Gazeti la Mwafrika.
Hotuba ifute kitabu!
Ushahidi wa hotuba niliyobandika hapo juu ni kielelezo tosha cha kuthibitisha uongo wa Mohamed Said.
Hotuba ifute kitabu!
ulisema utaileta, iko wapi? Unatuletea maandiko ambayo yako edited na "out of context" halafu unajidai ni hotuba?
ushahidi wa hotuba niliyobandika hapo juu ni kielelezo tosha cha kuthibitisha uongo wa mohamed said.
Alisema alienda TBC kuitafuta hiyo hotuba wakamwambia inauzwa lakini akusema kiasi gani cha pesa.
Alisema alienda TBC kuitafuta hiyo hotuba wakamwambia inauzwa lakini akusema kiasi gani cha pesa.
Hata hamu ya kujibu sina.
Porojo zake tu hizo, kama kashindwa kuinunuwa aseme shillingi ngapi, sisi tutamrushia kwa Mpesa. Hapo sasa!
Haifuti, lakini inakitoa kutoka kitabu cha historia ya uhuru upande wa pili na kuwa NGANO za vuli na hekaya za ..............Hotuba ifute kitabu!
porojo zake tu hizo, kama kashindwa kuinunuwa aseme shillingi ngapi, sisi tutamrushia kwa mpesa. Hapo sasa!
Haifuti, lakini inakitoa kutoka kitabu cha historia ya uhuru upande wa pili na kuwa NGANO za vuli na hekaya za ..............
mimi hamu iliniisha muda mrefu,baada ya kuona unchosema wewe na kile wanachosema wao,ni vitu havilingani wala kushabihiana
niliamua niwe naangalia tu
hoja hawana,wanavutwa zaidi na utashi wa dini
wanavutwa zaidi na chuki ya dini
si kwamba hawaoni uzito wa hoja zako
bali upofu wa ukereketwa wa dini
ndo umewafanya wawe wa wabishi na wapotoshi
ni ngumu sana kuelewa hawa,
kwani ni watu waliojengwa kupokea bila kuhoji,
Haifuti, lakini inakitoa kutoka kitabu cha historia ya uhuru upande wa pili na kuwa NGANO za vuli na hekaya za ..............
Huna jipya mzee Mohamed zaidi ya kujinasibu na mambo madogo! mbona hujibu hoja za wakina Nyambala, Nguruvi, Mwanakijiji, Mag3...........,? sasa unakuja uwanjani na kuniita mie mvivu wa kusoma! unanitaka ni kasome kitu gani? unataka nikasome 'historical opinions' zako? au nikasome majigambo yako kuwa wewe umezaliwa Gerezani? Unataka nirudi nikasome kilio chako kuwa waislam katika nchi hii wanaonewa? Pole sana Mohamedi, umerudi jamvini bila hoja. Bora ungebaki huko ulikoamua kujificha!Niko ndugu yangu.
Nimekusoma.
Laiti ungeingia kwenye bahari yenyewe.
Ungesoma sentensi nzima ungeipata maana kamili.
Ukinyambua huko kuzaliwa Gerezani peke yake hapo
hakuna cha kujadili.
Wazungu wana neno lao "out of context."
Hilo la kurudi mbona nilishaeleza huko nyuma?
Ungekuwa kwanza basi unasoma ndiyo unaandika.
Usikimbilie kuandika kabla ya kusoma unatoa raha ya
mnakasha na we mwenyewe unajifedhehesha.
Huwezi kuja hata na chelewa acha kigongo ikiwa wewe
ni mvivu wa kusoma.
Sasa rudi kasome kisha njoo na magongo.
Insha Allah utanikuta nakusubiri.