Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Pasco,
Suala si kuandika kitabu kingine. Mbona kuna vitabu vingi tu vyenye mrengo tofauti? Kuna kitabu cha Judith Listowell, lakini huyu mama nadhani is no longer alive na kwa hivi hawezi kuzurura kwenye maredio na mitandao na kupata mialiko anayopata Mohamed ili kupaisha kitabu chake. Kuna kitabu cha Lawrence Mbuguni, ambacho kinaweka mizani sawa katika uhusiano wa Waislamu na Wakristo Tanganyika/Tanzania tangu enzi za ukoloni. Huyu naye sijamsikia kwenye mablog akipaisha kitabu chake. Mohamed ameamua kutumia kitabu chake, siyo kwamba tu anataka kusahihisha "historia iliyosahaulika" kama anavyodai, bali pia kuwahamasisha Waislamu watambue kuwa wameonewa na ujio wa Nyerere katika harakati za uhuru wetu, and so they should rise up and fight for their rights. Lakini ukweli hi kwamba Mohamed hana monopoly with the truth about Tanzania's independence struggle.
 
Mwanaharakati,
The truth is in the eyes of the beholder. You can fool some people some of the time.
 
He he he !kumbe kila ambaye hakuwahi kuwa mwana jf anafaa kuzikwa na mawazo yake!

by the way, una lolote jipya kutoka kwenye familia ya nyerere?!

Soma uzi huu na kila post kuanzia ile ya kwanza kabisa!
 
 
Soma uzi huu na kila post kuanzia ile ya kwanza kabisa!
Vipi umesahau kama tulikuwa tukijibishana toka posti ya kwanza?

Aliyoyapata Mohamed Said kutoka wa wazee wake mengi amechangia nasi hapa...je wewe unayetaka kuchangia katika uandishi wa Historia ya Tanzania una lolote jipya kutoka kwenye familia ya nyerere au ni yaleyale ya "Sheikh issa bin Ameir" na "kusamehewa" huku wakipewa vyeo wale waliotaka kumpindua Nyerere?
 

Kujibizana sio kitu cha msingi wa mang'amuzi, ninachoshauri ni kusoma uzi na kuzipitia post zote kwa ufasaha zaidi!

Utagundua jambo jipya, hebu fanya hivyo nduugu!
 
Mzee Mohamed,
Pengine unadhani uko daraja la peke yako katika kuifahamu historia ya nchi hii kwa kuwa tu wengine hatujaandika simulizi za wazee wetu tukaziegesha kwenye DINI zao. Unakosea sana. Huku kujikweza huku hata Mtume Mohamad (S.A.W) alikukataa sana asije akawa kama Issa bin Mariam.

Wewe Tanganyika unayoifahamu ni Kariakoo na sehemu chache za Wazee wako hawa. Historia unayoifahamu ni hii inayowazunguka wazee wako hawa. Sijui na wala sina hakika kama unamfahamu Mwalimu kuliko wale wazee wa MNF akina Butiko, SAS au akina Issa Shivji wa Kigoda cha Mwalimu.

Kaa utulie tukuwekee sawa historia ya nchi hii ambayo haitakuwa na UDINI kama hii ya kwako. Kaa utulie tukutafutie historia moja ya nchi hii ambayo wazee wako waliitengeneza kwa umoja wao bila kuingiza DINI na MAKABILA yao.

Mwalimu kaacha hotuba nzuri na nyingi sana zinaeleza kwa ufasaha tulikotoka. Hakuingia kichwakichwa kwenye harakati za kudai uhuru wa nchi hii. Aliingia kule kama msomi aliyekuwa amekamilika na M.A yake . Sielewi ni wangapi wakati ule ndani ya TAA na baadae TANU walikuwa na kiwango hiki cha ELIMU au sawa na hiki.
 

Tunaisubiri kwa hamu hiyo historia mpya ambayo itakuja kukifunika kitabu cha Mohamed Said.
 
Kujibizana sio kitu cha msingi wa mang'amuzi, ninachoshauri ni kusoma uzi na kuzipitia post zote kwa ufasaha zaidi!

Utagundua jambo jipya, hebu fanya hivyo nduugu!
Umeonyesha kuwa unataka kusaidia kushiriki katika uandishi wa Historia ya Tanzania, unafikiri mimi KAMA Mtanzania sina haki ya kukujua vizuri?
 
natamani wazee wa tanu watoke wakanushe na sio hawa waliosomeshwa na pesa zetu walipa kodi kupitia mradi wa kifisadi wa kanisa (mou). Hawajui chochote badala ya jazba

Ulimwengu unajua kati waislam na wakristo ni kina nani wenye jaziba.
 
Umeonyesha kuwa unataka kusaidia kushiriki katika uandishi wa Historia ya Tanzania, unafikiri mimi KAMA Mtanzania sina haki ya kukujua vizuri?

Hehee kunijua mimi haihitaji vikao vya kitaifa,

Tujadili yanayohusu mstakabali wa historia ya Taifa letu!
 
Hehee kunijua mimi haihitaji vikao vya kitaifa,

Tujadili yanayohusu mstakabali wa historia ya Taifa letu!
Hata! unataka kushiriki kuiandika Historia ya nchi yangu hivyo ni haki yangu nikujue.

Nijibu kwanza una lolote jipya kutoa kwenye familia ya Nyerere? una uhusiano gani na Julius Nyerere?

Mods nisaidieni kumfanya huyu mtu anijibu maswali yangu yanayoihusu nchi yangu na ya wengineo.
 
Nimeipenda hii: "CASE NOT PROVEN." Randal Sadlair. Hitimisho.
 
tunabishana kwa hoja na sio kwa matusi..
Tangu mjadala huu umeanza hujatoa hoja hata moja zaidi ya kubwabwaja ujinga wa kumuunga mkono huyo mzee wako muovu na zandiki Mohamed Saidi. Uovu wenu hautaleta tija yoyote katika nchi hii!
 
Ritz, hakuna ilmu yoyote katika uchochezi wa huyo kibabu wenu Mohamed Saidi! na mshangaa sana hata anapomtaja Mungu katika maswala yake ya chuki na uovu wake!
 


Huyo hana lolote jipya wala la zamani, Roho tu inamuuma kuujuwa ukweli, inamuuma sana kufahamu kuwa ukweli sivyo kama alivyojazwa ujinga miaka yote. Yeye na wenzake.
 
Nitashiriki kuandika historia ya nchi yangu kama mtanzania, hivyo nifahamu kama mtanzania.

Ikiwa kutakuwa na sababu za msingi za taifa kutujua wasifu wawashiriki wa uandishi huo basi itakuwa fursa kwako kunijua ndugu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…