Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nyerere alikuwa noma sana...ile kutia maguu tu Bongo akawakuta watu wanakunywa kahawa'akawabeep kidogo tu kwa
kuwarushia pipi,wazee wakaingia mazima mazima...jamaa huyoooooo ikulu. Chezea nyerere wewe.
 
Yericko Nyerere,

Tunajifunza kutoka kwako naomba utufahamishe rais wa TAA mwaka 1949 Alikuwa nani.na Katibu wake alikuwa nani.

Rais wa TAA alikuwa Dr Kyaruzi,

Kisha nafasi hiyo ikakaimiwa na Katibu Abdul Sykes baada ya Dr Kyaruzi kuhamishwa De mpaka Mwalimu Nyerere alipokuja kumshinda katika uchaguzi wa pale Arnatouglo mnazi mmoja pale 1953
 
Last edited by a moderator:
Ninafahamu vizuri tena si kwakusimuliwa vibarazani kama afanyavyo Mohamed!

Ninazo na nyaraka zote muhimu!

Yericko,

Wewe mbona unapenda kusema ovyo?
Angalia hiyo hapo chini na jipime katika hivyo vitabu
vingapi umesoma.

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Bibliography
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Amir, Hassan Sheikh, (Mufti) ‘Daawat Islamiyya', unpublished paper, 1962[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Baker, E, Principles of Social and Political Theory, Oxford, 1951.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Bates, Darrel, A Gust of Plumes, Hodder and Stoughton, London, 1972.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Becker, C H ‘Materials for the Understanding of Islam in German East Africa,' in Tanzania Notes and Records, no.68, February, 1968[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Bergen, Jan Pvan, Development and Religion in Tanzania, Madras, 1981. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Bennet, George, Kenya, A Political History, The Colonial Period,OxfordUniversity Press, London, 1963 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Bienefold, M A, ‘Trade Unions, The Labour Process', JMAS Vol. 17 no. 4, 1979[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Bolt, Robert, State of Revolution, Heinemann, London, 1977[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Butler, Jeffery and Castagno A S, Boston University Papers on Africa in Transition in(eds),African States: A Prolegomenon, Praeger, New York.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Cartwright, John, Political Leadership in Africa, Croom Helm and Canberra St. Martin's Press, New York, 1983 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chiume, M W K, Vituko Vya Uhuru, Pan-African Publishing Company Ltd, Dar es Salaam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chuo Cha Kivukoni, Historia ya Chama cha TANU 1954-1977, Dar es Salaam, 1981[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Daily News Nyerere: 1961-1985...Passing on the Tongs, 1986[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Duggan, W R and Civille, J,R Tanzania and Nyerere, Orbis Book, Maryknoll New York, 1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Duverger, Maurice, Political Parties: Their Organisation and Activity in the Modern State,John Wiley and Sons, New York, 1963[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Hansen, H. B. and Twaddle, M.Religion and Politics in East Africa, James Currey, London, 1995 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Harbeson, John, W, ‘Land Reform and Politics in Kenya, 1954-70', JMAS, Vol. 9 No.2, 1971, pp. 231-251[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Hatch, John, Two African Statesmen, Secker and Warburg, London, 1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Iliffe, John, A Modern History of Tanganyika, Cambridge University Press, London, 1977[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] A History of Post-War Africa, Andre Deutsch, London, 1965[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Modern Tanzanians, (ed), East African Publishing House, Nairobi, 1973[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ‘The Role of the African Association in the formation and Realisation of Territorial Conciousness in Tanzania.' Mimeo, University of East Africa Social Sciences Conference, 1968[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ‘A History of Dockworkers of Dar es Salaam' TNR, Dar es salaam, 71, 1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Idara ya Habari ya Chama, Uamuzi wa Busara. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kandoro, S. Abdu, Mwito wa Uhuru, National Printing Company, Dar es Salaam, 1981[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kaggia, Bildad, Roots of Freedom 1921-1963:The Biography of Bildad Kaggia, East African Publishing House[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kayamba, Martin, The Autobiography of Martin Kayamba, ‘The Story of Martin Kayamba Mdumi, MBE, of the Bondei Tribe', in Margery Perham, (ed) Ten Africans, pp.175-272[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kimambo, I. N.and Temu A J A History of Tanzania, EAPH, Nairobi, 1969[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kjeshus, H, (ed) Labour in Tanzania, University of Dar es Salaam Political Science Series, TPH, Dar es Salaam, 1977.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kirilo, Japhet and Seaton Earle, The Meru Land Case, East African Publishing House, Nairobi, 1966[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kiwanuka, K Mayanja, ‘The Politics of Islam in Bukoba District', B A Thesis, University of Dar es Salaam, 1973 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Listowel, Judith, The Making of Tanganyika, Chatto and Windus, London, 1965[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Macpherson, Fergus, Kenneth Kaunda of Zambia, Oxford University Press, Lusaka, 1974[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mang'enya, E. A. M, Discipline and Tears, Dar es Salaam University Press, 1984[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mapolu, Henry, Workers and Management, TPH, Dar es Salaam, 1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mapunda, H, Historia ya Mapambano ya Mtanzania, TPH, Dar es Salaam, 1980[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mazrui, A A, Violence and Thought, Longman, London, 1969[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mboya, Tom, The Challenge of Nationhood, Praeger Publishers, New York, 1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mihayo, B. Paschal, Industrial Conflict and Change in Tanzania, TPH, Dar es Salaam, 1981[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Miti, Katabaro, Whither Tanzania? Ajanta Publications, Delhi, 1987[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mutahaba, G, Portrait of a Nationalist: The Life of Ali Migeyo, East African Publishing House, 1969.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mwenegoha, H A K Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Foundation Books Ltd, Nairobi, 1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Nimitz, August H, ‘The Role of Sufi Order in Political Change,' Ph. D Thesis, Indiana University, 1973[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Islam and Politics in East Africa, University of Minnesota Press, Minnapolis, 1980[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Nyerere, J. K., Freedom and Socialism, Oxford University Press, Dar es Salaam, 1968[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Freedom and Unity, Oxford University Press, Dar es salaam, 1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Pratt, Cranford, The Critical Phase in Tanzania, 1945-1968, Cambridge University Press, London, 1976[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Reekes, W Geofrey, ‘The Development and Diffusion of Swahili Culture in Tanzania', Mimeo, African Studies Working Paper no. 8/1979[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Rusberg, G G, The Myth of ‘Mau Mau' Nationalism: Nationalism in Kenya, Frederick A Praeger Publishers, New York, 1966[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Said, Mohamed ‘Islam and Politics in Tanzania,' Al Haq International, Karachi, vol.1/no.3 August- December, 1993[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Shivji, I G, Law, State and the Working Class in Tanzania, James Currey, London, 1986[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Sivalon, J, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, Benedictine Publications, Ndanda - Peramiho, 1992[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Sklar, Richard, L., ‘The Nature of Class Domination in Africa,' JMAS Vol. 79[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Smith, P. Fr; ‘Christian and Islam in Tanzania Development and Relationships' in Islamochristiana, 16 (1990) [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ‘Some Elements for Understanding Muslim-Christian Relations in Tanzania,' 1993 (Seminar paper presented in Dakar, Senegal, ‘Islam in Africa South of Sahara,')[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 'Muslim and Christian Relations in Tanzania in the Light of Vatican II.' M A Dissertation, London School of Oriental Studies, (1979)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Tandau, A. C. A., Historia ya Kuundwa Kwa TFL (1955-1962) na Kuanzishwa kwa NUTA, Dar es Salaam, Mwananchi Publishing Company, 1964[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Tandon, Yash, In Defence of Democracy, Inaugural Lecture Series no. 14, Dar es Salaam University Press, 1979[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Tewa, S. Tewa, ‘Probe In the History of Islam in Tanzania' (unpublished manuscript)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Ulotu, A. Ulotu, Historia ya TANU, Kilimanjaro Publications, 1971 Mashairi ya Mambo Leo, Kitabu cha Kwanza, The Sheldon Press, London 1965[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Newspapers/Magazines
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Tanganyika Standard[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Sunday News[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Daily News[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Zuhra[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Baragumu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kwetu[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mambo Leo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mwangaza[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Tazama[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Kiongozi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Ngurumo[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Daily Nation[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Uhuru[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Africa Events[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] New African[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Rais wa TAA alikuwa Dr Kyaruzi,

Kisha nafasi hiyo ikakaimiwa na Katibu Abdul Sykes baada ya Dr Kyaruzi kuhamishwa De mpaka Mwalimu Nyerere alipokuja kumshinda katika uchaguzi wa pale Arnatouglo mnazi mmoja pale 1953

Y,

Mapinduzi yalifanywa 1950 na Hamza Mwapachu na Abdu Sykes
kuwaondoa madarakani Mwalim Thomas Sauti Plantan rais na katibu
wake Clement Mohamed Mtamila.

Uchaguzi ukataka kufanyiwa mizengwe na maofisa wa Kiingereza.
Schneider Abdillah Plantan akafanya vurugu kubwa hadi ikaamuliwa
uchaguzi uitishwe.

Hapo ndipo Dk. Kyaruzi na Abdu Sykes wakaingia kuongoza TAA.
Dk Kyaruzi Rais Katibu Abdu Sykes.

Baada ya kuunda TAA Political Sub Committee wajumbe wakiwa Sheikh
Hassan bin Amir, Abdu, Mwapachu, Rupia, Mhando na Chaurembo na mambo
kuanza kwenda kwa kasi Dk, Kyaruzi akahamishiwa Kingolwira Prison na kisha
Nzega.

Abdu akawa kaimu rais na uchaguzi ulipoitishwa mwaka 1952 akachaguliwa
rais.

Mwaka 1953 ndiyo Nyerere akachukua uongozi wa TAA.

Hebu soma hapa chini uongozi wa TAA 1953:

In June, TAA headquarters announced its executive committee with J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias and Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer and Ally K. Sykes as Assistant Treasurer. Committee members were Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo and Patrick Aoko.[1]

The composition of the TAA leadership showed East African solidarity that existed during the struggle for independence. Kenyan patriots were elected as office bearers side by side with Tanganyikans.

It is said that it was about that time, in the last months of 1953, that Abdulwahid talked to Nyerere seriously about forming an open political party to replace TAA.


[1] Tanganyika Standard, 19 th June 1953.

Sasa hebu angalia hayo unayosema wewe na haya yangu.
Amua mwenyewe yapi yanatoka kijiweni na yapi yanatola katika tafiti na nyaraka za kuaminika.

 
Bro, Mohamed Saidi Mwanahistoria halisi Tanzania! nakuomba unifahamishe kama unajua sababu ya kurushwa vipeperushi toka angani sikumbuki kama ilikuwa ni miaka ya 60 au 70 mimi nilikuwa mdogo sana lakini nakumbuka vipeperushi hivi vilirushwa toka angani kwa kutumia ndege! ktk vipeperushi hivyo kulikuwa na picha ya Nyerere akiwa na majonzi makubwa na picha ya pili ilikuwa ya Kambona akiwa ana furaha na bashasha! jee, unakumbuka?
 
N,

Lakini mimi siyo Akin wala si mpuuzi na kitabu changu kipo hapo pamoja na vitabu
vya waandishi wengine.

Wala siko hapa JF kwa porojo kwani porojo si sifa yangu.

Labda hujui.

Miaka mingi sana nyuma nilipewa heshima ya kuwa member wa Libary of Congress
na Tanzania nzima tuliopata bahati hiyo tulikwa watu watano tu.

Hiki ni kisa chake ukipenda nitakiweka hapa jamvini.

Umekasirishwa na historia hii.
Hili nalielewa sana.

Watu wanaoifurahia historia hii hivi sasa ni Waislam pele yao.
Sishangai na hamaki ulizoshukanazo.


Mkuu hakuna aliyesema wewe ni Todd Akin, au kuwa wewe ni mpuuzi! Just one thing naomba ushahidi wa copy ya ID card yako as a member of Library of congress halafu baada ya hapo tumwage nondo.
 
Nyerere alikuwa noma sana...ile kutia maguu tu Bongo akawakuta watu wanakunywa kahawa'akawabeep kidogo tu kwa
kuwarushia pipi,wazee wakaingia mazima mazima...jamaa huyoooooo ikulu. Chezea nyerere wewe.

B,

Haikuwa hivyo.
Hapo unafanya stizai tu.

Abdulwahid alifilisika katika kupigania uhuru na Dossa pia.
Abdu aliweza kusimama tena lakini Dossa kafa masikini.

Hawa watu ndugu zao wa hai.

Abdu na Dossa wote ni marehemu.
Angalau fanya heshima kidogo.

Wajukuu zao wamo humu ndani wanasikiliza.
 
Mkuu hakuna aliyesema wewe ni Todd Akin, au kuwa wewe ni mpuuzi! Just one thing naomba ushahidi wa copy ya ID card yako as a member of Library of congress halafu baada ya hapo tumwage nondo.

Wewe una nondo gani za kushindana na historia ya ukweli? Unaweza kuifuta? Unaweza kumyayusha Mshume, Tosiri, Plantan, The Sykes family, Bibi Titi? Unao uwezo huo?
 
Mkuu hakuna aliyesema wewe ni Todd Akin, au kuwa wewe ni mpuuzi! Just one thing naomba ushahidi wa copy ya ID card yako as a member of Library of congress halafu baada ya hapo tumwage nondo.

N,

Nilikuwa mwanachama miaka mingi sana nyuma na baada ya USIS kufungwa kwa hofu
za ugaidi...

Mambo yakawa ndiyo mwisho.
Huamini kauli hadi upate ushahidi.

Kwani wewe unaona hilo kuwa member wa Library of Congress jambo kubwa sana kiasi
mie nijisingizie?

Nijisingizie halafu ndiyo iwe nini?
Mbona hii kuandika hiki kitabu mie inanitosha sana?

Mbona unaingia na vitisho vya nondo?
Unataka kunitisha mie?

Hivi wewe unadhani mimi ni mtu wa kutishwa?
 
Wewe una nondo gani za kushindana na historia ya ukweli? Unaweza kuifuta? Unaweza kumyayusha Mshume, Tosiri, Plantan, The Sykes family, Bibi Titi? Unao uwezo huo?


Oyaa hoja kwa hoja after all naongea na mwalimu wako, wewe muda huu ficha hicho kikia chako!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nakushangaa wewe kijana badala ya kwenda kujijengea maisha yako ya baadae, wewe upo hapa jamvini. Mwenzako nnakula kodi za Kariakoo, hata nikikaa hapa 24/7 burdan wa sharaba, wewe Jee?
Kweli Hilo ni jibu mujarabu
 
N,

Nilikuwa mwanachama miaka mingi sana nyuma na baada ya USIS kufungwa kwa hofu
za ugaidi...

Mambo yakawa ndiyo mwisho.
Huamini kauli hadi upate ushahidi.

Kwani wewe unaona hilo kuwa member wa Library of Congress jambo kubwa sana kiasi
mie nijisingizie?

Nijisingizie halafundiyo iwe nini?
Mbona hii kuandika hiki kitabu mie inanitosha sana?

Mbona unaingia na vitisho vya nondo?
Unataka kunitisha mie?


Wewe ndiye unaona jambo kubwa mpaka kuwaringishia watanganyika humu jamvini, and I am absolutely sure hujawahi kuambiwa kuwa hoja ya kuwa na kitabu library of congress siyo ujuvi ndiyo maana unapanick. Simple and clear kama mlivyo taka Yericko alete ushahidi wa audio ya Nyerere kuhusu Abdulwahid Sykes naomba na wewe utuletee copy ya ID yako as a member of Library of congress. Nami ntatoa nini sifa za kuwa member na majina ya wapuuzi walio na vitabu vyao mle, just that simple. Otherwise ni zile zile hadithi zako zisizo na evidence.
 
Back
Top Bottom