Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Unaonesha kuwa umefanya utafiti wa kutosha kurusha shutuma kwa Mohamed Said, kwanini wewe ungoje Mohamed Said na wewe usiwatendee haki kwa kuandika habari zao kama alivyofanya kwa wazee wake Mohamed Said baada ya kuona kuwa hawajatendewa haki kutokuelezewa na historia ya kivukoni.

Huoni kuwa itakuwa vyema na utatusaidia na sisi kutupa elimu kama alivyotupa elimu Mohamed Said.
 

Wakuu tuwe makini na hili suala,

Hapa kuna mambo makuu mawili kwa historia ya nchi yetu!

Kwanza ni wapigania uhuru wa nchi yetu (mashujaa)

Pili kuna waasisi wa TANU.

Sasa sijui malalamiko yanasimama wapi?
 

Hawa ndio waasisi wa kupigania uhuru kamili wa Tanganyika
 
Wakuu tuwe makini na hili suala,

Hapa kuna mambo makuu mawili kwa historia ya nchi yetu!

Kwanza ni wapigania uhuru wa nchi yetu (mashujaa)

Pili kuna waasisi wa TANU.

Sasa sijui malalamiko yanasimama wapi?

Soma kichwa cha nyuzi yako hii halafu utajuwa malalamiko ni yepi na uzioneshe shutuma zako, naomba japo mstari mmoja wa kutoka kitabu cha Mohamed Said unaothibitisha shutuma zako.
 

Nafikiri Kazimoto wewe ujawahi kufanya utafiti wowote. Ngoja nikusaidie kidogo.

Ili mtu uweze kufanya utafiti ni lazima ujue unataka kufanya utafiti wa Nini. Huwezi kufanya utafiti wa kila kitu.

Al Akhiy Mohamed Said alitaka kufanya utafiti wa Mchango wa wazee wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika. Na hilo ameliweka wazi kila mtu analijua hilo. sasa asingeweza kwenda mpaka kwa hao mapadri au hata kwenda kwa chifu Rumanyika wa kule Bukoba. yeye amejikita zaidi kwa wazee wake wa Dar katika kupigania uhuru wa Tanganyika na reference yake kubwa ilikuwa Kijitabu cha Kivukoni ambacho kilisahau mchango wa wazee wake.

sasa na wewe unaweza chukua kijitabu cha Kivukoni kuhusu historia ya Uhuru wa Tanganyika na kile cha Mohamed Said kuangalia kama kuna watu wamesahaulika basi na wewe ukatoa kijitabu chako. Hiyo ni ruhsa kabisa kuliko kutoa shutuma na lugha za kejeli kwa al akhiy Mohamed Said kwa kazi yake nzuri.

Pole sana.
 
That is the big problem of Zomba, he is always a jack of all trades but master of non!

Raha sana kuona kuwa hata wewe umefaidika au hujapitia post namba 3186? ili utulize munkar wako.
 
Hawa ndio waasisi wa kupigania uhuru kamili wa Tanganyika

Yericko,


Yericko.

Kama kweli ungekuwa muungwana ulitakiwa utuombe radhi wafuatiliaji wa mnakasha huu hasa PALE ULIPOSHINDWA KUTUTHIBITISHIA TUHUMA ZAKO ULIZOTOA DHIDI YA AL AKHIY MOHAMMED SAID.

Nafikiri sasa umekiri wazi kuwa kuna mambo mengi yalifichwa na MS ameyafichua tena kwa njia ya kisomi sana na wengi tumenufaika ikiwemo wewe mwenyewe.

Waswahili wanasema Bora uteleze mguu kuliko kuteleza ulimi.

Pole sana

 

Bado unatapatapa. Ritz aliandika kuwa Arafat alikutana na Moshe Dayan Camp David. That was the issue. That never happened. Sasa wewe unaniletea za Begin na Sadat, wapi na wapi? Ni yale yale eti Nyerere alikuwa anaenda sokoni Kariakoo bila kuwa na pesa mfukoni. Tumeshawazoea!
 
Wasomi hujadili na kuchambua "historical fact" na sio hisia! na sio busara kutuambia kwamba Mohamed ameandika historia yaa wazee wake na hivyo na sisi tuandike historia ya wazee wetu, huo sio usomi.
 
Wasomi hujadili na kuchambua "historical fact" na sio hisia! na sio busara kutuambia kwamba Mohamed ameandika historia yaa wazee wake na hivyo na sisi tuandike historia ya wazee wetu, huo sio usomi.

Nakubaliana na wewe kabisa kuwa huo sio USOMI bali unaitwa UTAFITI.

Siku zote utafiti unajibiwa kwa UTAFITI na sio porojo wala kejeli. Sasa nafasi unayo nawe fanya utafiti utuletee paper yako ya kitaaluma.

Pole sana
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa huo sio USOMI bali unaitwa UTAFITI.

Siku zote utafiti unajibiwa kwa UTAFITI na sio porojo wala kejeli. Sasa nafasi unayo nawe fanya utafiti utuletee paper yako ya kitaaluma.

Pole sana
Unaweka wapi mpaka kutenganisha usomi na utafiti? Kama kweli Mohamed Saidi alifanya utafiti kwa aliyoya andika mbona mpaka anaaga hapa jamvini hajaweka ushahidi wa kuthibitisha madai yake?
 
Zomba,

Hoja yako kuhusu list ya waasisi nimeijadili mara nyingi sana licha ya wewe kuendelea na hoja zako kwamba hiyo ni list ya kivukoni. Mimi nimejifunza hilo kupitia historia kwa kujisomea, tena iliyoandikwa miaka ya sitini wakati matukio yakiwa bado fresh, sio orodha zenu za kuchakachua mnazo tengeneza vijiweni karne ya 21. Hoja ya mzee mwanakijiji kwenye bandiko namba 3127 pia imewaweka sawa, lakini kama kawaida yenu, mnatimua mbio. Vinginevyo sioni kipya hapa zaidi ya muendelezo wa propaganda zisizo na maslahi kwetu kama taifa.
 
Unaweka wapi mpaka kutenganisha usomi na utafiti? Kama kweli Mohamed Saidi alifanya utafiti kwa aliyoya andika mbona mpaka anaaga hapa jamvini hajaweka ushahidi wa kuthibitisha madai yake?

Funguka kiakili na mara zote fikiri nje ya box.

Al Akhiy Mohamed Said (kama umesoma post ya kwanza ) ametuhumiwa kuwa yeye ni mchochezi , mpotoshaji na mhaini. sasa kilichotakiwa ni mtoa mada kuthibitisha tuhuma hizo. Na Mohamed Said alitakiwa kujibu tuhuma hizo.

Sijui nikusaidiaje hapo.

Nakupa pole
 
Msaidie mpuuzi mwenzio Mohamedi Saidi kwa kufikiri na kuwadanganya kuwa juhudi na mapambano ya uhuru yalifanywa na wazee wake wakiislam na sio watanganyika wote kwa ujumla wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…