mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
Nyerere alikuwa noma sana...ile kutia maguu tu Bongo akawakuta watu wanakunywa kahawa'akawabeep kidogo tu kwa
kuwarushia pipi,wazee wakaingia mazima mazima...jamaa huyoooooo ikulu. Chezea nyerere wewe.
kuwarushia pipi,wazee wakaingia mazima mazima...jamaa huyoooooo ikulu. Chezea nyerere wewe.