. Sisumbuliwi na makanisa. Mimi na Mungu wangu asiye na DINI na Tanzania yangu tu.Unataka kuniambia Wakiristo ndiyo wameelimaka sana Tanzania. Sijui unaongelea Wakiristo wa wapi.
Unaweza kutupa idadi ya makanisa ambayo yana access ya internet kwa waumini wake.
Nyerere hakuwa amefanya lolote baya kwa Waislam wakati ule.
Ukweli ni kuwa mambo yakenda vizuri kabisa. TANU ikipata nguvu
kadri siku zilivyokwenda.
Lakini palikuwa na wasiwasi.
Ukoloni haukuwapiga sana Wakristo kama ulivyowapiga Waislam.
Wamishionari walikuwa wameshika elimu ambayo wakiitoa kwa
ubaguzi wakiwapendelea Wakristo.
Ikawa sasa wanauliza busara ya Abdu Sykes na wenzake kumweka
Mkatoliki kuongoza vita dhidi ya Waingereza.
Tatizo lilikuwa hili tu.
Lakini juu ya udhaifu wa Nyerere wa dini yake kuwa alizungukwa na
Waislam alikuwa anaungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh
Hassan bin Amir.
Kisha marafiki zake vijana Abdu, Ally na Dossa walikuwa pamoja na
yeye bega kwa bega.
Kisha Baraza la Wazee wa TANU chini ya uenyekiti wa Sheikh Suleiman
Takadir lilikuwa nyuma yake.
Halafu hawa wote wenye kumuunga mkono ndiyo walikuwa wafadhili
wakubwa wa chama.
Katika hali kama hii Nyerere akawa na nguvu sana katika TANU.
Sasa achilia mbali "support" kutoka zawiyya za Sheikh Hassan bin Amir
huko mikoani na murid kote Tanganyika.
Achilia "support" ya akina Sheikh Mohamed Ramia, Sheikh Mohamed
Yusuf Badi kutoko Lindi, Sheikh Nurdin Hussein wa Lindi pia na wengine
wengi.
Hawa wapinzani wa Nyerere hawakufua dafu.
Mambo yalikwenda kiasi ilikuwa marufuku kwa Waislam kutoleana salaam
ya Kiislam maana "propagandists" akina Rashid Sisso na Abbas Bakis na
Bantu Group wakidai itawabagua Wakristo.
Haya yote wameyafanya Waislam wenyewe kwa mikono yao wenyewe.
Hii ndiyo historia ya wazee wangu na TANU.