Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Orodha hii ndio iliyoanza kuwasahau wazee wa Mohamed Said. Hataki HISTORIA ya TANU ianzie hapo.

Je ni sahihi kusema kwamba TANU ilianzia pale TAA ilipoishia? na nani alihusika katika kuijenga TAA ambayo ndio ikaja kurithiwa na TANU? Obviously Nyerere hakuwa mjenzi wa TAA, hivyo mapungufu ya TAA hayawezi kubebwa na Nyerere;
 

Ahsante kwa hii orodha.

Unaweza kutuambia ni wapi umetoa hii orodha ili na sisi tukaitafute na tupate kujua zaidi kuhusu TANU?

Nawasilisha
 
Ni kweli, na binafsi sielewi kwanini ilitokea hivyo; Lakini kwa wale wenye upeo mdogo kama zomba, wanaweza kudai kwamba haya yalikuwa ni makosa ya Nyerere wakati TAA ilikuwa ni chombo ambacho Nyerere hakuwa na mahusiano nacho kabla ya 1954;
Mchambuzi. Kwanza nakupongeza sana kwa kujitahidi sana kutaka kutuelewesha usahihi. Mimi nilitaka kukumbusha kitu wakti wa Uhuru wa Tanganyika mwishoni mwa mwaka 1961. Kitu cha Kwanza kabisa wakti Alichokifanya mara baada ya kutawadhwa kuwa Rais wa Tanganyika 1962 alileta Africanization. Je unajua kwanini alianza na Sera hii kwanza kabla mambo mengine?
 
Ni kweli, na binafsi sielewi kwanini ilitokea hivyo; Lakini kwa wale wenye upeo mdogo kama zomba, wanaweza kudai kwamba haya yalikuwa ni makosa ya Nyerere wakati TAA ilikuwa ni chombo ambacho Nyerere hakuwa na mahusiano nacho kabla ya 1954;

Hebu rekebisha kidogo hapo unaposema kuwa Nyerere hakuwa na mahusiano na TAA kabla ya 1954, hebu angalia kumbukumbu zako vizuri
 

Asili ya FILOSOFIA ya AA na TAA ndivyo vilivyokuja kuleta miitikio hasi kwa wazee wa Mohamed hasa baada ya uchaguzi wa TAA pale Anartoglo Mnazimoja sasa,

Baada ya Mwalimu kushika hatamu za urais wa TAA uliokuwa unakaiimiwa na Abdul Sykes baada ya Dr Kyaruzi kuhamishwa nje ya Mzima, Mwalimu alianza kubadili ideology ya TAA na kuwa ya ukombozi wa Tanganyika badala ya kundi dogo la mamwinyi wa Mzizima hitilafu zikaibuka kwa waamini wa TAA hasa wale walioamini ni wapinzani wa Mwalimu.

Uasi kamili uliibuka baada ya uhuru katika ya mwaka 1962 hatua iliyopelekea mkono wa dola thabiti na ya kiraia iliyoongozwa na Mtakatifu Julius Kambarage Nyerere kuwaangukia chini ya upinde wa sheria ya "kumweka kizuizi"

Nilimweleza Mohamed Said awe mkweli aseme wazi cchuki zake kwa Mwalimu ni za kisasi mufu anachokiendesha kupitia Uislamu wa wazee wake wale waasi waliowekwa kizuizini kwa usalama wa taifa letu baada yakutaka kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere kupitia DINI
 

Mkuu Ngongo,

Jaribu kutenda haki angalia na upande wa pili au hauoni kejeli sababu upande wako!
 
Last edited by a moderator:
Zomba,

Kwa kuongezea (in relation to bandiko lako namba 2983 hapo juu), a political movement ni vuguvugu la kisiasa na a political party ni chama cha siasa; Hivi ni vitu viwili tofauti na sio kutoka kwa Mohamed Said wala Chuo Cha Kivukoni ambako unaweza jifunza tofauti hizi bali kupitia elimu nyingine tofauti kabisa.

Ngoja nianze na elimu yangu kwako ambayo definitely haipo Kivukoni.

Tofauti baina ya Political Movement & Political Parties:
Variable
A Political Movement
A Political Party
Orientation
A Cause
Issues
Level of Operation
The Regime
The Government
Main Arena of Operation
The Society
The Parliament
Method of Operation
Mobilization
Persuasion
Member Orientation
Diffuse
Specific
Claims to resources
No formal limits
Constrained by rule of Law
 
Ahsante sana Mchambuzi kwa kujitokeza kwenye mtanange huu wa wazee wa Gerezani.

Hakika leo Mzee wa gerezani na wapambe wake mavi yatawatoka....Karibu sana Mchambuzi na ninakuomba usiondoke
kwenye mtanange huu kwa maslahi ya Taifa letu.
 

Mjadala wa kujibu swali lako ni dhahiri utakuwa ni wa kisiasa zaidi; nafahamu kwanini africanization ilikuwa ni kipaumbele cha mwalimu, lakini kwanini usitoe mawazo yako juu ya hili kwanza kisha tujadili, kwani kwa jinsi ulivyowasilisha hoja hii, una mengi ya kujadili, vinginevyo ingekuwa kama swali ambalo ritz aliniuliza kwenye bandiko lake huko juu, ningeanza mimi kujibu; Tafadhali nipe mawazo yako katika hili ili tujenge mjadala mzuri;
 
Je ni sahihi kusema kwamba TANU ilianzia pale TAA ilipoishia? na nani alihusika katika kuijenga TAA ambayo ndio ikaja kurithiwa na TANU? Obviously Nyerere hakuwa mjenzi wa TAA, hivyo mapungufu ya TAA hayawezi kubebwa na Nyerere;
AA---TAA---TANU---CCM; huyu ni nyoka mmoja ambaye alikuwa akijivua gamba( kwa maana yake halisi) kadri umri, mazingira na nyakati zilivyo-dictate. Historia inapaswa kuwakumbuka wote waliohusika na mchakato wa kuvianzisha, kuvilea na hatimaye kuvibadili vyama hivi.

Kama mzee wetu Mohamed angeandika kitabu kwa maana hiyo bila kuingiza ubaguzi wa aina yoyote ile ningemuunga mkono sana tu. Badala akawaona "waliosahaulika" ni wa dini moja.
 
Ahsante sana Mchambuzi kwa kujitokeza kwenye mtanange huu wa wazee wa Gerezani.

Hakika leo Mzee wa gerezani na wapambe wake mavi yatawatoka....Karibu sana Mchambuzi na ninakuomba usiondoke
kwenye mtanange huu kwa maslahi ya Taifa letu.

Asante sana mkuu, nipo, na kama ulivyotamka, yote ni kwa ajili ya manufaa ya taifa letu kwani juhudi zao za kupotosha historia ya nchi yetu zikiachwa ziendelee kwa mtindo huu, watakao athirika haitakuwa sisi bali wajukuu na vitukuu vyetu sote (pamoja na wao);huu ni unafsi na ubinafsi;
 
Ahsante sana Mchambuzi kwa kujitokeza kwenye mtanange huu wa wazee wa Gerezani.

Hakika leo Mzee wa gerezani na wapambe wake mavi yatawatoka....Karibu sana Mchambuzi na ninakuomba usiondoke
kwenye mtanange huu kwa maslahi ya Taifa letu.

Sasa jamani, Ngongo katoa wazo tuchunge kauli zetu, anakuja mtu anasema maneno kama haya

Ngongo, au huyu anautendea haki jamvi hili?
 
Last edited by a moderator:
Hata ngome ya madharimu wa kireno pale Mombasa iliitwa "Fort Jesus" sasa hapo nini cha ajabu?
 

Kaka Barubaru, Hashima Mbele

ingekuwa Busara sana kama ungeifungulia uzi wake hiyo maada ya AFRICANIZATION, lakini kwa sasa tunaomba sana tuipenkenyue hii History yetu kwa Mujibu wa Mzee Mohamed Said, kuna vitu vingi vinachanganya watu aidha viliacha kwa makusudi, ama bahati mbaya au ni mazingira yalifata Mkondo wake

kwa muda mrefu list ilikuwa inaombwa, sasa imebandikwa hapa upenuni, na Wazee wetu wa Mzizima wako wanne tu ndani ya hiyo list, ngoja tusubiri Mzee aje aithibitishe hiyo list kama ni sahihi ama kuna watu wameachwa, na kama hoja za mwanzo za Mzee Moh Said kuwa Nyerere ndio aliinfluence kubadilishwa kwa history ya TANU, basi ingekuwa busara pia atuambie kuwa hiyo list ilitengenezwa na Nyerere au kwa usimamizi wa Nyerere
 
Ni kweli, na binafsi sielewi kwanini ilitokea hivyo; Lakini kwa wale wenye upeo mdogo kama zomba, wanaweza kudai kwamba haya yalikuwa ni makosa ya Nyerere wakati TAA ilikuwa ni chombo ambacho Nyerere hakuwa na mahusiano nacho kabla ya 1954;
Huyu anaitwa Mchambuzi....Utaki unaacha.

Mchambuzi,Mwanakijiji,Ogah3,Mag3,Nguruvi3,Fundi mchundo,Mkandara,Jokakuu,Jasusi na Nicholas...yaaani hii kama ni timu basi ni Barcelona na kama ni nchi basi ni USA. Hawa ni watu wa hoja ni si viroja. Utaki unaacha.
 
hebu toka basi uwaachie watu wenye akili zao wachambue mambo hapa..!
Kwani ni lazima uchangie??
Hapa watu timamu wanazungumza yenye utimam wewe unakuja kutafuta umaarufu??
Toa madudu yako hapa..
Bangi mwanangu sio lazima uvute! siunaona bangi ya kimawazo ya mzee wako wa fitina Mohamedi Saidi inavyokutesa? husikii la mtu bali kukesha kutetea upuuzi wake hapa. Kubwa zima hovyoo! hukukosea kujiita THE BIG SHOW! maana kweli umekuwa big show kuonesha upumbavu wako!
 
Nimesoma kwa umakini sana kuhusu hoja za Yericko Nyerere na Mohamed said nimegundua huyu Mohamed anasukumwa na Udini na hata mashabiki wake wameshindwa kuja na ushahidi wa wanayoyasimamia. Kuna maswali ameulizwa hapo nyuma ameshindwa kuyajibu kabisa na hata hoja za kisomi zaidi toka kwa Mchambuzi ameshindwa kuzijibu. kwa hiyo naona ni mchochezi tu wa makusudi katika kitabu chake.
 
Hebu rekebisha kidogo hapo unaposema kuwa Nyerere hakuwa na mahusiano na TAA kabla ya 1954, hebu angalia kumbukumbu zako vizuri

Hoja yangu ya msingi katika hili ni kwamba TAA ilizaliwa katika kipindi ambacho Mwalimu alikuwa na umri chini ya miaka kumi; Ni baada ya Mwalimu kusoma vizuri, kwenda nje kupata exposure n.k ndio akaanza interest na siasa; Awali Mwalimu hakuwa ana operate kitaasisi, bali as an individual hasa kwa kushirikiana na young elites wa wakati ule katika vikao vyao vya kahawa na kashata; Baadae ilipohitajika nguvu zaidi and more organized efforts, wazo la TAA ndio likazaliwa, na consensus ikafikiwa kwamba there was no need to reinvent the wheel kwani tayari TAA ilikuwa na experience as an organization (ingawa informally) na pia ilikuwa na a huge base throughout the territory; Majadiliano baina ya viongozi wa TAA na mwalimu ikawa kwamba TAA hiyo hiyo itumike lakini igeuzwe kuwa na political orientation; Wakakubaliana kwamba Mwalimu would work on the new constitution which would completely reorient the association's objectives and policy; Walipokubaliana juu ya hilo, ndio Mkutano Mkuu wa TAA Taifa ukaitishwa in early 1954 na ni hapo ndio TANU ikazaliwa to replace TAA, huku orientation ya awali ya TAA ambayo ilikuwa ni mchanganyiko wa social-political-cultural, ikageuzwa kuwa a fully fledged political organization yenye lengo kuu moja - kudai full political independence kutoka kwa mkoloni;
 
Unamaana gani unaposema "kila kiumbe anazaliwa Muislam". Hata nguruwe anazaliwa hivyo?
 
Kaka Mchambuzi,

Wapi umepata orodha hii ya wanachama wa mwanzo wa TANU ili nasisi tukaitafute na kujua zaidi kuhusu TANU?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…