Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mh! zomba, hata pa kulazwa Kawawa tena enzi hizi za Jakaya? Unashusha kiwango chako cha ufikiri kwa sababu ya UDINI? Rashid hakuwa mdini. Huyu ndie WaziriMkuu wa PILI TANGANYIKA huru. Mzee wetu Mohamed hataki hata kulisikia jina hili. Usitake kumuudhi.

WC,

Ingia kwenye kitabu changu kwenye faharasha utamkuta Simba wa Vita.
Nimereview kitabu cha maisha yake alichoandika Dk Magoti na hiyo
Review imo humu.

Hivi ndiyo kweli simtaki?

Hapa kwa nyakanga.
Mizungo haiishi.

Ikiwa hujaelewa muombe Ritz akujuvye.
Hii Zomba tumuwie radhi.
 
hawana uwezo wa kuandika
wangeandika wakati nyerere yupo hai
lakini si leo
watakachoandika si historia ya tanganyika
wataandika kuhusu Mohamed Said
na 'ngano' zake au 'unga' wake
hawajui pa kuanzia
kichekesho wanataka kuanzia kwako
akili hawana kabisa,tatizo udini
Ngruvi mimi niliwakomesha waandishi wa Chuo Cha Kivukoni kwa kuandika
kwanza katika Africa Events nikaweka league na Dr Kiwanuka.

Nimekushushia rejea nadhani umeziona.

Baada ya hapo ndiyo nikawabamiza na buku.
Wamenywea mpaka leo.

Sasa nyie mmekalia jamvi tu mnabadilisha mikao.
Kwa humu tutakesha hamtaweza kunishinda.

Andikeni kitabu.
Hicho ndicho labda kitakunusuruni na shari yangu.

Jamaa wapo kazini hivi sasa wanaandika lakini jua
lishakuchwa.

Maghribi inaaingia.
 
Last edited by a moderator:
mzee wangu Mohamed Said naomba nikuulize swali moja
Majuzi ktk pita pita zangu,maeneo ya mwananyamala kwa mwinjuma ccm,

karibu na msikiti,kuna nyumba moja nje kuna kibao kinaonesha ndipo TANU ilipoanzishwa
vipi habari za hapo zikoje
 
Last edited by a moderator:
Ngruvi mimi niliwakomesha waandishi wa Chuo Cha Kivukoni kwa kuanfika
kwanza katika Africa Events nikaweka league na Dr Kiwanuka.

Nimekushushia rejea nadhani umeziona.

Baada ya hapo ndiyo nikawabamiza na buku.
Wamenywea mpaka leo.

Sasa nyie mmekalia jamvi tu mnabadilisha mikao.
Kwa humu tutakesha hamtaweza kunidhinda.

Andikeni kitabu.
Hicho ndicho labda kitakunusuruni na shari yangu.

Jamaa wapo kazini hivi sasa wanaandika lakini jus
lishakuchwa.

Maghribi inaaingia.
Shari yako hii itaishia kulekule ilikoanzia. WATANZANIA ni waelewa sana. Hebu fikiria "dhulma" hii imekuwepo kwa zaidi ya nusu karne sasa na Tanzania na Watanzania tunapendana sana. Tunaishi "above our religious affiliation". Waislam ndio wanaochinja kwenye mabucha yote. Hatupati shida kula nyama. Waislamu tuko nao kwenye moja moto moja baridi. Waislamu tuko nao kwenye harusi, misiba, vipaimara, komunio, krismas, eid zote,..., Waislamu tuko nao mashuleni hata yale ya makanisa, Waislamu tunatibiwa nao Bugando, KCMC na kwenye ma-DDH kibao. Ndoa ya Muislam na Mkristo jambo la kawaida tu Tanzania hii. Hata mke wa Makongoro Julius Kambarage Nyerere ni Muislam safi!

Hii ndio TANZANIA alootuachia Mwalimu. Mzee Mohamed wewe utaondoka duniani na machungu yako muda wako ukifika na Tanzania itabaki.
 
hapo sasa ndipo kwenye swali kuu..!
Then cha kushangaza zaid huyu leader mwenyewe anabatizwa utakatifu..!

What a shame..!

Nashangazwa unavyoshangaa! Wenye dini wenyewe wameamu kumbatiza mtu wao kuwa Mtakatifu kwa kufuata STK za dini na Kanisa lao, sasa washangaa nini?

Ingekuwa wametumia Imani yako kumtangaza mtakatifu wao ingekuwaje? Si ungekuwa mwehu? Waache waendelee na STK zao, na kwa kuwa haina madhara kwetu, nakushauri achana nao.
 
nashangazwa unavyoshangaa! Wenye dini wenyewe wameamu kumbatiza mtu wao kuwa mtakatifu kwa kufuata stk za dini na kanisa lao, sasa washangaa nini?

Ingekuwa wametumia imani yako kumtangaza mtakatifu wao ingekuwaje? Si ungekuwa mwehu? Waache waendelee na stk zao, na kwa kuwa haina madhara kwetu, nakushauri achana nao.


sawa mkuu..
 
WC,

Ingia kwenye kitabu changu kwenye faharasha utamkuta Simba wa Vita.
Nimereview kitabu cha maisha yake alichoandika Dk Magoti na hiyo
Review imo humu.

Hivi ndiyo kweli simtaki?

Hapa kwa nyakanga.
Mizungo haiishi.

Ikiwa hujaelewa muombe Ritz akujuvye.
Hii Zomba tumuwie radhi.
Dr Magoti wa Kivukoni? Umemkubali katika hilo tu?
 
Hili nalo neno.

Nashangazwa unavyoshangaa! Wenye dini wenyewe wameamu kumbatiza mtu wao kuwa Mtakatifu kwa kufuata STK za dini na Kanisa lao, sasa washangaa nini?

Ingekuwa wametumia Imani yako kumtangaza mtakatifu wao ingekuwaje? Si ungekuwa mwehu? Waache waendelee na STK zao, na kwa kuwa haina madhara kwetu, nakushauri achana nao.
 
Shari yako hii itaishia kulekule ilikoanzia. WATANZANIA ni waelewa sana. Hebu fikiria "dhulma" hii imekuwepo kwa zaidi ya nusu karne sasa na Tanzania na Watanzania tunapendana sana. Tunaishi "above our religious affiliation". Waislam ndio wanaochinja kwenye mabucha yote. Hatupati shida kula nyama. Waislamu tuko nao kwenye moja moto moja baridi. Waislamu tuko nao kwenye harusi, misiba, vipaimara, komunio, krismas, eid zote,..., Waislamu tuko nao mashuleni hata yale ya makanisa, Waislamu tunatibiwa nao Bugando, KCMC na kwenye ma-DDH kibao.

Hii ndio TANZANIA alootuachia Mwalimu. Mzee Mohamed wewe utaondoka duniani na machungu yako muda wako ukifika na Tanzania itabaki.

Hayo yote yalikuwa yanafanyika kutokana na uvumilivu wa Waislam hakuna kingine.

Tembo akikanyanga mkia wa Panya ukaulizwa nani ana makosa huwezi kusema hauna upande.

Yaani mashuleni mmechaguliwa nyie kuendelea na elimu vyuo vikuu mmejaa nyie ajira serikalini mmejaa nyie hiyo ndiyo Tanzania tuliyoachiwa na Nyerere.

Tatizo nyie Wakiristo mnaona kama mnatufanyia hisani sisi Waislam.
 
Mohamed Said,

Kipi kilichosababisha Nyerere kumweka ndani Chifu David Kidaha Makwaia wa Shinyanga.
 
Last edited by a moderator:
Tazama fikra, zinafanana hazifanani?
Tazama sharubu, zinafanana hazifanani?
Tazama dini zinafanana hazifanani?
Tazama ma boss wao wanafanana hawafanani?
Tazama udikteta unavyotofautiana, mmoja dikteta mzuri, mmoja dikteta mbaya.

Kuna nini cha kupima zaidi ya hayo? urefu? ufupi? umri?
Shika Osama, chinja, tupia baharini

Shika Saddam, nyonga kwa kitanzi, tupia kule.

Shika Gadafi, piga shaba masaburini, tupia kule....chezea mfumo kristo wewe.
 
Is Menachem Begin Moshe Dayan? Did Moshe Dayan ever meet at Camp David with Yasser Arafat?

Jisomee mwenye uliyoyaandika na niliyokujibu labda utajishtukia:

quote_icon.png
By Jasusi
Yaani Begin ndiye Moshe Dayan? Anayehitaji darasa ni wewe.
Uzuri wa JF kama moderators hawajachakachuwa kila kitu kinakuwapo, soma ulichoandika na nilivyokujibu na kukupa darsa:

Uliandika hivi:

quote_icon.png
By Jasusi

Arafat alikutana Camp David wakati wa Bill Clinton ambaye aliingia mamlakani 1988. Hakukuwa na mkutano Camp David enzi za Menachem Begin.



Nikakupa hint:

quote_icon.png
By zomba
Jimmy Cater?



Hukunielewa kuwa nilikuwa nakusaidia kiuungwana, ndio maana nilikuwekea jina tu la Jimmy Cater bila maelezo, ili urejeshe kumbukumbu zako, ukajibu bila kufikiri:

quote_icon.png
By Jasusi
Hata wakati wa Jimmy Carter haikuwa Moshe Dayan. Dayan alikuwa waziri wa ulinzi. Arafat alikuthttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/383235-uchochezi-wa-mohamedi-said-na-dhihaka-kwa-wapigania-uhuru-wa-tanganyika-na-zanzibar-160.html#post5579623ana na waziri mkuu wa Israel.



Nikakupa darsa baada ya kuona kuwa kumbe huelewi unachokiandika na hata unaposaidiwa kwa kupewa hint bado unajifanya mjanja:

quote_icon.png
By zomba
Hiyo niliyokuwekea nyekundu si sahihi na usipotoshe wanaopitia hii mijadala. Moshe Dayan alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa Jimmy Cater na si Waziri wa ulinzi, Jimmy Cater mwaka 1978 waliposaini mkataba na Anwar Saadat na Menachem Begin, Moshe Dayan alikuwa kiungo muhimu cha kuandika mapatano hayo.
800px-Camp_David%2C_Menachem_Begin%2C_Anwar_Sadat%2C_1978.jpg

Menachem Begin, Jimmy Carter and Anwar Sadat at Camp David, 1978

In 1977, despite having been re-elected to the Knesset for the Alignment, he accepted the offer to become Foreign Minister in the new Likud government led by Menachem Begin. He was expelled from the Alignment, as a result and sat as an independent MK. As foreign minister in Begin's government, he was instrumental in drawing up the Camp David Accords, a peace agreement with Egypt. Dayan resigned his post in October 1979,



Nikakuta kwingine tena ulianza kupotosha kwa hili:
quote_icon.png
By Jasusi
Arafat alikutana Camp David wakati wa Bill Clinton ambaye aliingia mamlakani 1988. Hakukuwa na mkutano Camp David enzi za Menachem Begin.



Nikaamuwa nikupe darsa lingine kwa kuwa huelewi unachokisema:

quote_icon.png
By zomba
Usipotoshe wana JF. Menachem Begin ndiye alisaini mkataba wa kwanza wa maridhiano baina yake na Anwar Saadat mwaka 1979 wakati wa Jimmy Cater (akiwa kinara wa mkataba huo). Nimeweka na picha. Na makubaliano hayo yaliyoanzia Camp David 1978 (ndiyo yalipelekea Anwar Sadat na Menachem Begin kupewa kwa pamoja tuzo ya Nobel mwaka 1978) na kufikia kilele na kusainiwa na wote watatu White House mwaka 1979 na ndiyo pia yalichochea Jimmy Cater kupewa tuzo ya Nobel mwaka 2002.



President Jimmy Carter, center, with Egyptian President Sadat, left, and Israeli Prime Minister Begin, right, during a signing ceremony for the Camp David Peace Accords at the White House in 1979. Carter was awarded the Nobel Peace Prize in 2002 for his humanitarian efforts and success in bringing Egypt and Israel to the peace table in 1979. mk/mk/UPI

Read more: Egyptian candidate says Camp David 'dead' - UPI.com



Sasa unarusha nini? vitu viko kinagaubaga.
 
Hayo yote yalikuwa yanafanyika kutokana na uvumilivu wa Waislam hakuna kingine.

Tembo akikanyanga mkia wa Panya ukaulizwa nani ana makosa huwezi kusema hauna upande.

Yaani mashuleni mmechaguliwa nyie kuendelea na elimu vyuo vikuu mmejaa nyie ajira serikalini mmejaa nyie hiyo ndiyo Tanzania tuliyoachiwa na Nyerere.

Tatizo nyie Wakiristo mnaona kama mnatufanyia hisani sisi Waislam.
Ya kweli haya kutoka moyoni mwako Ritz? Sasa hivi Mwenyekiti wa CCM, chama twawala, Muislam. KatibuMkuu Muislam. MwekaHazina, mama AshaRose Migiro Muislam safi kabisa asiye mfiaDINI( kaolewa na Mkristo). Wote hawa kwa hisani?

Unakubali kuwa lipo tatizo la ELIMU kwenye Uislam kama lilivyo kwa baadhi ya MAKABILA hapa nchini? Wakurya wanalo tatizo hili. Kwao, kumpeleka kijana "aliyefeli" darasa la saba Private School ni bora umuoze mke au kama ni binti aolewe mara moja. Mkurya atamlaumu Mhaya au Mchagga kwa hilo? Vivyo hivyo na Wamasai, Wagogo, makabila ya Pwani ambayo yalikuja kufubazwa zaidi na Uislam. Hamtaki kuliona hili tatizo. Mkalikomalia kwenye mahubiri yenu misikitini, badala yake mnamtukana na kumkejeli Mwalimu aliyejaribu kulipunguza sana. Mungu ni wetu sote. Analiona hili.
 
Shika sheikh Ponda,tandika vibao, tupia Segerea....chezea mfumo kristo weye.
 
Jisomee mwenye uliyoyaandika na niliyokujibu labda utajishtukia:

quote_icon.png
By Jasusi
Yaani Begin ndiye Moshe Dayan? Anayehitaji darasa ni wewe.
Uzuri wa JF kama moderators hawajachakachuwa kila kitu kinakuwapo, soma ulichoandika na nilivyokujibu na kukupa darsa:

Uliandika hivi:

quote_icon.png
By Jasusi

Arafat alikutana Camp David wakati wa Bill Clinton ambaye aliingia mamlakani 1988. Hakukuwa na mkutano Camp David enzi za Menachem Begin.



Nikakupa hint:

quote_icon.png
By zomba
Jimmy Cater?



Hukunielewa kuwa nilikuwa nakusaidia kiuungwana, ndio maana nilikuwekea jina tu la Jimmy Cater bila maelezo, ili urejeshe kumbukumbu zako, ukajibu bila kufikiri:

quote_icon.png
By Jasusi
Hata wakati wa Jimmy Carter haikuwa Moshe Dayan. Dayan alikuwa waziri wa ulinzi. Arafat alikuthttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/383235-uchochezi-wa-mohamedi-said-na-dhihaka-kwa-wapigania-uhuru-wa-tanganyika-na-zanzibar-160.html#post5579623ana na waziri mkuu wa Israel.



Nikakupa darsa baada ya kuona kuwa kumbe huelewi unachokiandika na hata unaposaidiwa kwa kupewa hint bado unajifanya mjanja:

quote_icon.png
By zomba
Hiyo niliyokuwekea nyekundu si sahihi na usipotoshe wanaopitia hii mijadala. Moshe Dayan alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wakati wa Jimmy Cater na si Waziri wa ulinzi, Jimmy Cater mwaka 1978 waliposaini mkataba na Anwar Saadat na Menachem Begin, Moshe Dayan alikuwa kiungo muhimu cha kuandika mapatano hayo.
800px-Camp_David%2C_Menachem_Begin%2C_Anwar_Sadat%2C_1978.jpg

Menachem Begin, Jimmy Carter and Anwar Sadat at Camp David, 1978

In 1977, despite having been re-elected to the Knesset for the Alignment, he accepted the offer to become Foreign Minister in the new Likud government led by Menachem Begin. He was expelled from the Alignment, as a result and sat as an independent MK. As foreign minister in Begin's government, he was instrumental in drawing up the Camp David Accords, a peace agreement with Egypt. Dayan resigned his post in October 1979,



Nikakuta kwingine tena ulianza kupotosha kwa hili:
quote_icon.png
By Jasusi
Arafat alikutana Camp David wakati wa Bill Clinton ambaye aliingia mamlakani 1988. Hakukuwa na mkutano Camp David enzi za Menachem Begin.



Nikaamuwa nikupe darsa lingine kwa kuwa huelewi unachokisema:

quote_icon.png
By zomba
Usipotoshe wana JF. Menachem Begin ndiye alisaini mkataba wa kwanza wa maridhiano baina yake na Anwar Saadat mwaka 1979 wakati wa Jimmy Cater (akiwa kinara wa mkataba huo). Nimeweka na picha. Na makubaliano hayo yaliyoanzia Camp David 1978 (ndiyo yalipelekea Anwar Sadat na Menachem Begin kupewa kwa pamoja tuzo ya Nobel mwaka 1978) na kufikia kilele na kusainiwa na wote watatu White House mwaka 1979 na ndiyo pia yalichochea Jimmy Cater kupewa tuzo ya Nobel mwaka 2002.




President Jimmy Carter, center, with Egyptian President Sadat, left, and Israeli Prime Minister Begin, right, during a signing ceremony for the Camp David Peace Accords at the White House in 1979. Carter was awarded the Nobel Peace Prize in 2002 for his humanitarian efforts and success in bringing Egypt and Israel to the peace table in 1979. mk/mk/UPI

Read more: Egyptian candidate says Camp David 'dead' - UPI.com



Sasa unarusha nini? vitu viko kinagaubaga.

Kumekucha, kumekucha, zomba, mtu mzima kachutama...
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye red wagala ndio mnaponichosha
umesema sio kweli,haya lete ukweli wewe
nyinyi ndo wapotoshaji na waongo

Hapa kwenye red ni udhihirisho tu kuwa Mohamed Said amefanikiwa kupata uungwaji mkno wa Waumini wenza dhidi ya Nyerere 'Mkristo' na Wakristo dhidi ya Uislamu.Na huu ubaguzi ndio uliopo hata nchi zote zinazoongoza kwa milengo ya kidini ambapo utakuta wote ni waumini wa dini ile ile na 'Mungu' yule yule ambaye anawaongoza kuwaua hatasi wa dhehebu lilelile.

Kilichopo hapa, mtu asiyemuunga mkono Mzee Said basi ni kafiri!
 
Ya kweli haya kutoka moyoni mwako Ritz? Sasa hivi Mwenyekiti wa CCM, chama twawala, Muislam. KatibuMkuu Muislam. MwekaHazina, mama AshaRose Migiro Muislam safi kabisa asiye mfiaDINI( kaolewa na Mkristo). Wote hawa kwa hisani?

Unakubali kuwa lipo tatizo la ELIMU kwenye Uislam kama lilivyo kwa baadhi ya MAKABILA hapa nchini? Wakurya wanalo tatizo hili. Kwao, kumpeleka kijana "aliyefeli" darasa la saba Private School ni bora umuoze mke au kama ni binti aolewe mara moja. Mkurya atamlaumu Mhaya au Mchagga kwa hilo? Vivyo hivyo na Wamasai, Wagogo, makabila ya Pwani ambayo yalikuja kufubazwa zaidi na Uislam. Hamtaki kuliona hili tatizo. Mkalikomalia kwenye mahubiri yenu misikitini, badala yake mnamtukana na kumkejeli Mwalimu aliyejaribu kulipunguza sana. Mungu ni wetu sote. Analiona hili.

WildCard,
Utazunguka kila kona mwisho utarudi pale pale mfumo kirstu umeletwa na Nyerere.
 
Back
Top Bottom