Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

zomba
Acha hizo.
Sio ninyi mnaodharau watu wa bara na kutuita watu wa kuja, na kuwa hatujui kiswahili?
Sio ninyi sometimes hata kwenye dini yenu mnaona mzanzibari lazima anaijua zaidi kuliko mmanyema wa Kariakoo, na Mmanyema wa kariakoo anaijua zaidi kuliko mmnanyema wa kigoma na Congo? Mpaka mmesababisha inferiority complex ya wadini wa bara wanajilazimisha kuwa ni waswahili wa Dar, ili tu muwakubali? zomba, hebu pitia posts zako hapa jinsi zilivyojaa maneno makali, hata kuhusu marehemu... Hayo mnafundishwa na Quran? Give me a break meeeeeeen!
 
Last edited by a moderator:

yericko x,
mimi nadhan kwa sasa ungeamua kujisimamia ww mwenyewe kuliko kukaa na kusubiri back up za ndugu zako,haitakusaidia hata kidogo..

Kadir muda unavozid kwenda ndivo jins unavozid kusikitisha na kutia huruma kwa hoja zako..
 
Nje ya hapo DVD zako hazina nafasi, kwani hazina maarifa zaidi ya uchochezi na udini.
 

Kukuita wakuja ni sifa, kwani sio wakuja kweli? na kukukwambia Kiswahili hujui ni sifa, msome Nyerere kwenye post namba 1 anavyojisifu kuwa alipokuja Dar akakutana na wazee wa Dar alikuwa hata Kiswahili vizuri hakijuwi. Kama si sifa ni nini hiyo? alikuwa anajitukana au anajisifu?

Hutotusikia sisi kukutukana kukuita "koko", koko ni neno linalotumika kwa mbwa na si binaadam. Tafadhali sana, huu ni mjadala tu, usipandishe hasira kiasi hicho, si vyema.
 

Mantiki inabaki palepale kuwa maeneo hayo ni makazi ya Ngano tu!
 

Haya mkuu zomba. Ila hapa koko - Swahili-English Dictionary
inaonesha wazi kuwa "koko" can mean "wild" or "unconventional".
So it can apply to anything -mbwa, binadamu, mzungu, mwarabu, kugetemeana na maana unayoitaka (wild au unconventional).
Kiswahili kinakua ati, hakipo kariakoo tu. Na sisi wa bara tumo...
 
Last edited by a moderator:

Haya mkuu zomba. Ila hapa koko - Swahili-English Dictionary
inaonesha wazi kuwa "koko" can mean "wild" or "unconventional".
So it can apply to anything -mbwa, binadamu, mzungu, mwarabu, kugetemeana na maana unayoitaka (wild au unconventional).
Kiswahili kinakua ati, hakipo kariakoo tu. Na sisi wa bara tumo...
 
Last edited by a moderator:
Zomba kwa hili uko juu yaani hii aya wakiisoma vizuri bila ushabiki watafaidika sana na watajua ukweli uko wapi BIG UP KEEP IT UP
 

N,

Sawa sisi ni Uhuru na Mzalendo.
Kuna mtu alinambia kuwa nyie ni watu wa chama fulani.

Mimi si mtu wa kuambiwa neno nikaamini hapo hapo sasa dalili zinaanza kujitokeza.
Ala kumbe Uhuru na Mzalendo hawana maana.

Hivi wewe umejua lini hili?

Sasa fungua uzi mpya tujadili.

Ungelijua uungwana wa Harith na ukoo wake wa Waafrika pamoja na yeye mwenyewe
ungejuta kumtukana.

Nitakuonjesha kidogo.

Bibi yake Harith ni Mmanyema mweusi tiii Biti Tambwe na babu yake ni Muarabu wa Zanzibar
mwenye asili ya Kiomani.

Zanzibar walikuwapo wasichana wa Kiarabu lakini babu yake Harith alianguka kimapenzi na
msichana wa Kimanyema Mwafrika kama Waafrika wanavyokuja.

Posa zikenda na ndoa ikafungwa.
Ndiyo leo tuna huyu mjukuu Harith Ghassany.

Baba yake Mzee Ghassany alisoma Oxford pamoja na Mwinyibaraka.
Nikimjua Mzee Ghassany wala sikuuona huo Uarabu wake na kafanya kazi serikalini hadi alipostaafu.

Nikikutana na Harith huniimbia nyimbo za Kimanyema alizofunzwa na bibi yake.
Nyimbo hata mie sikupata bahati ya kuzijua.

Sasa mnapambana na kizazi hiki ambacho hakijaathiriwa na propaganda za Wamishonari na huku Bara
ngano zenu za Waarabu kutesa Waafrika.

Ndiyo hii Zanzibar ya leo inayodai uhuru wake.
 

Kwa hiyo baba'ko na mama'ko wakati wanakukaripia kwa kukukanya unawaita baba'ko "baba koko" na mama'ko "mama koko" ndio Kiswahili kikuavyo hivyo? au sivyo unavyotaka kusema, sasa huo u "wild" wa Dr. Harith uko wapi? unaweza uonesha kwa kuufungulia nyuzi?, ili tusiharibu mada ya Yericko Nyerere? inayo mlemea vibaya sana, maana mpaka sasa kila anazoleta anakula knock out.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…