zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,930
Huna jipya mzee Mohamed zaidi ya kujinasibu na mambo madogo! mbona hujibu hoja za wakina Nyambala, Nguruvi, Mwanakijiji, Mag3...........,? sasa unakuja uwanjani na kuniita mie mvivu wa kusoma! unanitaka ni kasome kitu gani? unataka nikasome 'historical opinions' zako? au nikasome majigambo yako kuwa wewe umezaliwa Gerezani? Unataka nirudi nikasome kilio chako kuwa waislam katika nchi hii wanaonewa? Pole sana Mohamedi, umerudi jamvini bila hoja. Bora ungebaki huko ulikoamua kujificha!
Masikini ya Mungu, hata hujuwi ukasome nini? Nenda kapate elimu itayokusaidia kutoka kwenye "mambo madogo", ukishaipata urudi na "madongo".